Kikwete na Magufuli walishindwa kuingusha CHADEMA lakini Rais Samia ndani ya miaka minne ameshamaliza anachofanya ni kuinyonyoa manyoya

Kikwete na Magufuli walishindwa kuingusha CHADEMA lakini Rais Samia ndani ya miaka minne ameshamaliza anachofanya ni kuinyonyoa manyoya

Watch_Hundred is the famale version of JIWE.

Mikakati yote aliyoifanya JIWE ,Watch_Hundred alikuwa naye ni mmoja wa Planner ndiyo maana "MAKALAI" yote yalioyounga mkono juhudi kipindi cha JIWE ,Sir100 amewa-retain.

Adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa(Afande Sele) ,JIWE aliwaletea njaa maadui zake kisha akawawekee "sahani ya ubwabwa" wakaunga mkono juhudi hapo ndipo walipoanza kuwamaliza.

Sir100 kupitia Abdul naye anasambaza mabilioni.
Mabilioni ya DP World
 
..uongozi wa Chadema una nafasi yake ktk kukizorotesha chama.

..Raisi na Dola wana mchango wao ktk dhuluma dhidi ya vyama vya siasa, ikiwemo Chadema.

..mjadala ulioko mbele yetu ni hoja ya Robert Heriel Mtibeli akimsifia Rais Samia kwa kubomoa demokrasia, na kuisambaratisha Chadema.

Sikubaliani na kumlaumu yeyote kwa anguko la Chadema nje ya mwamba.

Kwamba hii ni mada moja kuhusu anguko la hiki chama hakuwezi kubadili wengine tunachokiamini.

Mwanamke mjinga huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Hapa umetumia nini kufikiri mwanagenzi?
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Hao waliotangulia hawakumjulia Mbowe kuwa kwenye vipande vya Fedha vingetosha kabisa kuiangusha CHADEMA kupitia kwa Mfanyabiashara Freeman Mbowe, Sa100 yeye hiyo Siri kaifahamu na ameweza kuitumia vyema
 
..tatizo kubwa zaidi ni Wasomi wa Kitanzania, waandishi mahiri kabisa, wanapoamini kwamba Maraisi wetu wanapaswa kusifiwa wanapotumia vyombo vya dola kuhujumu demokrasia na mifumo ya uchaguzi.

..Na tukienda mbali kidogo, tujaribu kuangalia nchi nyingine zilipoongozwa na viongozi wanawake kama India, wakati wa Indira Ghandi, au Uingereza, wakati wa Margareth Thatcher. Je, ni mambo gani kina mama hao walisifiwa nayo?

..Hivi kweli sifa ya kudhulumu haki ni jambo la kumsifia mwanamke wa Kitanzania, tena ambaye ni kiongozi?
💯%👏
 
CHADEMA kimepitishwa kwenye tanuri la RUSHWA Samia alichokifanya ni kuturidhihishia kuwa kama walivyo wao CCM kwa RUSHWA CHADEMA nacho kimekuwa ni cha wala RUSHWA.

Hajaiuwa CHADEMA wala nini ila tumeona panapovuja sasa ni WAJIBU wetu kuuondoa Uongozi wa wala RUSHWA.
 
Hatutakiwi kusifia, wala kufurahi...huu ni msiba. Fedha za umma zinatumika vibaya sana awamu hii.
 
Ni sawa sawa na timu X ikutane na Liverpool Jumapili, ikakutane na Real Madrid Jumatano ya wiki inayofuata Uefa, alafu Jumamosi tena ya wiki hiyo hyo sa sita mchana ikutane na Man City.
Man City akiifunga timu X mashabiki tutasema timu ilikuwa na game ngumu mfululizo, kwahyo wamechoka, hautasikia shabiki wa mpira akisema timu ilifungwa kwasababu ya ubora wa Man City
 
Kuna ambao walisema imekufa wakafa wao.jiangalie nawewe.maana inawezekana unapelekwa na mikumbo ya machawa na wanaharakati wauko mitandaoni.Hizo porojo za mbowe hafai mara chadema itakufa mara ela za abdul anayetajwa kama propaganda mpya za wakati wa samia zitapita kama propaganda zangine.Shida itabaki kwa chawa wa mbowe na lissu walioparurana mitandaoni na hadharani bila kujua wanafwata mkumbo tu wa wasichokijua.Chadema kufa bado sana.
 
Inawezekana usiione gharama iliyotumika lakini ukifunuliwa ukaiona inaweza kukutoa roho.

FAM asilia yake ni hela na nyakati hizi za jioni ndio hatari kabisa, anakwenda kuacha utajiri wa milele kwa ukoo wake na wapambe wanaomzunguka.
 
Divide and Conquer.....

Huyo Lissu anataka kukaa pale anadhani kuna hela, mbona kama kugombea Urais yeye ndio chaguo la CHADEMA, sasa kiherehere cha kuwa Mwenyekiti ili agundue nini ?
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Samia ni Profesa wa siasa na mama wa Uchumi wa kiliberali.
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
We ni muongo na bonge la mnafiki wa kiwango Cha lami.


Sijui wewe ni mgeni hapa tz??? Umeanguka duniani ukaangukia Tanzania kutoka sayari nyingine??

Naona dogo kuelekea uchaguzi mkuu naona unatengeneza jina kwa thread za KINAFIKI.

CHADEMA alishindwa Magufuli, na mama imemshinda zaidi, ndio maana kaamua ku copy na ku paste kama Kambale kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa!!!

Ungekuwa unaishi Tanzania, au kama upo Tz UKIAMUA kutoa AKILI ZAKO MFUKONI utaelewa kwamba umeandika ujinga wa Hali ya juu, uliovunja rekodi ya juu ya ujinga duniani!!!🤔🤔🤔

Tafuta mbinu dogo, teuzi hazipatikani kwa namna ,fanya kazi ,kama unataka mteremko cheki na "DANGOTE" wa bongo fleva akupeleke kwa P DIDDY 🤣😃🤣.

Nakushangaa sana unaanza kuwa mnafiki,RUDISHA AKILI KICHWANI toa mfukoni! Think big!!!🤔🤔🚴🚴🚴
 
Mbona toka 2015 walishajiua wenyewe, yale maamuzi yaliwapotezea ladha wapenda haki wasiofungamana na mambo ya chama
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Mwaka huu Mama Abdul anarudi Kizimkazi,.

1.Jinsia
2.Hujuma ndani ya CCM
3.Kashfa ya DP World 🌍
4.Mbuga za Wanyama kuuzwa
5.Ufsadi refer CAG Report

Hawezi kutoboa, Misa ya kwanza chali!

Mwenyewe anajua umebaki wewe CHAWA AMBAYE UPO CHEKECHEA kwenye UCHAWA 🤣🤣🤣🤔🤣🤔🤣

Nakushangaa ujinga huu umeokota wapi uliopost Leo??

au umepiga KITU CHA ARUSHA?? mchicha wa Arusha???🤣🤣🤣🤔🤔🚴🚴
 
Tena akiingia Lissu kwenye Uenyekiti ndio kitamalizwa haraka au hata kupigwa marufuku
 
Back
Top Bottom