Kikwete ni mmoja ya Marais ambao miaka Ijayo watoto wetu watatushangaa sana kuwa ilikuaje....

Kikwete ni mmoja ya Marais ambao miaka Ijayo watoto wetu watatushangaa sana kuwa ilikuaje....

bilioni ngapi?,mchakato ulivurugwa na ukawa,,,hats mchakato ujao cdm watavuruga

Walivurugaje mchakato? Wakati rasimu ilishapitishwa na kuzinduliwa Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Serikali ndio mzembe kwa kushindwa kuitisha kura ya maoni.
 
Hiyo inakuonyesha kwamba kiongozi wa namna hiyo hakuwa na uchungu na maslahi ya nchi hii. Hata huo mchakato alioruhusu ufanyike haukuwa moyoni mwake kabisa; kwamba anatafuta njia ya kuinufaisha Tanzania.

Linganisha hali hiyo na ile ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, hata baada ya kung'atuka.

Hawa wenzetu, uongozi ni kutafuta sifa na kujinufaisha, ndivyo vipaumbele vyao; ndio msukumo wa kusaka uongozi.
Karma is a bitch !!
 
Hivi Kama unamdai mtu hela Elf 20 akasema nakupa 12 zingije ntakupa...kama. ni mimi nachukua hizo naendelea kumdai kwasababu mtu mwenyewe msumbufu...Katika hili huyo mtu ni CCM na Ukawa



Ukawa mlaumiwe pia kwa kuharibu lile suala mngekubali ile ile muanze kudai mengine baadae....
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Kikwete binafsi ni moja kati ya matatizo makubwa katika nchi hii...
Ukianza gharama alizotumia kuupata urais, ufisadi na upiga dili mkubwa wakati wa utawala wake, vita mipango yake ya kijinga kulazimisha Membe awe rais ikatuletea Dikteta, vita yake na Magu na hatimae kurejea Ikulu kwa remote control....

Huyu ni hafai kabisa
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Alisema kuwa, ile pesa ya ESCROW iliyopigwa na Rugemalila na Seth Harbinder, haikuwa pesa ya umma.
 
Kikwete ilibidi ahujumu ule mchakato kwani kama ile katiba ingefanikiwa asingepona kuwajibika kwa ufisadi aliofanya kuanzia kuuza wanyama pori mpaka ushirika wake na HOME SHOPPING CENTRE Kuingiza makontena bila kulipa Ushuru na wao kunufaika pamoja!! Ndio maana kupoteza ushahidi HOME SHOPPING CENTRE ikabid kubadili jina kuwa GSM kabla ya Kikwete kuondoka madarakani!!
Hiyo ndiyo sababu kubwa ya yeye kuhujumu Katiba Mpya , na isingekuwa hivyo yaliyompata Rafiki yake ZUMA kule South Africa na akina Gupta , yangempata yeye na wakina HOME SHOPPING CENTRE kwasababu kile walichofanya Ilikuwa STATE CAPTURE!!
Kwanini aliruhusu wakati hayo yaliishafanyika? Au unadhani alikuja kumbuka baadae kuwa kuna Home shopping! Acha dharau.
 
Kikwete ni adui wa wananchi wanaojitambua!!!

Na huyu ndiye mentor wa Rais aliye madarakani hivyo atajitahidi kurudia ufisadi alioufanya wakati wa utawala wake vis a vis Katiba Mpya!!!
Hivi Salma na Riz1 Dodoma huwa wanaishi Hotel? Oooh sorry Riz 1 ni Waziri kweli atakuwa anaishi kwenye makazi yasiyo salama ya Tundu Lissu( area D)
 
Hapana.Wa kukaumiwa Sio UKAWA Bali Ni CCM na Serikali yake.Waligeuza Lile Bunge la Katiba kuwa Bunge la CCM.Wajayateka maoni ya wananchi ya time ya Warioba na kuyaficha kwenye makabati mpaka leo,Wana na mapendekezo ya marehemu Samweli Sitta,yenye lengo la kulinda maslahi ya CCM na Watawala,badala ya wananchi.Malipo Ni hapahapa duniani
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Hii nchi wewe piga pesa kaa pembeni maisha yaende
 
bilioni ngapi?,mchakato ulivurugwa na ukawa,,,hats mchakato ujao cdm watavuruga
Wamesahau kuwa CUF,CHADEMA nk ndio walikuwa vinara wa kuharibu upatikanaji katiba! Wakagomea rasimu iliyorekebishwa ya katiba. Wakataka katiba ya Warioba ambayo ilikuwa na maslahi ya vyama vyao badala ya ustawi na Umoja wa nchi.
 
Back
Top Bottom