Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hivi ukawa bado ipo?Wa kulaumiwa ni UKAWA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukawa bado ipo?Wa kulaumiwa ni UKAWA!
Tusaidieni wenye data, tujue kiasi kilichotumika kwa hayo mambo mawili..."Figures always zinaongea zaidi kuliko maneno"Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.
Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.
Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.
Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.
Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.
Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
UKAWA walikuwa wanasimamia katiba?Wa kulaumiwa ni UKAWA!
Ulitaka UKAWA wawe rubber stamp?Achemi kumzushia mzee wa watu
Mchakato mmevuruga wenyewe kubishaba serikali tatu au mbili kisha lawama mnampa mzee wa watu
Kwa hiyo ule ubishi uliopelekea kushindwa kupatikana ile katiba ya wakati ile suluhu yake imepatikana?Ulitaka UKAWA wawe rubber stamp?
Kwani lazima litumike hili bunge fake?Kwa hiyo ule ubishi uliopelekea kushindwa kupatikana ile katiba ya wakati ile suluhu yake imepatikana?
Kumbe ?Kwani lazima litumike hili bunge fake?
On top of that Maza akawa Makamu Spika wa Bunge ..... akalamba posho na kujipatia umaarufu wa kuwa Makamu na baadaye Rais. Leo hii hataki kuisikia wala kuizungumzia hiyo katiba aliyoshiriki kuipitisha .... Kaja na ubadhirifu mbadala wa Kamati ya demokrasia (mwenyewe anadai kuwa ni shamba lake) ambayo itadumu mpaka 2029 ..... Seriously!!Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.
Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.
Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.
Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.
Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.
Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
WE UNAVYOMWONA KATULIA MKUU?Muumuacheni Mzee wa watu atulie.Watanzania wengi tatizo ni kupenda majungu tu
miaka inaenda kasi. UKAWA nilishaisahau kabisa😂😂Wa kulaumiwa ni UKAWA!
Pitia michango yangu ya nyuma utaelewa ninacho kisema Magu alikiwa best kwangu mimi hapana mfanoWakati wa Magu watu wakamkumbuka JK na kusema ni bora mara 1000!!
Magu hayupo imekuwa tena kinyume chake ha 😄
Ni Rais mbovu kabisa kuwahi kutokea Tanzania tokea tupate Uhuru. Cha kusikitisha kuna Mazuzu wengi Wanamkumbali na walikuwa Wakimpenda huyu Mswahili ambaye wana CCM walimpitisha mwaka 2005.
Hongera mleta Mada ur clever!
Huenda topic hii ika mwamsha Mzee JK, atoe ushauri Sahihi! Kwa maslahi ya Taifa letu, waugwana wote hawapendi Katiba yetu isiyo na meno mdhibiti kiongozi na fairness kwa Zanzibar.
Hivi Salma na Riz1 Dodoma huwa wanaishi Hotel? Oooh sorry Riz 1 ni Waziri kweli atakuwa anaishi kwenye makazi yasiyo salama ya Tundu Lissu( area D)
Wananchi wa Tanzania wameingia makubaliano yasiyo rasmi kuwaamini wanasiasa huku wao wakijiweka pembeni.Na hii ndio fact ambayo watu wengi hawaijui
Kama ni serikali iliyoshindwa! Basi ni serikali ya Jiwe, maana ndiyo iliyofuata baada ya mchakato wa kwanza kukwama.Hapana rasimu ilishapitishwa shida ni serikali imeshindwa kumalizia mchakato uliobakia.
Kwanini aliruhusu wakati hayo yaliishafanyika? Au unadhani alikuja kumbuka baadae kuwa kuna Home shopping! Acha dharau.