Wafupi shida yao ni gubu mara kwa mara. Huwa kuna kutojiamini flani hivi kwa wengi waoKwangu mie madem warefu huwa nawaona wanazinguaga kwa kujiskia skia huku wana hizo za kuchagua chagua sana ila wafupi hawanaga noma sana ukimuonesha love.
Chances za kutafuna demu mfupi ni 99 of 1OO.
Ila demu mrefu ni 5O-1OO.
Ndo kamefolo in lavooo na wewe sasa utafanyaje 😂😂😂We're😳 Kwa Steve Bora nife single forever....afu kaongeaji balaa,mkiwa ndani mwamvuli wa kuzuia mate kukurukia lazima uhusike🥵
Hahahahahah huenda labda ila hilo tatizo nahisi mie sina. Mi ni 5"4 ila sina hayo mambo ya kutojiamini.Wafupi shida yao ni gubu mara kwa mara. Huwa kuna kutojiamini flani hivi kwa wengi wao
Nakaomba mechi TU ya kupigana uwanjaani....Bora tupigane mpaka tone la mwisho kuliko kukafungulia mapaja aisee🙄Ndo kamefolo in lavooo na wewe sasa utafanyaje 😂😂😂
Kwa wanaume wafupi hua sio shida. Wao tu hua wana ujeuri mwingi. Lakn kwa wanawake, ni kipengeleHahahahahah huenda labda ila hilo tatizo nahisi mie sina. Mi ni 5"4 ila sina hayo mambo ya kutojiamini.
Weee 😳....usinifanye nianze kujishebedua kimtindo 😜Hakuna mfupi mwenye Futi hizo.
Mfupi futi 5 Kurudi chini.
Average 5-6.5 futi.
Watery 6.6 - 7+
Kwa mwanamke guti 5.5 ni mrefu
Hahahahahah itakuwa show kaliNakaomba mechi TU ya kupigana uwanjaani....Bora tupigane mpaka tone la mwisho kuliko kukafungulia mapaja aisee🙄
Nakaomba mechi TU ya kupigana uwanjaani....Bora tupigane mpaka tone la mwisho kuliko kukafungulia mapaja aisee🙄
Weee 😳....usinifanye nianze kujishebedua kimtindo 😜
Inakuwa so sugar 🤸Kama Una hizo futi 5.5 basi ndio average height Kwa mwanamke,
Ingawaje mwanaume akiwa na futi hizo ataonekana Mfupi Kwa macho,
Futi 5.5 Female upate mshikaji Futi 5.8/ futu 6(ingawaje Kwa Tanzania mwenye futi 6 anaonekana mrefu)
Hapana Kwa kweliSteve atakupiga deki lakini .
Fungua moyo wako Steve aingie😂😂
Weee 😳....usinifanye nianze kujishebedua kimtindo 😜
Hakika.....vijana wanayaharibu maisha yao kwa ajili ya wanawakeVijana viburi na Wana kiu za kuonekana wajuvi was mapenzi na kujali ...ila Mwisho wanakufa na watu wanafaidi mapigano yao kizeembe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣My goshh! U said SEEDCO?😳 U can't call us like that wakati tunakufanya uenjoy k mbano.Tuheshimu kidogoo🤦
Haya sasa matusi...najirefushaje?Jitahidi urefuke!Ukisimama pembezoni mwa Jaba watu wanakutafuta .Ukikaa baa Counter mbia mbili tu Ukishuka miguu imekufa ganzi kisa imenig'inia muda mrefu unamuona Nyadundo anachechemea demu wake wanaondoka kisa ganzi miguuni.
Wengine huu ukweli hawautaki utasikia mi mwanaume mfupi hapanatatizo ni kwamba japo tunataka wanaume warefu saivi hawapatikani [emoji23] waliopo wengi sasahivi ni wafupi tu ndo wanaopatikana kwahiyo tunaishi na hao hao wafupi
Usipompata huyo mrefu utafanyajeMimi ni mfupi 5.5 naolewa na 5.5.
..[emoji15]natafuta nn kama siyo kuja kulaumiwa na wanangu Kwa kuzaliwa mojakimo[emoji849]