cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga chini ya Prof. Nabi haina Siasa....ni full akili kumteketeza Adui....[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga chini ya Prof. Nabi haina Siasa....ni full akili kumteketeza Adui....[emoji16][emoji16]
Pole sana Dada yangu, bila shaka uko salama saliminiKwenye mpira chochote kinawezekana lakini hiyo ya kutufananisha na fulani umechemka Mkuu.
Yanga ni Yanga na Dortmund ni Dortmund. Huo ndo ukweli.
Benzanza anaiona km andazii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiifananishe Yanga na vitu vya ajabu ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unaumia kuiona YANGA BINGWA CAF, fanya haraka ichomoe uvae uende
Shabiki wa Yangaaa weyeeeeeeeeeSiyo Yanga lakini sijaona alipotoa tahadhari zaidi ya kejeli. Huu Usimba na Uyanga wenu unawapunguzia Sana weledi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleeeee mtaniiiiiiiiKwenye mpira chochote kinawezekana lakini hiyo ya kutufananisha na fulani umechemka Mkuu.
Yanga ni Yanga na Dortmund ni Dortmund. Huo ndo ukweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kochaaa hebu kuwa buzzy kumtrain Aziz kiii, huku JF unatafuta nn??uchawi utawasaidia nini sio fail makolo mlivotufanyia.
Umetelekeza Coment yakousifananishe yanga na upuuzi dortmund wewe,BEHAVE
Il mlongo Jamani umelala wee kwelii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa furaha hizi nalalajeeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Il mlongo Jamani umelala wee kwelii
Ccm oyee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado dortmund ni upuuzi kwa yangaUmetelekeza Coment yako
Nadhani wewe ndio una udumavu wa akiliHiki ni kipimo cha udumavu wa akili, halafu usikute huyu naye ndiyo wale wachaambuzi uchwara.
Wewe je ukiitwa utabisha?Ukiitwa andazi utabisha?
Mtani Ungejua vile nimekununia. 😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleeeee mtaniiiiiiii
Mtani hivyo hii furaha inaisha lini au ndo tunaenda nayo hadi msimu ujao. 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleeeee mtaniiiiiiii
Mia Alhamdulillah sijambo kabisa mdogo wangu.Pole sana Dada yangu, bila shaka uko salama salimini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniiiii poleeeeeMtani Ungejua vile nimekununia. [emoji28][emoji28]