Kilichomkuta zuchu ndio tofauti ya wanyakyusa na makabila mengine

Mbeya ni ya Wasafwa na Wamalila.
Hao wanyaki na wanyamanyafu kwao ni Rungwe na Kyela.
 
Wahehe na wabena Wana pesa wanatoa wapi sasa , aisee mimi Nimezaliwa hapa jombe ujue
 
Labda unitajie mhehe mmoja tu mwenye Hela huku nyanda za juu kusini, jombe na iringa naijua vyema na nafanya biashara since enzi hizo , hebu nitajie mhehe na mbena mwenye mafanikio , hapa wenye mafanikio ya kiuchumi ni wajomba zangu wakinga na hawana roho ya kishamba kama ya kihehe
Endelea kuajiri wanyakyusa ambao huwa wanaridhika mapema na hela ndogondogo hao wengne wanaotaka hela nyingi wafanye biashara zao sio kuajiliwa kishambasham
 
Hakuna cha ajabu hapa ulichokiandika hata mchawi ukimuheshimu atakueshimu na ukimletea za kuleta nae anakuletea tu,wanyakyusa mnapenda sana kujisifia ukarimu wakati ni wanafiki tu kama wengine tu weusi
 
Wanyakyusa hatuna shida kabisa ni vile tu wewe unavyotuchukulia vibaya.Chunguza sana,matukio mengi ya mauaji Wanyakyusa hatumo kabisa....haya mnataka msikie Nini kingine....kama ni umalaya makabila yote kuko wazi chini....kiburi ni kwa Kila mtu...we kumbuka tu mpenzi aliyekushinda kwa kiburi chake je ni mnyakyusa? Tabia ni mtu mwenyewe
 
Hapo kwenye ukabila na roho mbaya
Hapo kwenye roho mbaya na ukabila umepatia kabisa,ongeza na ubinafsi pia halafu na kujisifia kwamba ni wakarimu unafiki mtupu
 
Bora wenye roho mbaya kuliko hao viburi na superiority.

Kwenye makanisa huko wanatawala wengine waliokubali kuwa submissive ,Sasa Mimi siwezi ishu na watu wa.dizaini hiyo.

Hao unaposema Wana roho mbaya mara nyingi hawapendi kufuatilia maisha ya watu wala.ku mind ishunza kipumbavu ila ukiwatenda utakuja kulipa na hapa nawapa kongole Ndugu zangu wabena,wakinga na Wahehe maana Huwa hatusahau.
 
Mbeya nomaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata Mimi biashara ya kusujudu mtu na kujifanya mjuaji kama mnyaki siwezi ishi nao Wala siwezi ona wanawake zao Majungu na dherau nyingi sana.

Ukabila ndio nyumbani kwao sasa πŸ˜€πŸ˜€
 
Na baada ya kuomba msamaha alivuka mto kiwila kwa mgongo wa mamba akijua dalaja saa 6 za usiku kumbe ulikuwa mgongo wa mambaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jamaa anakwambia wahehe na wabena ni roho mbaya wakati hao hao ndio walezi Wakuu wa familia huko Dar na pia kwenye biashara nyingi wapo kamawasaidizi.

Umuweke mnyakyusa una akili timamu? Uone mnyakyusa zinakutosha? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wakamchagua darasa la saba awashikie kwa muda
 
Kalinga Agrivet company hana pesa? Ndambo Je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…