Kilichomkuta zuchu ndio tofauti ya wanyakyusa na makabila mengine

Hivi utakuwa unataja watu wenye pesa na kalinga unamtaja , basi na wewe tajili
We mshamba anzia hapohapo Mbeya halafu nenda mpaka kariakoo linganisha wabena wahehe na wanyakyusa,hatuna haja ya kutaja majina maana hatuna sifa kama nyie,rudi tena kuanzia kyela,rungwe mpaka hapo Mbeya then nyooka mpaka tunduma,ndio utajua nyie kiuchumi tunawaendesha,
 
Visirani promax🤣🤣🤣

Mnyaki na kisirani wapi na wapi mkwe...kwani wamekuwa wahehe?

Mnyaki ukimzingua, anakuzingua pia, ukileta zereu anakuzereu n.k
 
Daah...mjomba wakati wa kuandika ulikuwa unaruka kichurachura?
 
Akome
 
Hao wanyakyusa hawana hizo sifa unazosema..hao watu ni wana ukabila+roho mbaya+uchoyo+kiburi+wivu wa kijinga+dharau+unafiki
These are salient features of almost every average Tanzania, including you. Huwa sijui watanzania huwa mnapishana nini kwakweli 🤣🤣🤣​
 
Kwanini mnawakataza ndugu zenu wa kiume kuunganisha damu Na wachaga
 
 
Acha ufala.Jombe ndiyo wapi huko?🤔
 
Mmeshindwa kuifoa fisiem madarakani au kuandamana unabwabwaja tu hapa
 
Nyakyusa this, Nyakyusa that!

Nag and spew this stereotypical bile all you want, but WE The Nyakyusa People simply don't care. We chose our life and seems like we're happy keeping it for a while.

Metukuta Mbeya na Mtatuacha Mbeya!​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…