Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaWatu wa kando ya ziwa wote wapo Hugo mkuu
UsipiteMmmhhh, ngoja nipite kwanza.
Kivip Kaka mtoto wa nyoka ni nyoka
KumbePascal tangu aitwe na bunge yuko kimya sana hadi anatupa hofu.Pascal njoo hadharani humu tujue kama uko salama
naanza mimi kwa majina naitwa korosho zangu na na shamba ninalo ukitaka twendeAisee inabidi tutambuane kwa majina halisi
Mbona unazidi kukosea? Fanya tathmini na chukua hatua, unless you have enough clues don't post!!! You will eventually tarnish your image Mkuu!Nakosea bwana ilikuwa 1919 lakin wajerumani ndo walikuwapo kabla ya waingereza
Kama unakumbuka Mzee mlokozi baada ya kwenda vita ya pili ya dunia alikaa pale bagamoyo akapewa bendera 2 na watawala kwamba ukiona meli inakuja ina bendera ya waingereza inyooshe hii ili msiendelee kushanbuliwa, ukiona wana ya namna hii ni ya wajerumani basi Sisi ndo tutakuwa tumeshinda nyoosha hii
Maneno hayo yananikumbusha msemo niliouokota humu Jamvini hivi leo kwenye mjadala aliouweka 'Missile of a Nation', alioutoa Mwalimu Nyerere kwenye kipindi cha televisheni na Mama Eleanor Roosevelt kuhusu 'koti linalompwaya mvaaji.'Upinzani haujaimarika sana mpaka kutushawishi kujiunga.
Kweli kaka uzuri wa JF unaweza kuwa unajua jambo lakin ukaweka kwenye kadamnasi kuona, je navyojua ndivyo wengine wajuavyo?Maneno hayo yananikumbusha msemo niliouokota humu Jamvini hivi leo kwenye mjadala aliouweka 'Missile of a Nation', alioutoa Mwalimu Nyerere kwenye kipindi cha televisheni na Mama Eleanor Roosevelt kuhusu 'koti linalompwaya mvaaji.'
Unasubiri 'koti' liwaenee vipi wapinzani ndipo uone kuwa linawakaa vizuri?
Kama ukoloni ulivyokuwa, sina shaka hadi hii leo tungekuwa tunaambiwa hili 'koti' bado sana. Inabidi tuzidishe kasi ya ulaji ili kuweka nyama kidogo mwilini ndipo tulivae!
Nimefurahishwa na 'background' ya maelezo uliyoyatoa katika mada hii. Yanatufunua macho baadhi yetu kuhusu mambo tuliyokuwa hatuyajui. JF FOREVER!