Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kanda ya kati ama.kuna mmoja ni wa basi la shabiby aisee, aliniganda nimdinye hadi nikakimbia, hata baada ya kumwelewesha kwamba mimi ni mlokole nimeacha hizo dhambi bado ananifuata fuata hadi leo. nimekuja kugundua ameachika kwa talakaa liyokuwa amevamia ndoa ya mtu wakafunga ndoa magumashi bomani, na ametelekezewa mtoto anahangaika na yeyote atakayemwona. wapeni mishahara mizuri basi.
Kazi nzuri ya kufungua Nchi na kukuza private sector imeanza kuzaa matunda.Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Kweli hapo ni uwe mchaga au mpare full stop.si ajabu qualification ya kwanza ni kabila lako, ya pili kanda unayotoka
Kwetu mwenye elimu akihudumia kaz za chini anakuwa nq dharau akiamin analingana na anaemuhudumiaKweli uchumi umekua kazi zinaanza kuheshimika soon wahudum WA bar watakua graduates Kila kitu huduma itatolewa professionally,
Hongera sana kampuni za Kilimanjaro, Ratco, Tahmeed , abood na Tilisho kwa kutambua umuhimu WA good customer service
Cha ajabu ni nini sasa hapo?Acheni wadada wafanye kazi.Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Acha kulia lia,Kapande ndege kama uwezo unaoWahudumu wao wana gubu sana,niliacha kupanda hili basi kwaajil ya gubu za hao wadada wa kichagaπ
CV yao huwa ni nini?kwa wadada wahudumu wa mabus CV inajulikana ni nini
KabisaCha ajabu ni nini sasa hapo?Acheni wadada wafanye kazi.
Hakuna la kushangaza hapo 'Kazi ni kazi '
Tatizo huku jf kila mtu hua anajifanya mambo mazuri kumbe watu wanadhiki mpk kwenye kope za macho π
Kazi halali hio,wadada changamkieni fursa
Labda useme baa zote, hadi now wahudumu wa bar graduates wapo mfano The Cask mwanza nawajua watatu graduatesKweli uchumi umekua kazi zinaanza kuheshimika soon wahudum WA bar watakua graduates Kila kitu huduma itatolewa professionally,
Hongera sana kampuni za Kilimanjaro, Ratco, Tahmeed , abood na Tilisho kwa kutambua umuhimu WA good customer service
Umekua kama mpapai...Halafu mnasema uchumi umekua
apo wanawapita baadhi ya walimu mf daraja la 3A600,000
Huko chuo anaenda kufundishwa nini? Kama hilo tangazo ni real basi serikali ya CCM imeishiwa.Fursa ya kozi.View attachment 2672018
Unachanganywa na stori za watu wa Dar π€£ππMbona nimesikia watu wa huko wote wana kazi na maisha mazuri.
Sdhani kama inafika hiyo pesa...mshara ni 300000 .sema wanapiga sana kwenye posho huko na njianii..ni kazi nzuri ukitumia akili unatoka kabisa kimaisha...nina ndugu yangu kafanya hii kazi.now ana nyumba yake na kinoah chake life goes on.mimi mwenyewe nusura niifanye hii kazi wakati natafuta ajira na nilikuwa willing kabisa ningepata ningefanya but niliikosa .apo wanawapita baadhi ya walimu mf daraja la 3A
Umeandika nini sasa hapo??Cha ajabu ni nini sasa hapo?Acheni wadada wafanye kazi.
Hakuna la kushangaza hapo 'Kazi ni kazi '
Tatizo huku jf kila mtu hua anajifanya mambo mazuri kumbe watu wanadhiki mpk kwenye kope za macho π
Kazi halali hio,wadada changamkieni fursa
Mkuu kama hukuwa na haja ya kudinya ya nini kufuatilia yote hayo, punguzeni kamba jamani.kuna mmoja ni wa basi la shabiby aisee, aliniganda nimdinye hadi nikakimbia, hata baada ya kumwelewesha kwamba mimi ni mlokole nimeacha hizo dhambi bado ananifuata fuata hadi leo. nimekuja kugundua ameachika kwa talakaa liyokuwa amevamia ndoa ya mtu wakafunga ndoa magumashi bomani, na ametelekezewa mtoto anahangaika na yeyote atakayemwona. wapeni mishahara mizuri basi.