mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Sema kwa hizo basi ndio majanga ila ukipata hizi ngarangara aaaah uhakika nduguHahahah hizo posho unapataje na basi za Kilimanjaro haziokotagi abiria njiani? [emoji1787]
Hahahah kweli.Sema kwa hizo basi ndio majanga ila ukipata hizi ngarangara aaaah uhakika ndugu
Acha viwuHuli degree kwahiyo siyo sababu
Asilimia 21 ya Wazanzibar imetengwa ?.Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Nikuonee wivu wewe unaefugwa kama mbuzi hapo kwa shemeji yako au nani?Acha viwu
Tahmeed watoe hapoKweli uchumi umekua kazi zinaanza kuheshimika soon wahudum WA bar watakua graduates Kila kitu huduma itatolewa professionally,
Hongera sana kampuni za Kilimanjaro, Ratco, Tahmeed , abood na Tilisho kwa kutambua umuhimu WA good customer service
Hao ni wale waliokua shortlisted pia ni kati ya walioweza kufika.Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Na bado posho ya safariapo wanawapita baadhi ya walimu mf daraja la 3A
Kigezo Chakwaza uwe mchaga, mali ya mchaga inasimamiwa na mchagaJana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Kwani degree ni kitu gani? Nitafutie ajira huko nchini ambazo kiuhalisia zinahitaji mtu mwenye degree!Ni wasomi wale usidhani masihara ni diploma,na degree
Duh! Wee mbususu haisuswi kamwe!Kuna mmoja ni wa basi la shabiby aisee, aliniganda nimdinye hadi nikakimbia, hata baada ya kumwelewesha kwamba mimi ni mlokole nimeacha hizo dhambi bado ananifuata fuata hadi leo. nimekuja kugundua ameachika kwa talakaa liyokuwa amevamia ndoa ya mtu wakafunga ndoa magumashi bomani, na ametelekezewa mtoto anahangaika na yeyote atakayemwona. wapeni mishahara mizuri basi.
Ngarangara ganji mlimaSema kwa hizo basi ndio majanga ila ukipata hizi ngarangara aaaah uhakika ndugu
Hahahah hizo posho unapataje na basi za Kilimanjaro haziokotagi abiria njiani? [emoji1787]
Sasa hao unakuta nao wamedhibitiwa🤣 ile kampuni sio ya kiSwahili swahili. Kumbuka inaongoza kupakia hadi wazunguKuna wale wa kutuma mizgo midogo midogo kama simu pc and etc bei ya office hua kubwa so unaelewana na konda unampa ya mkono anafikisha mzigo vzuri kabsa.
Unakaongelea kale katoto cheupeKuna mhudumu wa Tilisho alifaa kuwepo Air Tanzania kabisa hawa mnaita sijui air hostess, sasa hawa tuwaite bus hostess.
Wabongo tunakwama wapi!? Au ndio ujinga!? Tuseme Kwa mfano wazungu wote wamesoma, kama ndio Hivyo, Je hakuna housemaids, hakuna casino maids, Hakuna barmaid, hakuna road cleaners any Way inabidi tufikie mahali tujue kusoma ni kuboresha chochote utakachofanya hapa duniani, watu Wana masters ulaya wanaenda kuuza migahawa!? Tuache ushambaWapo mbona sema huwezi wajua kwa sababu wanaficha, kuna mmoja amemaliza Chuo vha Uhasibu Arusha ni House Girl kwa mzungu,
Hako hako, sijui kachaga kale!Unakaongelea kale katoto cheupe