Kilimanjaro Express Kuanza Safari za Usiku

Kilimanjaro Express Kuanza Safari za Usiku

Sasa naona Ile mbinu ya kuua safari za train ya Moshi to dar to Moshi imeanza. TRC mpoo? Maza upo? Pole Pole sema neno train yetu itapata wapi wateja wa usiku?
Na zife tu maana zikiwepo ni upigaji tu unaendelea wanafaidi wachache wengi wanakosa......
 
Treni n usafiri wa Raha kwa wapenzi wa kusafiri na kufurahi.

Imagine
Unasafiri huku umelala
Unasafiri huku unakula
Unasafiri huku unalewa
Unasafiri huku unazudhurura

Sema treni ubaya Giza likiingia taa huwashwa kuzimwa mpaka saa moja asubuh
 
Kilimanjaro anamjibu kapricon bus Yan anamuweka mtu Kati baada ya kuanza safari ya saa nane mchana yeye Kilimanjaro express Nate kapricon akaanzisha saa 10 jioni Sasa kaamua kuniwekea ya saa 2.

Chombo zetu zile za ukienda umeshika 12k mkononi unataka kwenda Arusha au dar naona zikiondolewa tararibu.

Saibaba, harambee komaeni sie wadau wenu tushazoeana kuvumiliana
Saibaba na Harambee, dereva kalewa, kondakta kalewa na abiria wamelewa....sijui nani aligundua pombe.
 
Kampuni ya Kilimanjaro Express kuanza karibuni safari zake za usiku

Kwa mujibu wa Tangazo lililotolewa kwenye ukurasa wake wa twiter, Huduma ya usafiri itaanza saa 2 Usiku kuanzia Dar-Moshi-Arusha

Kwa mujibu wa afisa wa Kampuni hiyo ambaye nimeongea naye kwa njia ya simu, amethibisha kuwepo kwa safari hizo zinaozotegea kuanza hivi pumde.

" Ni kweli safari hizo zitaanua hivi karibuni, tutawapa taarifa wateja wetu, tunachokisubifia kwa sasa ni kupata idhini ya mwisho toka mamlaka za serekali, lakini hatua tuliofikia ni nzuri, tupo kwenye uratibu wa mwisho ili kuanza safari hizo" Alisema afisa huyo.

View attachment 1870410
Wazingatie kikomo cha mwendo na usalama wa abiria
 
Saibaba na Harambee, dereva kalewa, kondakta kalewa na abiria wamelewa....sijui nani aligundua pombe.
Mkifika sehemu kumechangamka mnamwambia dereva anasimama mnashuka mnaangalia Kama Kuna mpya mnasepa.

Wazee wa 9t Kali hatari Sana sema sikuhz walevi hamna watu wamejua kubajet pesa zao sema walevi wameamia kwenye treni
 
Kampuni ya Kilimanjaro Express kuanza karibuni safari zake za usiku

Kwa mujibu wa Tangazo lililotolewa kwenye ukurasa wake wa twiter, Huduma ya usafiri itaanza saa 2 Usiku kuanzia Dar-Moshi-Arusha

Kwa mujibu wa afisa wa Kampuni hiyo ambaye nimeongea naye kwa njia ya simu, amethibisha kuwepo kwa safari hizo zinaozotegea kuanza hivi pumde.

" Ni kweli safari hizo zitaanua hivi karibuni, tutawapa taarifa wateja wetu, tunachokisubifia kwa sasa ni kupata idhini ya mwisho toka mamlaka za serekali, lakini hatua tuliofikia ni nzuri, tupo kwenye uratibu wa mwisho ili kuanza safari hizo" Alisema afisa huyo.

View attachment 1870410
Badilisheni tabia kwenye mizigo mnanyanyasa sana haswa arusha wahudumu marigold wanasahau ethics
 
Back
Top Bottom