fabricantoil
Member
- Dec 17, 2019
- 22
- 23
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale ng'ombe wa wamasai unewatengea ekari ngapi mkuu maana lazima uwalishe huwezi kulima ekari zote hizo kumi wasishiriki kula matunda yako never!
Mkuu kilimo cha kusikia usipimeeeee
Gharama za kuvuna umeacha
Gharama za Kupukucha
Gharama za kusafirisha mbegu
Gharama za magunia
Gharama za kusafirisha mazao
Gharama za Dawa ya kuua wadudu
Gharama za kupakia na kushusha mzigo
Gharama za ulinz shambani
Hiki kilimo we acha tu hahahaha
Sawa...kama ekari yako ina ukubwa wa sqm 4900 utapata mashimo 4900 yenye umbali wa mita 1.Hapo utapanda mahindi 3 kila shimo na utapata 14,700 ambayo yatazaa mahindi 29400.Kati ya haya 21050 yatakuwa grade 1 utauza 300 kila moja na kupata 6,615,000/- kwa heka moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa sana Kupata taarifa jamaa yangu Tunafanyaje hapo?Ni fursa pekee nitakayoipigania mwaka 2020.
Iko hivi nilipanda mashimo 2200 ambapo niliweka mbegu 2 kila shimo. Hivyo nilikuwa na mashina kama 4000. Mahindi yalizaa mawili ambapo moja kubwa na lingine dogo. Nilivuna takribani mahindi 5000 na kuyauza kila moja sh 300 na kupata mil 1.5 ndani ya siku 75 na yaliyobakia nilikausha nikapata kama gunia 1. Sasa nimepanda mashimo 6000 na February nitapanda mengine 10,000.
Faida ya Kilimo Cha Mahindi.
1.Hayahitaji dawa nyingi za wadudu zaidi ya dawa moja tu.
2.Gharama zake ni ndogo.Mfano ekari moja unatumia kama laki 4 tu.
3.Wateja wa mahindi mabichi sio issue na hata yakikauka unauza makavu.
4.Hauhitaji kuwa shambani muda mwingi.
Karibuni tulime mahindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatarajia kuanza kilimo tena lini? nitakuja kukutembelea nipo lugoba hapa
Kilindi home sweet home.Nenda ukalime Kilindi, mwezi wa tatu kuna kilimo cha Maharage.
Mhhh,ndo nasafisha shamba kiongoz,..kwann hu recomend mabwana shambaUmeyalimaje?
Nikiwa na maana umetumia mbolea gani kuhakikisha yatakua na kwa wingi na kama umeyalima kwa taratibu zamabwana shamba tafadhali kata yote uanze upya
Hahahah.mwaka huu nataka nione je yaliyomo yamo kwenye kilimo?maana maneno yamekua meng sanaInjinia mwenye paso katika ubora wako[emoji41][emoji41]