Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

pia bei wakati wa mavuno mfuko hauzidi 25,000/= sawa na debe 5,000 au kilo 250/=.

abaki na kilimo kinachotegemea gb na mb tu sio real field farming!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningependa sana Kupata taarifa jamaa yangu Tunafanyaje hapo?
 
Habari za jioni. Nahitaji kulima mahindi ya kisasa (ya muda mfupi).

Kwa wale wataalamu wa mambo ya kilimo, ni mbegu gani inafaa ukanda wa mkoa wa Geita?

Naomba kusaidiwa aina ya mbegu ambayo natakiwa kupanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume wa Dar 2020 nimekuja kivingine. Nimedhamiria kufanya hili.

Naombeni ushauri wadau, napotea ama?
 
Umeyalimaje?
Nikiwa na maana umetumia mbolea gani kuhakikisha yatakua na kwa wingi na kama umeyalima kwa taratibu zamabwana shamba tafadhali kata yote uanze upya
 
Umeyalimaje?
Nikiwa na maana umetumia mbolea gani kuhakikisha yatakua na kwa wingi na kama umeyalima kwa taratibu zamabwana shamba tafadhali kata yote uanze upya
Mhhh,ndo nasafisha shamba kiongoz,..kwann hu recomend mabwana shamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…