MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,036
- 737
- Thread starter
- #21
Sikurupuki naanza na hizo heka chache ili nijue mchakato mzima mkuu,bora nionekane mzembe lkn mm naelewa ninachofanya silimi kilimo cha huku jf na wala katk hilo sikukuomba ushauri we niachie mm,UJINGA NI WAKATI WA KWENDA TU!! we niache!Cjui ni uoga au uzembe.... au nini cjui.......
Hivi kweli umekaa katika kazi miaka 10... ukaona msoto afu unataka ujikomboe kwa heka 3.
Inakuja akilini kweli....
Sio ndio unajiongezea matatizo......
Ukiamua kutupa jiwe... litupe mbaali hata likirudi chini lisikupige.... next time tupa karibu uone km halikugongi kichwani