Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Makubaliano na vibarua mkuuOk na kuangusha msitu inaeza kuwa km kiasi gani mkuu? Samahan kwa maswal mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makubaliano na vibarua mkuuOk na kuangusha msitu inaeza kuwa km kiasi gani mkuu? Samahan kwa maswal mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nia zote zinakubalika. So pambana na Hali yakoUnalima kienyeji au kitaalamu ili wa mikoa mingine tujifunze zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nina eneo maeneo ya huko niliambiwa 70000 kwa heka maana lilikua na msitu amaizingOk na kuangusha msitu inaeza kuwa km kiasi gani mkuu? Samahan kwa maswal mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbegu ya mahindi ya dawa inatoa gunia ngapi kwa heka? nataka nilime huko mwaka huu.
Sehemu gani na hiyo bei ya kununua kukodiii...?Mie nina eneo maeneo ya huko niliambiwa 70000 kwa heka maana lilikua na msitu amaizing
Kinalipaje wakati ukishavuna tu unazuiwa kuuza?Kwa wale waliowahi kulima mahindi Kilagano peramiho Songea, wataungana na mm kuwa ni kama sehemu iliyobarikiwa.
Vijana wengi wanatoka kimaisha kupitia kilimo cha mahindi katika pori la kilagano. Vibarua wengi wahamia huko msimu wa mvua. Hela ndogo mnoo kukodi maashamba. Wengi wanunua mashamba na kuhamia kule mazima.
Ewe kijana mwenzangu twende kilagano sasa na maandalizi ni mwezi wa 9 kukodi na mwezi wa 10 kulima.
Kama unakodi shamba lenye msitu kumbuka kuangusha ni mwez March. So utasubiri March uangushe na October mwakani ukalime. Wahi sasa mashamba ni mengi na ekari nyingi. Usalama 100%..
Kwa maswali 0625686556
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vipi kama nahitaji kununua shamba huko.Kinalipaje wakati ukishavuna tu unazuiwa kuuza?
Ndio maana ukulima ni tusi na ni adhabu rasmi nchi tanzania.
Liweta, hii ni bei ya kusafisha shamba kwa heka maana shamba lilikua msitu mno.
Ekari kuanzia 250000mkuu vipi kama nahitaji kununua shamba huko.
gharama ipoje kwa hekari moja..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naliaga Simanjiro maharage. Ila ni kilimo cha nvua kama kuna mtu anaweza kunielekeza kilimo cha umwagiliaji ntashukur
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwa na mawazao mgando.. [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kinalipaje wakati ukishavuna tu unazuiwa kuuza?
Ndio maana ukulima ni tusi na ni adhabu rasmi nchi tanzania.
Wewe unalimia wapi mkuu.Simanjiro kukame sana kule mvua zake sio za uhakika
Karibu Turiani mkuu tufanye kilimo cha umwagiliaji katika ardhi yenye rutuba na maji ya uhakika.Mimi naliaga Simanjiro maharage. Ila ni kilimo cha nvua kama kuna mtu anaweza kunielekeza kilimo cha umwagiliaji ntashukur
Sent using Jamii Forums mobile app
How?
Labda kukodi kupigia pixhaWapi Tanzania hii utauziwa ardhi kwa sh5000/=?!
Niwapi huko mi niko chugaKaribu Turiani mkuu tufanye kilimo cha umwagiliaji katika ardhi yenye rutuba na maji ya uhakika.