Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Je! Umekua ukilima MAHINDI lakini mavuno kidogo?
Pata elimu ya kilimo cha mahindi kuanzia kuchagua shamba hadi kuvuna.
For Consultation Call +255 755 325 442
IMG_20170902_211442_711.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watalaam wa kilimo cha mahindi kuna mambo mengi nataka kujifunza kutoka kwenu!!! Katika msimu ujao nimeandaa shamba la ekari 4 za kulima mahindi, sasa kuna maswali nahitaji ufumbuzi wake kama ifuatavyo:-
  1. Mbegu bora na nzuri kwa kulima na ambayo inazalisha sana ni ipi?
  2. Katika kupanda vipimo kati ya mche na mche ni vipi? Na je kila shimo moja unapopanda mbegu inatakiwa mbegu ngapi?
  3. Mbolea ipi inafaa kwa kupandia na kipimo chake ni kipi au kipoje?
  4. Palizi ya kwanza hufanyika baada ya muda gani toka kupandwa kwa mbegu?
  5. Pia mbolea ipi inafaa kwa kukuzia na huwekwa baada ya mimea kuwa na muda gani? Na kipimo chake ni kipi? Maswali hayo hayatoshi kama una ujuzi zaidi juu ya zao hili la mahindi una weza ongeza maana mchango wako ni wa muhimu sana!! Mm nipo mkoa wa Iringa!!
 
Na pia kwa heka moja unapata gunia ngap?nimeongezea tu samahan
 
mbegu za mahindi hutofautiana kulingana na nyanda,kuna nyanda za chini kama mwaza,singida n.k,na nyanda za juu kama mbeya...unaendalima mkoa upi?,tuanzie hapo.
 
Heka moja unaweza pata gunia 15 kama mahindi yatazaa mawili mawili
 
Watalaam wa kilimo cha mahindi kuna mambo mengi nataka kujifunza kutoka kwenu!!! Katika msimu ujao nimeandaa shamba la ekari 4 za kulima mahindi, sasa kuna maswali nahitaji ufumbuzi wake kama ifuatavyo:-
  1. Mbegu bora na nzuri kwa kulima na ambayo inazalisha sana ni ipi?
  2. Katika kupanda vipimo kati ya mche na mche ni vipi? Na je kila shimo moja unapopanda mbegu inatakiwa mbegu ngapi?
  3. Mbolea ipi inafaa kwa kupandia na kipimo chake ni kipi au kipoje?
  4. Palizi ya kwanza hufanyika baada ya muda gani toka kupandwa kwa mbegu?
  5. Pia mbolea ipi inafaa kwa kukuzia na huwekwa baada ya mimea kuwa na muda gani? Na kipimo chake ni kipi? Maswali hayo hayatoshi kama una ujuzi zaidi juu ya zao hili la mahindi una weza ongeza maana mchango wako ni wa muhimu sana!! Mm nipo mkoa wa Iringa!!
Mche /mche ni 25/30 cm& mtari/mstari ni 70/65
Mbegu 1@shimo
Palizi mara baada ya nyasi kuota au kabla ya cku 21,mbolea weka mahindi yakiwa na 21 days kwa kiwango cha kisoda 1,Aina ya mbolea hutegemea aina ya Ardhi-unaweza tumia mbolea aina ya Yara.
 
Watalaam wa kilimo cha mahindi kuna mambo mengi nataka kujifunza kutoka kwenu!!! Katika msimu ujao nimeandaa shamba la ekari 4 za kulima mahindi, sasa kuna maswali nahitaji ufumbuzi wake kama ifuatavyo:-
  1. Mbegu bora na nzuri kwa kulima na ambayo inazalisha sana ni ipi?
  2. Katika kupanda vipimo kati ya mche na mche ni vipi? Na je kila shimo moja unapopanda mbegu inatakiwa mbegu ngapi?
  3. Mbolea ipi inafaa kwa kupandia na kipimo chake ni kipi au kipoje?
  4. Palizi ya kwanza hufanyika baada ya muda gani toka kupandwa kwa mbegu?
  5. Pia mbolea ipi inafaa kwa kukuzia na huwekwa baada ya mimea kuwa na muda gani? Na kipimo chake ni kipi? Maswali hayo hayatoshi kama una ujuzi zaidi juu ya zao hili la mahindi una weza ongeza maana mchango wako ni wa muhimu sana!! Mm nipo mkoa wa Iringa!!
Kwanza, upo WAP??? Kujua Aina ya mbegu Nzuri

Pili, spacing 30*75

Tatu, MBOLEA ya kupandia ni DAP na MBOLEA ya kukuzia n UREA

NNE, palizi ya kwanza n cku 14 baada ya kuoga mbegu!!
 
Kwanza, upo WAP??? Kujua Aina ya mbegu Nzuri

Pili, spacing 30*75

Tatu, MBOLEA ya kupandia ni DAP na MBOLEA ya kukuzia n UREA

NNE, palizi ya kwanza n cku 14 baada ya kuoga mbegu!!
Nipo Iringa
 
Kwanza, upo WAP??? Kujua Aina ya mbegu Nzuri

Pili, spacing 30*75

Tatu, MBOLEA ya kupandia ni DAP na MBOLEA ya kukuzia n UREA

NNE, palizi ya kwanza n cku 14 baada ya kuoga mbegu!!
Mbolea ya kukuzia huwekwa baada ya siku ngapi?
 
Watalaam wa kilimo cha mahindi kuna mambo mengi nataka kujifunza kutoka kwenu!!! Katika msimu ujao nimeandaa shamba la ekari 4 za kulima mahindi, sasa kuna maswali nahitaji ufumbuzi wake kama ifuatavyo:-
  1. Mbegu bora na nzuri kwa kulima na ambayo inazalisha sana ni ipi?
  2. Katika kupanda vipimo kati ya mche na mche ni vipi? Na je kila shimo moja unapopanda mbegu inatakiwa mbegu ngapi?
  3. Mbolea ipi inafaa kwa kupandia na kipimo chake ni kipi au kipoje?
  4. Palizi ya kwanza hufanyika baada ya muda gani toka kupandwa kwa mbegu?
  5. Pia mbolea ipi inafaa kwa kukuzia na huwekwa baada ya mimea kuwa na muda gani? Na kipimo chake ni kipi? Maswali hayo hayatoshi kama una ujuzi zaidi juu ya zao hili la mahindi una weza ongeza maana mchango wako ni wa muhimu sana!! Mm nipo mkoa wa Iringa!!
Mkuu tafuta uzi upo humu ndani unaelezea kila kitu we search tu kilimo cha mahindi utaupata..!!!
Mbona kila kitu humu jf kimo afu mnahangaika tu yani kabla ya kuandika unachotafuta jaribu kwanza kuangalia kama hiyo topic imo humu ndani.[emoji134]
 
Mkuu tafuta uzi upo humu ndani unaelezea kila kitu we search tu kilimo cha mahindi utaupata..!!!
Mbona kila kitu humu jf kimo afu mnahangaika tu yani kabla ya kuandika unachotafuta jaribu kwanza kuangalia kama hiyo topic imo humu ndani.[emoji134]
kweli kabisa mkuu.
 
Nenda Morogoro au Babati.utakodi shamba kwa Tsh: 50000 or 70000/= kwa heka moja.uwe na mtaji iwapo unataka kulima kibiashara.kodi heka kuanzia 30 na ulime kwa trekta.kukodi trekta kulima kwa heka moja ni Tsh: 40000 or 50000/=.kumbuka kama mahindi umepanda kisasa na kumwaga mbolea na kupalilia vizuri bila kuacha majani yakazorotesha mazao utavuna gunia 10 mpaka 13 kwa heka.hesabu zingine piga mwenyewe.nimekusaidia kidogo.kulima heka mbili za mahindi ni kulima chakula cha familia yako tu.na si kilimo cha kupata mtaji kwa mtu aliechoka kuajiliwa na kuamua kua mkulima.huwezi toka kuajiliwa kama nilivyo mimi hapa then nikaenda kulima heka 2 au 3 ni kupoteza muda.lima shamba heka kuanzia 30 mpaka 50.na kwa uchache kilimo hicho ili kikutoe andaa mtaji japo milion 8 mpaka 10m

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Mkuu hii ya moro ni kutegemea rehema za Mungu au kuna umwagiliaji??
 
Sikurupuki naanza na hizo heka chache ili nijue mchakato mzima mkuu,bora nionekane mzembe lkn mm naelewa ninachofanya silimi kilimo cha huku jf na wala katk hilo sikukuomba ushauri we niachie mm,UJINGA NI WAKATI WA KWENDA TU!! we niache![/QUOTE
Ila inaonekana unatumia pesa nyingi sana.Ila sikulaumu cze utajiongeza ukishamaliza kuvuna n kupiga hesabu
 
Mkuu hii ya moro ni kutegemea rehema za Mungu au kuna umwagiliaji??
Fanya mawasiliano na idara ya hali ya hewa lakini zaidi ya yote usikae mbali na mwambao wa maji ili ikitokea mvua zimegoma unaweka mashine ya kuvuta maji
 
Back
Top Bottom