Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Nenda Morogoro au Babati.utakodi shamba kwa Tsh: 50000 or 70000/= kwa heka moja.uwe na mtaji iwapo unataka kulima kibiashara.kodi heka kuanzia 30 na ulime kwa trekta.kukodi trekta kulima kwa heka moja ni Tsh: 40000 or 50000/=.kumbuka kama mahindi umepanda kisasa na kumwaga mbolea na kupalilia vizuri bila kuacha majani yakazorotesha mazao utavuna gunia 10 mpaka 13 kwa heka.hesabu zingine piga mwenyewe.nimekusaidia kidogo.kulima heka mbili za mahindi ni kulima chakula cha familia yako tu.na si kilimo cha kupata mtaji kwa mtu aliechoka kuajiliwa na kuamua kua mkulima.huwezi toka kuajiliwa kama nilivyo mimi hapa then nikaenda kulima heka 2 au 3 ni kupoteza muda.lima shamba heka kuanzia 30 mpaka 50.na kwa uchache kilimo hicho ili kikutoe andaa mtaji japo milion 8 mpaka 10m

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Je,gharama za kusafirisha kutoka Maeneo ya Moro ambayo km sikosei ni Gairo,Kilosa,Dakawa,mikumi nk. Na za ruvu to Dar kama soko ametarget iwe ni Dar hii inakuwaje?
 
Habari wakuu,

Kuna aina ya huyu mdudu hapa kama mnavyomuona amevamia kilimo cha mahindi mwaka huu Iringa, kwa mwenye ujuzi juu ya huyu mdudu tunaomba msaada.

images-7.jpg
 
Habari wakuu
kuna aina ya huyu mdudu hapa kama mnavyomuona amevamia kilimo cha mahindi mwaka huu Iringa, Kwa mwenye ujuzi juu ya huyu mdudu tunaomba msaadaView attachment 642049
Poleni sana. Huyo siyo kiwavi jeshi. Uzaramoni huku humwita huyo mdudu Sondo. Inabidi unyunyuzie mahindi dawa kila wiki. Huyo mdudu tofauti na kiwavi jeshi, yeye hutaga mayai ambayo huanguliwa baada ya muda mfupi sana na hukua haraka sana. Hushambulia majani, mbelewele na hatimaye mahindi wenyewe. Hudumaza zana mahindi na hufanya mahindi yasikue ipasavyo. Alisumbua sana Bagamoyo na pwani yote mwaka huu. Pata ushauri zaidi toka kwa maafisa kilimo kabla madhara hayajawa makubwa
Habari wakuu,

Kuna aina ya huyu mdudu hapa kama mnavyomuona amevamia kilimo cha mahindi mwaka huu Iringa, kwa mwenye ujuzi juu ya huyu mdudu tunaomba msaada.

View attachment 642049

Habari wakuu,

Kuna aina ya huyu mdudu hapa kama mnavyomuona amevamia kilimo cha mahindi mwaka huu Iringa, kwa mwenye ujuzi juu ya huyu mdudu tunaomba msaada.

View attachment 642049
 
Poleni sana. Huyo siyo kiwavi jeshi. Uzaramoni huku humwita huyo mdudu Sondo. Inabidi unyunyuzie mahindi dawa kila wiki. Huyo mdudu tofauti na kiwavi jeshi, yeye hutaga mayai ambayo huanguliwa baada ya muda mfupi sana na hukua haraka sana. Hushambulia majani, mbelewele na hatimaye mahindi wenyewe. Hudumaza zana mahindi na hufanya mahindi yasikue ipasavyo. Alisumbua sana Bagamoyo na pwani yote mwaka huu. Pata ushauri zaidi toka kwa maafisa kilimo kabla madhara hayajawa makubwa
Dawa inanayotumika kunyunyuzia ni ipi mzee?
 
Mara moja tu,ikijirudia tena unapuliza,but am sure ni mara moja tu kwisha habari yake,shamba lipo maeneo gani iringa.
 
Angalia hiyo dawa kwa mama mahenge au Lucy mbembati,ukikosa tuwasiliane kwa namba 0759812022
 
Huyo ni kiwavi jeshi na hupendelea kushambulia nyasi na mazao aina ya nyasi kama mahindi, mtama na ulezi, na viatilifu inayotumika ni za kunyunyizia kama dusban,karate duduall n.k,ila kuna hii dawa huwa inaitwa profecron inafanya vizuri zaidi.
IMG_20170402_132448.jpg
 
Siyo kiwavi jeshi (army warm) hapana huyo ni mdudu mwingine tofauti,hiyo profecron au agrocron zimeshindwa.
 
Back
Top Bottom