Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Mhhh,ndo nasafisha shamba kiongoz,..kwann hu recomend mabwana shamba
Watakuchelewesha kufikia kilele cha mafanikio watakuja na mbinu zao ambazo huwa zinazalisha kidogo.
.
Kuna mbolea inaitwa DAB inauzwa kati ya elfu 45-60 mfuko mmoja unaweza kupandia ekari zote 5 ikiwa unapesa nyingi unaweza kupanda kwa eka mbili au moja na nusu.
Ukiipata hii my friend you're on top of Kilimanjaro mountain na usikubali ushauri wao kwamba usichanganye mazao we piga hata matatu humohumo.
.
Nina shamba mkoa fulani nimeshalima Mahindi, Alizeti na Maharage humohumo mkuu ni habari ingine shamba lina hekari 4 tu
 
Ni gharama za motivational speaker huwa naziita hazina ulazima.
Mbegu atafute kwa watu ambayo ililimwa mwaka jana yani haijalimiwa mara mbili habari ya kununua zenye madawa ataumia kwenye parizi


Duh ww kiboko...mbegu madukan kilo moja 12000!inakuwia nn ugumu kununia mbegu mpya? Duh...kwel ww wa zaman sana!..ten ile sijui wanaita tumbili na meru513 mbegu nzuri sana 60days unakula mahindi...
 
Duh ww kiboko...mbegu madukan kilo moja 12000!inakuwia nn ugumu kununia mbegu mpya? Duh...kwel ww wa zaman sana!..ten ile sijui wanaita tumbili na meru513 mbegu nzuri sana 60days unakula mahindi...
Uzamani wangu ndio nafuu ya mkulima.
Mbegu hizo ulizozitaja na zingine ambazo hujazitaja ni maumivu
Ngoja nikufundishe.
.
Kwa ekari 5 utahitajika kutumia zaidi ya mifuko 15
Zinapandwa kwa kamba ili upate matokeo yaliyokusudiwa na watengenezaji pale kuna vipimo vya upana na urefu.
.
Ukimaliza zoezi la upandaji ambalo litakugharimu fedha nyingi si chini ya laki 7+ tena kwa eneo alilopo Bagamoyo ndio kaumia zaidi inaweza kufika million 1 mahindi hayo yakishachipua tu yanahitaji parizi hapo hela inahitajika maana shamba ni kubwa kuna parizi ya pili tena itakusubiri.
.
My friend wakati unavuna na kufikisha mavuno hayo unakokutaka utajikuta huna faida hata theluthi
 
Sasa ngoja nikufundishe ww msukuma...ukitumia mbegu zilizotumika nyuma unapata mazao machache na duni unapata mahund madogodogo...makubwa ya kuhesabu..hapa mie naongelea kilimp biashara mkuu...!..na akitaka faida ayaprocess mwenyewe auze unga ataona faida yake! Bado uko nyuma sana aisee!

Uzamani wangu ndio nafuu ya mkulima.
Mbegu hizo ulizozitaja na zingine ambazo hujazitaja ni maumivu
Ngoja nikufundishe.
.
Kwa ekari 5 utahitajika kutumia zaidi ya mifuko 15
Zinapandwa kwa kamba ili upate matokeo yaliyokusudiwa na watengenezaji pale kuna vipimo vya upana na urefu.
.
Ukimaliza zoezi la upandaji ambalo litakugharimu fedha nyingi si chini ya laki 7+ tena kwa eneo alilopo Bagamoyo ndio kaumia zaidi inaweza kufika million 1 mahindi hayo yakishachipua tu yanahitaji parizi hapo hela inahitajika maana shamba ni kubwa kuna parizi ya pili tena itakusubiri.
.
My friend wakati unavuna na kufikisha mavuno hayo unakokutaka utajikuta huna faida hata theluthi
 
Duh ww kiboko...mbegu madukan kilo moja 12000!inakuwia nn ugumu kununia mbegu mpya? Duh...kwel ww wa zaman sana!..ten ile sijui wanaita tumbili na meru513 mbegu nzuri sana 60days unakula mahindi...
Fikiria hili.
Unanunua mbegu iliyolimwa mara moja gunia zima kwa elfu 45-50 unakwenda kupanda bila makamba yao wala vipimo (unaokoa muda)
Bila kusahau maharage debe zangu 5
.
Haya mpaka yakue saizi ya ugoko ndio yahitaji parizi na parizi yenyewe haihitaji kukimbizana unatenga muda wako saafi kabisa masaa yako manne - matano kwa mimi napiga vibaya sana watu wa kunisaidia nakuwa nao wanne au watano wakizidi pia ni kheri.
.
Kumbuka nimetumia gharama ndogo kulima na upatikanaji wa mbegu nitatoboka fedha nyingi kwenye parizi na uvunaji hapa faida lazima iwepo.
 
Sasa ngoja nikufundishe ww msukuma...ukitumia mbegu zilizotumika nyuma unapata mazao machache na duni unapata mahund madogodogo...makubwa ya kuhesabu..hapa mie naongelea kilimp biashara mkuu...!..na akitaka faida ayaprocess mwenyewe auze unga ataona faida yake! Bado uko nyuma sana aisee!
😝😝😝
Nakukaribisha shambani kwangu niko karibu kabisa na shamba darasa uje ulinganishe kati ya shamba langu na la wataalamu lipi bora.
.
Nimetumia mbolea ya ng'ombe na DAB tu mbegu nimetumia mahindi ya mwaka jana na hii ni mara ya pili nimelima mara ya kwanza nimeshavuna tarehe za mwanzoni mwezi huu.
Baada ya hapa naingia kwenye mpunga
 
Fikiria hili.
Unanunua mbegu iliyolimwa mara moja gunia zima kwa elfu 45-50 unakwenda kupanda bila makamba yao wala vipimo (unaokoa muda)
Bila kusahau maharage debe zangu 5
.
Haya mpaka yakue saizi ya ugoko ndio yahitaji parizi na parizi yenyewe haihitaji kukimbizana unatenga muda wako saafi kabisa masaa yako manne - matano kwa mimi napiga vibaya sana watu wa kunisaidia nakuwa nao wanne au watano wakizidi pia ni kheri.
.
Kumbuka nimetumia gharama ndogo kulima na upatikanaji wa mbegu nitatoboka fedha nyingi kwenye parizi na uvunaji hapa faida lazima iwepo.



Sasa kwani ile kamba unahis ni ya nn..si kurahihisha tu mistar kunyooka isikusumbue ktk palizi best??...na kwantaarifa yako ukibananisha mahindi hayazai yanakuwa yanarefuka tu na migagi kwasana😅...yanakosa kupumua...vipimo muhim sana sana!...hayo mahind yako yaliyolimwa yakijitahd sana unaweza pata gunia 3 kwa eka!..!..
 
Kabisa,kwa maeneo haya ya pwan nmeona kuna mbegu flan hiv recomended,...kuna kijarida nnacho hapa,..ila ni vzur kupata ushaur practical kabisa..wew unarecomend mbegu gan kiongoz.maana vijarida navyo siviamin

Kila kanda kuna mbegu recomended..tumia hizo jarida
 
Watakuchelewesha kufikia kilele cha mafanikio watakuja na mbinu zao ambazo huwa zinazalisha kidogo.
.
Kuna mbolea inaitwa DAB inauzwa kati ya elfu 45-60 mfuko mmoja unaweza kupandia ekari zote 5 ikiwa unapesa nyingi unaweza kupanda kwa eka mbili au moja na nusu.
Ukiipata hii my friend you're on top of Kilimanjaro mountain na usikubali ushauri wao kwamba usichanganye mazao we piga hata matatu humohumo.
.
Nina shamba mkoa fulani nimeshalima Mahindi, Alizeti na Maharage humohumo mkuu ni habari ingine shamba lina hekari 4 tu
Dah,saf sana kiongoz,yaan hapa nna vijarida ving kwel had vinanichanganya
 
Sasa kwani ile kamba unahis ni ya nn..si kirahihisha ru mistar kunyioko isikusumbue ktk palizi best??...na kwantaarifa yako ukibananisha mahindi hayazai yanakuwa yanarefuka tu na migagi kwasana😅...yanakosa kupumua...vipimo muhim sana sana!...hayo mahind yako yaliyolimwa yakijitahd sana unaweza pata gunia 3 kwa eka!..!..
Huo ni ujinga kwa shamba la eka moja mimi napiga gunia hadi 30 nasitumii mbegu ya kisasa hata moja.
.
Humohumo napanda maharage na mahindi tena sifati kipimo chochote na parizi yangu ni very friendly yani huumii wiki ijayo yani kuanzia jumatatu naingia mzigoni baada ya wiki mbili hamna kitu
 
😝😝😝
Nakukaribisha shambani kwangu niko karibu kabisa na shamba darasa uje ulinganishe kati ya shamba langu na la wataalamu lipi bora.
.
Nimetumia mbolea ya ng'ombe na DAB tu mbegu nimetumia mahindi ya mwaka jana na hii ni mara ya pili nimelima mara ya kwanza nimeshavuna tarehe za mwanzoni mwezi huu.
Baada ya hapa naingia kwenye mpunga

Mbole ulizotumia ni zenyew kupandia..bado kukuzia..all the best!
 
Watakuchelewesha kufikia kilele cha mafanikio watakuja na mbinu zao ambazo huwa zinazalisha kidogo.
.
Kuna mbolea inaitwa DAB inauzwa kati ya elfu 45-60 mfuko mmoja unaweza kupandia ekari zote 5 ikiwa unapesa nyingi unaweza kupanda kwa eka mbili au moja na nusu.
Ukiipata hii my friend you're on top of Kilimanjaro mountain na usikubali ushauri wao kwamba usichanganye mazao we piga hata matatu humohumo.
.
Nina shamba mkoa fulani nimeshalima Mahindi, Alizeti na Maharage humohumo mkuu ni habari ingine shamba lina hekari 4 tu


Hahhahaa ww mgeni...eti unamwambia kuna mbolea inaitwa DAB...dah!😅...sema apandie mbole...zinajilikana..hyo kumix mazao nadhan mazao ya kunde kunde sio mbya!...ww weka hata mazao kumi shamba moja!/maana unaonekan ndo unajifunza! Weka na uwele kbs
 
Back
Top Bottom