Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mnapenda magendo sana? Hao waganda Kama wanataka kununua si wake kununua? Hakuna aliyewazuiaJambo baya kwa serikali yangu ni bora ziharibike mashambani kuliko kuvusha Uganda eti... mi nashauri mchange nauli muunde kamati ndogo ya kumuona bashe it's seriously issue
Hiyo ni kwenye makaratasi. Kuna watu tena wenye akili kabisa walitapeliwa na jamaa flani hivi laianzisha kampuni na kujiita Vanilla internationalHii Vanila ndio nilisikia mahala kilo moja Tsh milioni moja!
Au nilikuwa naota huku natembea juani!
Hakuna Bei ya hivyo, Kuna wajinga walishatapeliwa na vanilla international kuwa watoe pesa watalimiwa na kuuziwa kwa hiyo bei. Kaulize kilichowakuta.Maana kuna bei fulani zilitajwa sjui kg 1000000 mara 700000
Hebu mdau afunguke kg1 wanauzaje
Ova
Tunajitahudi sana kulinda kwa Mundu mishale hata shaka mkuuPole mkuu, hivi wale wezi wa vanila mashambani mmewadhibiti vp mkuu?
Huyu jamaa anawapiga sana wazanzibar na anapewa hela na serikali. Lakini hakuna bei hizo. Vanila iliyokaushwa huuzwa laki sita tu na lazima ipitie vipimo vya ubora.Hiyo ni kwenye makaratasi. Kuna watu tena wenye akili kabisa walitapeliwa na jamaa flani hivi laianzisha kampuni na kujiita Vanilla international
Maana kuna bei fulani zilitajwa sjui kg 1000000 mara 700000
Hebu mdau afunguke kg1 wanauzaje
Ova
Kilimo kina changamoto nyingi sana,Tunajitahudi sana kulinda kwa Mundu mishale hata shaka mkuu
Ni kwa kilo moja ngoja needing niliandika kwa uchungu sana
Mkuu tafsiri aya ya mwisho, tujue CCM imefanyaje tafadhali,Wahaya aka Nshomile akili nyingi ila maarifa 10%! Ngoja niwape mbinu ambazo wenzenu Moshi wanazidi kutajirika kwa kupeleka Mahindi, Kahawa, Tanzanite nk hapo jirani Kenya.
Kuishi mpakani ni fursa ya kipekee, Lukunyu, Mashanga(Bugabo) ni nchi jirani hiyo hakuna janja janja ya akina Bashe! au nimwambie na njia ya kufika hapo bila kukamatwa? Njoo inbox!
CCM elabakozile bintungwa, nimwija kufa ne'enaku kamutashazile agalabayamba!
Hadi ifikie huo ubora wa mil 1 unafikiri ni rahisi? Au unahisi kila vanilla inanunuliwa hivyo?Pole sana nilijua ni hasira hizo
Ila kwa Kweli mnapigwa haswa
Mimi nanunua vanilla ya Madagascar Kg kwa £330( 1m ya bongo)
Ila niko nje ya nchi na huku Bei ni juu kwa bei zenu mnazopigwa huko
Angalia Bei ya kg Madagascar 2022
View attachment 2291443
usijibu ilimradi tu.Kama haiingilii soko mbona inazuia kuuza Uganda?Serikali haiwezi kuingilia soko. Poleni na pambaneni na hali zenu
Tatizo Kagera huwa wanaimani kubwa sana(hadi kupitiliza) juu ya viongozi wa CCM.Hili limewaganda sana vichwani mpaka hawaoni dhuluma.Poleni sana wakulima.
Msikate tamaa mkaacha kulima vanila.
Igeni ujanja wa watu wa Kilimanjaro, walizuiwa kupeleka mahindi Kenya, lakini wakatumia njia za panya kwa nguvu zote mpaka serikali ikaamua kuhalalisha upelekaji wa mahindi huko.
Wakati mwingine inabidi HAKI yako uipore kwa aliyeishikilia!
Utasubiri sana serikali ikuruhusu kuvusha vanila Uganda,usijibu ilimradi tu.Kama haiingilii soko mbona inazuia kuuza Uganda?
Naelewa!Unafikiri kuipata hiyo kg ni rahisi? Unafikiri maharage hayo?