[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]Ni fraud mbaya sana hizi kufanyika kwa level ya kampuni. Nakumbuka kuna jamaa yangu alininua IST Befoward akijua ni low mileage kumbe ducuments za inspection zimeonesha paper mileage ni kms 106,000 ila kwenye odometer gari ina soma 6,000kms na gear lever imechakaa kinoma , kapeti ya miguu karibu na accelerator pedal imelika kwa kisigino[emoji23]
Hii kampuni pia ni matapeli ukishalipa advance andika maumivuJanja janja
Kivipi?Hii kampuni pia ni matapeli ukishalipa advance andika maumivu
Unajitapelije mwenyewe?Kivipi?
Nilishaagiza magari zaidi ya 10 wala sijapata tatizo lolote, ebu tueleze.
Nipe mautundu mkuu, unajuaje kama odometer imefanyiwa mashkoro mageni??Ndio mkuu ndo haya mambo tuliyo kuwa tunayasema. Usinunue gari bila kufanya uchunguzi wa kiintelijensia, go dip dig the info, Take time, think before you pay.
Mkuu naomba nijue mtandao gani huu umetumia kujua initial inspection report??Hatari saana Toyota crown hiyo mileage imeshuswa from 119,089 km mpaka 54,000km
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2242574View attachment 2242575
Dawa Ni kutonunua gari Tz inayouzwa na ngozi nyeusi (full stop).Nipe mautundu mkuu, unajuaje kama odometer imefanyiwa mashkoro mageni??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kaka mambo vp?...mm nna scenario kama hiyo yako but gari bado haijafika cjui unanisaidiaje?Walinirudishia hela yangu. Kuna mambo mengi yalitokea tukashindwana.
Kaka nna kesi kama yako hiyo cjui unanisaidiajeWalinirudishia hela yangu. Kuna mambo mengi yalitokea tukashindwana.
Kaka nna kesi kama yako hiyo cjui unanisaidiaje
Kampuni gani?Nshavurugwa yaani na hv nimeshawaingizia pesa nusu
Duh, hawafai aisee. Ila pia mkuu hiyo gari ya mwaka gani mpaka uliamini ina km 36000.Hapa bado nipo dilemma ila nasikilizia documents za gari nione tu tunabanana vipi...mana wao waliniambia gari ina km 36000 lakini baada ya kupata chasis number nakuta gari ina km 183000km [emoji26]
Ipo wapi?Kwa Bongo yard ya kuaminika labda ni Jan International..
Hao wengine baadhi ni changamoto.
Kaka ni kutokujua tuu....ni ya mwaka 2006 toyota kulgerDuh, hawafai aisee. Ila pia mkuu hiyo gari ya mwaka gani mpaka uliamini ina km 36000.
Mkuu haya mambo yanasikitisha sana....Hapa bado nipo dilemma ila nasikilizia documents za gari nione tu tunabanana vipi...mana wao waliniambia gari ina km 36000 lakini baada ya kupata chasis number nakuta gari ina km 183000km 😥