Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Anawatengeneza wananchi wake kua Mazombie...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiduku inatakiwa apigwe kama Sadamu Huseni maana anafanya upuuzi as if hakuna sheria za kidunia za haki za binadamu aanzovunja.May 30, 2021 by Global Publishers
![]()
![]()
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Lee, ameuwawa kwa kufyatuliwa risasi pamoja na familia yake huko Wonsan Korea ya Kaskazini baada ya kukamatwa akiuza Cd na Pamoja na Flash ambazo zilikuwa na filamu kutoka nchi Jirani ya Korea ya Kusini.
Lee pamoja na familia yake walipigwa risasi uwanjani mbele ya watu 500, ikiwa ni fundisho kwa watu wengine wanaouza filamu kutoka nje.
Kiongozi wa taifa hilo Kim Jon Un alipiga marufuku kuangalia filamu za nje kwa kuhofia nchi kuingia kwenye utamaduni wa nchi za magharibi.
Taarifa zinaseama watu zaidi ya 20 wamekamatwa kwa kosa hilo la kuuza filamu na Muziki na wanatarajiwa kuhumiwa kwani wameunja sheria za nchi hiyo.
Aidha unaweza kufungwa miaka saba jela kwa kosa kutotoa taarifa za mtu anayeuza filamu na Cd za Muziki kwa polisi.
Wakiandamana kuna uwezekano wakauliwa wote, anayedai ni kiongozi wao, hajali utu wa yeyote.Duh,na mijananchi ya huko imekaa tu hata haindamani kupinga,yaani uhai uondokw kwa kosa la hivyo kweli,huyo dogo ni zaidi ya sheitwan aisee
Ni kweli yule dogo sijui nani atatokea amuassasinate,familia yao imeiharibu sana ile nchi aiseee,inatakiwa ajitokeze mtu/watu wa kujitoa muhanga,haiwezekani akifa huyu,anakuja let say mtoto wake and the like,ndio maana wamejimilikisha nchi wanaona wengine ni wanyama na wanaweza kuwafanya vyovyote vile wapendavyoWakiandamana kuna uwezekano wakauliwa wote, anayedai ni kiongozi wao, hajali utu wa yeyote.
[emoji23][emoji23],Sasa kiswahili nacho kutype mtihani?.
Haya bwana
mkuu kule ni aina fulani ya ufalme hivi,hakuna vyama vingi,Wala upinzani,tangu enzi na enziHuyu jamaa anatengeneza bomu litakalokuja kuuwa wengj
Ni kweli Tanzania kuna unafuu mkubwa sana. Ila ni muhimu kusema kwamba Katika miaka ya hivi karibuni, wapinzani na wakosoaji wame suffer haswa.Jamanii na Familia yake wakauliwa aisee kumbe bora Tanzania huko kwingine ni kugumu zaidi kuishi
Ni mjukuu wa Kim Il SungUandamane kwa kim jong un, mtoto wa kim jong il na mjukuu wa kim jong sam?
Walianza pole pole kama meko. Hawakukemea hawakuroga walikaa kmyaa.Jamanii na Familia yake wakauliwa aisee kumbe bora Tanzania huko kwingine ni kugumu zaidi kuishi
Sasa utafanya nn we unavyozani ikiwa ukionekana una mpiga hadhabu unajua ndio mwisho wakoDaah UCHAWI UPO [emoji16][emoji16][emoji16].
Yaani Kim anaua lakini bado watu wanampenda