Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Kuna tofauti ya kukimbia na kujihami.

Vinginevyo unapendekeza kufunga mahospitali kabisa mkuu.

Kwa mtaji huo Mfalme msukuma yuko na wewe bega kwa bega.
Hahahaha
Ndugu Yangu haujanitendea haki kabisa yaani Mimi ni mtaji marehemu POMBE?

Haya banaaaa!!
 
Yaani sikujua kama wewe unakariri kiasi hiki!
 
Sasa kama huna Akili utaachaje Kushangaa? Yaani Jiografia ndogo tu hii inawashinda mtaweza Kujadili mambo mengine makubwa? Nikiwadharau hapa msiwe mnanuna.
Akili umepata wapi wewe zaidi ya kukariri!?
 
Hahahaha
Ndugu Yangu haujanitendea haki kabisa yaani Mimi ni mtaji marehemu POMBE?

Haya banaaaa!!

Mkuu si nia yangu kutokukutendea haki. Wewe ni ndugu yangu katika nchi.

Kuna janga lasemekana laja. Si Mimi, wewe, TMA wala nani hapa nchini mwenye kulijua wala kuwa na cha zaidi ya kile tunachokipata sote tokea CNN, BBC, AlJazeera au mitandaoni.

Ashukuriwe beberu kwani bila yeye hili zahama lingetukuta wenginewe katikati ya michiriku tukishindana kukata mauno.

Anayetutahadharisha, kwake asingelichukulia poa kama tunavyofanya sisi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
🤣🤣🤣🤣
 
Picha hizi ni uncalled for,za nini?Hivi huoni kwamba unawaletea watu hofu?Ninyi mnatumiwa na Shetani.Hofu ni mbaya sana,inaleta Diabetes,HBP,Depression,Ulcers,Cancer and many other ailments.Please please stop it.
Lakini Hiyo hofu ikimfanya mtu akachukua familia yake akahamia Moro kwa siku mbili badala ya kusubiri kufa utakuwa imemsaidia.

Andiko linasema " huenda kwa mwoga kicheko, kwa shujaa kilio".
 
Punguza hofu, hautakuwa wa kwanza wala wa mwisho kufariki. Hofu ya nini sasa?
 
Wazo zuri Ila umeharibu ulipochomekea maswala ya lockdown.
 
Wazo zuri Ila umeharibu ulipochomekea maswala ya lockdown.

Wasiwasi wako tu.

Ukweli huwa mchungu kuliko shubiri.

Laiti nwendazake angesikiliza tu, mbona bashiri angekuwa KMK na mipango yetu Chatto ingekuwa inakwenda bam bam.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Wanasindwa na wenye na Bar at least wanawaandaa wateja wao

View attachment 1762051
Mhh, hatari! Wanaalikwa kwenye baa za pombe kuona/ kusherehekea Kimbunga Jobo! Wanaweza wakashindwa kurudi nyumbani. Siku hiyo ni ya ku stay at home aka lockdown ukifuatilia habari mpya (updates) za huyo Jobo. Leo kapunguza kidogo kasi yake, bado hatujui kesho atakuwaje.
 
Kwa utukufu wa mwezi huu wa Ramadhani, huyo Jobo hatakaa akanyage Tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…