Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii mtaa wa Lumumba jijini DSM ilipo ofisi ndogo ya chama dola kongwe CCM wenye dhamana ya propaganda waione, na kuacha kuwagombanisha polisi na raia.Mara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya , Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu...
HakikaHii mtaa wa Lumumba ofisi ndogo ya chama dola kongwe CCM waione, na kuacha kuwagombanisha polisi na raia.
Huyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.Mara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu...
KabisaHuyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.
Shida ni chama chetuMara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
Huyo jamaaa ni mimi na mimi sijawahi kufanya hizo kazi zako , acha uongoHuyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.
CCM ni balaaShida ni chama chetu
Watanzania tu Wamoja [emoji23][emoji91]
π€£π€£π€£πHuyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.
Nilikua napata picha kua ww n mstaafu fulani una kitambi cha kufutia simu janja πππkumbe n muhendsam na hatujui.Huyo jamaaa ni mimi na mimi sijawahi kufanya hizo kazi zako , acha uongo
Huyo jamaa sio yeye ila ni kwamba huyo aliepiga picha hausiki chochote na mambo ya ulinzi na usalama na wala hausiki na hao polisi ni kweli jamaa aliomba kuingia kwenye gari la polisi ambalo lilienda hadi mwisho wa maandamano likiwa kama escort.Nilikua napata picha kua ww n mstaafu fulani una kitambi cha kufutia simu janja πππkumbe n muhendsam na hatujui.
Ah! Polisi ni pilisi tuMara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
Watanzania tu Wamoja π
Uko sahihiHuyo jamaa sio yeye ila ni kwamba huyo aliepiga picha hausiki chochote na mambo ya ulinzi na usalama na wala hausiki na hao polisi ni kweli jamaa aliomba kuingia kwenye gari la polisi ambalo lilienda hadi mwisho wa maandamano likiwa kama escort.
Wadanganye wajinga wenzioHuyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.