Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Wanamaisha magumu atarii ...na Kikokoto kina wakokota kama sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni ccm na crew yake ya wala AsaliMara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
Mwandamanaji alikuwa amechoka kapewa Lifti na PolisiMara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
Punguzeni ujuaji, nani alikwambia undercover anaweza jiweka wazi hivyo? Movie na ujuaji wa kijinga ndio zinatuharibu wabongo.Huyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.
Niishie kusemaMara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
Huyo ni askari mwenza. Ni kitengo maalumu, hapo yupo kazini. Tatizo vijana hamuijui nchi hii vizuri. Hamjui ishu za ulinzi na usalama wa nchi hii zinavvyoenda. Ipo siku nitawapa hints kidogo maana kuna mambo siwezi kuyaweka hapa.