Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mfano ni wapi walipoanzisha fujo ?siku zote chadema ndio huanza uchokozi mbona hilo lipo wazi ndugu
mara nyingi mnaonyesha nia ya kupinga makatazo ya mamlaka shuhuda ni nyingiKwa mfano ni wapi walipoanzisha fujo ?
Chadema haiwezi kukubali makatazo ya kuvunja sheria na katiba ya nchi , Wallah Wabhillahmara nyingi mnaonyesha nia ya kupinga makatazo ya mamlaka shuhuda ni nyingi
Kuna jambo litakuja kutukia soon! Hawataamini siku vyombo vya Dola vitakapowageuka! Muda ni mwl mzuri.Mara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
WivuHuyo jamaa sio yeye ila ni kwamba huyo aliepiga picha hausiki chochote na mambo ya ulinzi na usalama na wala hausiki na hao polisi ni kweli jamaa aliomba kuingia kwenye gari la polisi ambalo lilienda hadi mwisho wa maandamano likiwa kama escort.
Wivu kivipiWivu
Shukrani na hongereni kwa maandamano maana mnapigania haki za wote hadi wale wasiotaka kuwaunga mkono kwa kivuli cha mama anaupiga mwingi huku wanaumia na bei za sukari na umeme hao ni wapuuzi walioukataa ukweli ambao wanaujua fika.Uko sahihi
Police imenajisiwa na ccm , tusiwateee kwa ichi kidogoMara zote tumewashutumu polisi humu jf na kwingineko , na hata tumefikia na kuazimia kulivunja Jeshi hilo ilii liundwe upya, Lakini kiukweli Polisi ni watu wazuri tu , Shida kubwa ni hao viongozi wao wanaotaka kila askari awe mtumwa wa CCM, kwa vile wao wameteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye nyadhifa za juu za jeshi hilo .
Hebu angalia Askari huyu alivyomsaidia Mwandamanaji wa Arusha Mjini aliyechoka mwili huku Moyo wake ukitaka kufika mwisho wa Maandamano , kwenye viwanja vya Reli .
View attachment 2919160
Erythrocyte ni mwanaume mkakamavu, ni heshima kubwa kwa nchi kuwa na mtu kama huyo mpigania haki ya kila mmoja wetu.Nilikua napata picha kua ww n mstaafu fulani una kitambi cha kufutia simu janja 😃😃😃kumbe n muhendsam na hatujui.
Sio kwamba ghasia nyingine wanaanzisha polisi wenyewe?Kwani polisi huwa wana tatizo gani mkiandamana bila kutishia kuvunja amani?
Mnapotishia Kuleta purukushani mitaani ndipo Fanya Fujo Uone wanapowapa kibano cha mbwa koko.
Wavunja sheria wakuu ni polisi wenyeweSio kwamba ghasia nyingine wanaanzisha polisi wenyewe?
Mfano kule Mbea waligonganisha msafara wa naibu waziri mkuu na waandamanaji. Hapo polisi ndio walishindwa kuratibu njia za kupitia