Kina Dada mnajua madhara na matokeo ya kupata watoto katika umri mkubwa kwa mara ya kwanza?

Kwahiyo unataka wazae tu hata kama hawajaolewa? Mkiwalisha muwakimbie baadaye muanze kuwasimanga kuwa singo mamaz hawafai? Acha wazae na hiyo miaka 38 kikubwa azae na mume wake Sarah alizaa na miaka 90 huko mtoto hakuwa na shida yoyote sembuse was 38?
 
Pointi yangu ni madhara na matokeo ya kuzaa katika umri mkubwa hasa kwa mara ya kwanza.Kitabibu kuna madhara na matokeo hasi kuzaa katika umri huo mkubwa.


Pole sana mkunga! inaonekana unateseka na wadada wa kaskazini.
 
Uko sahihi shule na ndugu yake vitabu wadaganya
 
Pointi yangu ni madhara na matokeo ya kuzaa katika umri mkubwa hasa kwa mara ya kwanza.Kitabibu kuna madhara na matokeo hasi kuzaa katika umri huo mkubwa.


Pole sana mkunga! inaonekana unateseka na wadada wa kaskazini.
Kama nimesema uongo shuhudia huo uogo. Lakini kama nimesema vyema kwanini wanishutuma?
 
Mwanamke kupata kifafa Cha mimba ni rahisi akipata mimba uzeeni
 
Yaani katika utafiti wako wote ulioufanya ni wa wadada wa kaskazini tu ndio umewalenga?

Kuna demu wa kichaga alikupiga tukio

Watu wanazaa umri wowote siku hizi,hayo ni maneno ya kijiweni
 
Wewe mie niwakaskazini broo ila kwanza maisha yetu hayakuhusu aisee nausitutake tukuchambe wewe uliyezaliwa na mama Yako akiwa kijana mbona Huna akili unaongea ushoga ushoga humu , jingine usituletee gundi bwana , wanadada wenu wanakuja kutoka mikoani wamekomaa hawana inshu wamezeeka hata kutembea hawatembei mbona hatuwasemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…