Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Umeona eeeee
Tumewachoka.

Ndo mana Pm zinafungwa.
Wanawake tunatakiwa mtujali, chezeni na hisia zetu.

Kuna mtu nachat nae mwaka wa 2 huu....ila hata pesa ya bando hajui naipata wapi.
Siku mita itasoma namba


hhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa le madame herself..mm kuna pimbi week hii nimemtolea uviv had nikala ban !***** zake...kila akija mkoa naoishi ataanza kukutajia amelala wapi jaman alikua ananichehfuaaaaaaaaaaaa! nashukuru Mungu sijawah shawishika ht nikamuone! undezi tu! narudia tena -pumbav zake
 
hhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa le madame herself..mm kuna pimbi week hii nimemtolea uviv had nikala ban !***** zake...kila akija mkoa naoishi ataanza kukutajia amelala wapi jaman alikua ananichehfuaaaaaaaaaaaa! nashukuru Mungu sijawah shawishika ht nikamuone! undezi tu! narudia tena -pumbav zake
Asa anakuringishia ili iweje?
Mshamba tu.
Yaani kuna mijanaume mingine ina sifa sana.
Mie nina kawaida moja nikiona Pm ya mkaka
1. Naenda kwa wall yake kuona thread zake, kama za mavimavi, nauchuna.
2. Nikiona amekuja Pm huku Pm yake iko closed, hanipati.

Afu mwanaume anafungaje Pm..
 
Back
Top Bottom