Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuja ikaisha.
Na urafiki uko kama kawaida.
Ila mie bora umbea wa kwenye simu, Pm HAPANA
Umeona eeeee
Tumewachoka.
Ndo mana Pm zinafungwa.
Wanawake tunatakiwa mtujali, chezeni na hisia zetu.
Kuna mtu nachat nae mwaka wa 2 huu....ila hata pesa ya bando hajui naipata wapi.
Siku mita itasoma namba
Kama hii lugha hauijui basi wewe umezaliwa nje ya mji
Habari dada ake🙂
basi haya nataka nikutumie ya usumbufuHapo umeshajua mwili wangu unafananaje
Ndio mkuu lakini hiyo salamu itolewe tu hapa hapa maana huko pm sipajuiWewe unataka salamu?
Wa kuongea.Kwenye simu wa kuongea au wa kuchat kama wa kuchat itakuwa yaleyale tu
Mimi ni mmoja kati ya wazee wa salamu kede kede.Itakuwa aseeh.
hahahah kivuko cha mv nyerere kimeondoka na rafiki....ukija unipe rambirambi ila sio ya maneno(jokes)Sasa nikija kukubembelezea msamaha si ndio nimekuja sasa.
Kuna mtu hataki kukusamehe nini ?
basi haya nataka nikutumie ya usumbufu
Ulivyojibu kwa upole [emoji23][emoji23][emoji23]Poa mkuu nimeacha
Niko poa kabiisa, Hahaha Tucheke tuu Maisha ya Humu ni YetuSalama Kakake flani. Mzima weye.
Lol. Nikikuona lazima nicheke.
Yaani mimi baada ya kusoma maoni kadhaa humu,yaani nikija nimejipanga nakupa rambi rambi na ziada bwerere.hahahah kivuko cha mv nyerere kimeondoka na rafiki....ukija unipe rambirambi ila sio ya maneno(jokes)
Asa anakuringishia ili iweje?hhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa le madame herself..mm kuna pimbi week hii nimemtolea uviv had nikala ban !***** zake...kila akija mkoa naoishi ataanza kukutajia amelala wapi jaman alikua ananichehfuaaaaaaaaaaaa! nashukuru Mungu sijawah shawishika ht nikamuone! undezi tu! narudia tena -pumbav zake
AiseeeeeWa kuongea.
Unajimaliza weeeeeee
Labda mmoja wapo arekodi.
Ila Pm Shunie, hata kama namjua mtu HAPANA.
Bora nipige umbea na mwanaume japo wako akina kaka-dada.
Ila nilijifunza sana kutokana na lile tukio