Kinachoendelea hapa Dar es salaam sio mgao wa maji, ni kwamba Dawasa imeshakufa


Dawasa iko ICU
Nawahurumia wafanyqkazi wake maana hili zengwe linaenda kuwanyima kazi
 
Kwanza mshukuru ht Maji ya dawasco mnayo wengine hatuna kabisaa tuna visima enzi na enzi
 

kuna ngono tu na mipira simba yanga
 
Nashangaa sana nikisikia shida ya Maji. Mimi nipo dar , Na mahali nakaa sijawahi kuona maji yakikatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…