The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Acha uropokaji wako hapa.ungekuwa na akili ungeweka ushahidi wa hayo unayoyazungumza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahWeka na namba ya simu ewe UVCCM Utumiwe chochote kitu ukajaze shimo la mavi hapo kwa dada yako
Tanzania ni Salma na kila kitu ni salama mikononi mwa Rais wetu mpendwa na Mzalendo wa kweli Daktari Samia Suluhu HasssanWewe ndiye huna akili. Kila mwenye akili anajua tulichofanyiwa kwenye Bandari zetu, Misitu yetu, Mbuga zetu na juzjzui kapiga bao kwenye madini huko Korea. Unataka ushahidi gani wakati kila kitu kiko wazi. Bandar kapewa DPW, Mbuga na Misitu Mwarabu, Dubai, Madini ya Bahari Mkorea. Mambo yako wazi na mikataba imesainiwa halafu unaulizia ushahidi .... Una akili kweli wewe ...!!?Wewe endelea kuendesha hizo bodaboda za BURE za Mama ABDUL na kupoteza muda wako kwa kuandika maparagraph mengi.
Nimekutumia msg, utume namba ya simu, niwarushie watu wanaoweza kukusaidia.Ndio mkuu pia hata hiyo
Itakuwa wewe ni mhamiaji haramu.Hao waTanzania unaotembea nao mfukoni mwako sina haja nao. Kaa nao huko huko.
Kila unapoendelea kujaza takataka humu JF, inazidi kujidhihirisha kwamba kichaa kinaongezeka. Sijui mwisho wako utakuwaje, na hauko mbali sana.Itakuwa wewe ni mhamiaji haramu.
Ungeacha watanzania wajadili hoja hii.Kila unapoendelea kujaza takataka humu JF, inazidi kujidhihirisha kwamba kichaa kinaongezeka. Sijui mwisho wako utakuwaje, na hauko mbali sana.
Nitaendelea kukumbusha huu uchizi wako, inawezekana nitakusaidia uwahi kupata huduma.Ungeacha watanzania wajadili hoja hii.
Nakusamehe bure kabisa.Nitaendelea kukumbusha huu uchizi wako, inawezekana nitakusaidia uwahi kupata huduma.
hao wanaokutunza wamekuachia sana, ni kama hawakupendi, ila unajilazimisha upendwe!Hiyo ni sababu ya ugonjwa.
Inaonekana ushauri umekuingia vizuri kichwani. Utakapopata nafuu usikose kutoa mrejesho.Nakusamehe bure kabisa.
Nimeamua kukupuuza kwa kuwa nimeona huna akili. Sasa ya nini nipoteze muda wangu kwa mtu ambaye nimetambua aina ya akili yake.Inaonekana ushauri umekuingia vizuri kichwani. Utakapopata nafuu usikose kutoa mrejesho.
Punguza hizi takataka nyingi unazo weka humu, hazisaidii kitu chochote mbali ya kukupa sifa za kuwa juha.
Nitakuachia hapa, lakini nitafuatilia maendeleo yako na matibabu.
Hebu wewe utujibu kwanza kwa nini Abdul mtoto wa mama anazunguka kuwahonga watu wanaompinga mama hela kama sio wameshapanga urais ni wa familia yao. Pia kwa nini mama anasafiri na Abdul safari za kikazi wakati mwenyewe hana cheo chochote serikali. Lazima mama ngwe yake ya urithi ikiisha aachie ngazi. Sio hizi kampeni za nchimbi anaongeza eti mama mitano tena. Kwani mama nani walimpa mitano kama sio urithi wa kikatiba tu. Nafasi amepewa ila kaonesha hawezi kuongoza nchi. Nchi kwa sasa tunahitaji kiongozi aina ya magufuli watu jasifi wenye uzalendo waliyojaa maarifa na maono. Sio watu waoga wa mabeberu wabinafsi na wasiokua na uzalendo wala maarifa.Ndugu zangu Watanzania,
Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.
Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.
Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.
Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.
Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.
Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu kwanza niwekee huo ushahidi wa Abdul akiwahonga hao watu. Fanya haraka uweke ndio niendelee kujibu hoja zingine maana huwa sipendi watu wazushi ,waongo na wafitini.Hebu wewe utujibu kwanza kwa nini Abdul mtoto wa mama anazunguka kuwahonga watu wanaompinga mama hela kama sio wameshapanga urais ni wa familia yao. Pia kwa nini mama anasafiri na Abdul safari za kikazi wakati mwenyewe hana cheo chochote serikali. Lazima mama ngwe yake ya urithi ikiisha aachie ngazi. Sio hizi kampeni za nchimbi anaongeza eti mama mitano tena. Kwani mama nani walimpa mitano kama sio urithi wa kikatiba tu. Nafasi amepewa ila kaonesha hawezi kuongoza nchi. Nchi kwa sasa tunahitaji kiongozi aina ya magufuli watu jasifi wenye uzalendo waliyojaa maarifa na maono. Sio watu waoga wa mabeberu wabinafsi na wasiokua na uzalendo wala maarifa.
Haya yote yanatokana na ugonjwa unaokusumbua. Unapewa ushauri, hata hujui uufuate au usiufuate. Hili linaeleweka kwa mtu mwenye ugonjwa kama unaokusumbua wewe.Nimeamua kukupuuza kwa kuwa nimeona huna akili. Sasa ya nini nipoteze muda wangu kwa mtu ambaye nimetambua aina ya akili yake.
Wewe ndiye mdini Sasa....Unafahamu dkt Slaa kazi aliyokuwa anafanya swali kabla ya kuingia katika siasa? Unafahamu cheo alichokuwa nacho huko kanisani?
Mimi siyo Mdini bali napinga kwa nguvu zote Udini.Wewe ndiye mdini Sasa....
Kwanza alienda kuonana na museveni akiwa na ujumbe kama vile wa kiserekali lakini inaonekana ni mambo binafsi. Akaenda na mama uarabuni ujumbe wa serikali mwenyewe akatambulishwa na mama kama ni mwanae. Lissu juzi kadai anapita kuhonga wapinzani mwenyewe kakataa hizo hela. Huo ushahidi wa kimazingira. Hatukuwahi kuona watoto wa nyerere mkapa au magufuli wakishutumiwa kama abduli.Embu kwanza niwekee huo ushahidi wa Abdul akiwahonga hao watu. Fanya haraka uweke ndio niendelee kujibu hoja zingine maana huwa sipendi watu wazushi ,waongo na wafitini.