Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Na wewe kifaduro hebu tuondolee uchawa wako usiokuwa na tija. Wenzako machawa kina Mwijaku na Baba Levo wamejenga magorofa kwa uchawa wewe kila siku unatujazia tu server kwa magazeti yako ya kumsifia Samia na wala yeye hana mpango na wewe.
 
Kwa hiyo kama alikuwa hakosoi kipindi cha magu basi aendelee kukausha au sio?

Hivi nyie maccm akili zenu huwa mna muachia mwenyekiti au mbona hamna mwenye ahueni pamoja na huyo mwenyekiti wenu.
 
Ni Ujinga kudhani dini ni ngao ya Kiongozi Rais kutokukosolewa kwa mambo hovyo anayofanya kwa makusudi au kukosea.
 
Ulimfuatilia dkt slaa wa wakati wa hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli? Unaweza kuweka hapa video yoyote ile ya dkt slaa akikosoa jambo lolote lile?
 
Na wewe kifaduro hebu tuondolee uchawa wako usiokuwa na tija. Wenzako machawa kina Mwijaku na Baba Levo wamejenga magorofa kwa uchawa wewe kila siku unatujazia tu server kwa magazeti yako ya kumsifia Samia na wala yeye hana mpango na wewe.
Tatizo hii Ngiri haiweki mawasiliano mwishoni mwa mabandiko yake inadhani sa100 ataifuata PM kuipa cheo.

Au labda ipo kitengo ndiye anaituma ije huku ili apime upepo.
 

CCM+ Mbowe na chawa wake timu moja dhidi ya Lissu.

Kwani mnahofia nini vile?

Cc: Fortilo, Fundi Nchundo
 
Nakupa mpya(Wakaloa kwa machozi ya furaha)_Kububujikwa na machozi ya furaha!
 
Ni lazima tukatae masuala ya Udini .Dkt slaa amekuwa na chuki binafsi kwa Rais wetu kwa sababu ya Dini tu.
Huo ni mtazomo wako wa kichawa na pia kutokana na uduni wa akili,yaani Samia atumie mabilioni ya kodi zetu kumfadhili Sultan Mbowe halafu watu wake kimya tu.
 
Wanasiasa wanakutumia tu mdogo wangu. At the end of the day, they won't give you a thing..
 
Leo umejitajidi kuandika yenye maana angalau. Tatzo ni asali mkuu. Hajalambishwa asali
 
Acha uongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…