Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Siandiki kwaajili ya kulipwa bali naandika kwa ajili ya kuonyesha ukweli na kuondoa upotoshaji.
Huna unalolijua mkuu wewe omba mungu shemeji asikukazie akakurudisha huko kwenu Namanyere


Ungeandika uzi kuonyesha mafanikio yake na Ushahidi pengine ungeonekana wa maana sawa


Mwisho HIZI MB UNAZOCHEZEA NENDA KAANGALIE X , UJICHUE THEN ULALE TUU.
 
Wakati utaongea na tutajua kuhusu kisiwa cha mafia. Msiwe na presha wala matizi, muda utatujulisha kila kitu. Mwenye yuko sahihi kati ya slaa na serikali itajulikana.
 
Huna unalolijua mkuu wewe omba mungu shemeji asikukazie akakurudisha huko kwenu Namanyere


Ungeandika uzi kuonyesha mafanikio yake na Ushahidi pengine ungeonekana wa maana sawa


Mwisho HIZI MB UNAZOCHEZEA NENDA KAANGALIE X , UJICHUE THEN ULALE TUU.
Naona kichwa na akili yako umejaza ujinga mtupu.
 
Wakati utaongea na tutajua kuhusu kisiwa cha mafia. Msiwe na presha wala matizi, muda utatujulisha kila kitu. Mwenye yuko sahihi kati ya slaa na serikali itajulikana.
Mwenye akili angeongea akiwa na ushahidi mkononi pake.lakini Mwenye chuki binafsi anazua tu jambo kwa lengo la kuleta taharuki na uchonganishi kwa ajili ya kuichafua serikali na Mheshimiwa Rais
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuki ,vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete,wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja.ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi .jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake.ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo.hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais ,na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi..

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watanzania tulivuka mstari wa kutugawa kidini zamani sana. Hoja za kisiasa zinazojengwa kuhusu dini zinatoka kwa wapumbavu wachache sana.
Siyo rahisi kuwagawa watanzania kidini au utanganyika na uzanzibari. Kinachotakiwa ni facts za kurekebishana kisiasa kwa mustakabali mwema wa taifa.
 
Watanzania hatuwezi kuunga mkono na kumfumbia macho mtu anayeleta habari za Udini na chuki binafsi kwa kuzusha vitu vya uongo na uchonganisha kwa maslahi yake binafsi na genge lake.

Sema mimi siwezi. Rais au viongozi wetu sio wamiliki binafsi wa nchi yetu. Hii mikataba inayoendelea inaleta mashaka sana. Kuuliza sio ujinga.
Kama kuulizia ni udini, basi hata kuuza nchi ni udini huo huo, maana wanauza au wanaingia mikataba kwa ridhaa ya nani?
Hakuna kiongozi bila watu wa kuongoza.
 
Mwenye akili angeongea akiwa na ushahidi mkononi pake.lakini Mwenye chuki binafsi anazua tu jambo kwa lengo la kuleta taharuki na uchonganishi kwa ajili ya kuichafua serikali na Mheshimiwa Rais

Lucas nakushauri usihukumu kwamba dr slaa anachuki, acha muda uweke kila kitu wazi. Jaziba na maneno makali hayasaidii. Ikiwa si kweli tutamjua dr slaa. Acha muda ulete taarifa sahihi.
 
Mara mia kuliko kuwa mwanaume wa sampuli yako


Tulikuwa nao wengi sana humu JF na walikata tamaa labda kama umejiunga Juzi au jana
Siongelei habari za kujiunga humu .napinga mtu kuzusha vitu vya uongo na uchonganishi kwa sababu ya kuongozwa na Udini na chuki binafsi tu kwa Mheshimiwa Rais.
 
Mwenye akili angeongea akiwa na ushahidi mkononi pake.lakini Mwenye chuki binafsi anazua tu jambo kwa lengo la kuleta taharuki na uchonganishi kwa ajili ya kuichafua serikali na Mheshimiwa Rais
Hata suala la DP World lilianza hivi hivi tulia lisemwalo lipo
 
Lucas nakushauri usihukumu kwamba dr slaa anachuki, acha muda uweke kila kitu wazi. Jaziba na maneno makali hayasaidii. Ikiwa si kweli tutamjua dr slaa. Acha muda ulete taarifa sahihi.
Nasema hivi mfuatilie na rudisha kumbukumbu zako nyuma za dkt Slaa wa wakati wa Dkt Kikwete,Hayati dkt Magufuli na sasa wakati wa Mheshimiwa Dkt Samia.utagundua ya kuwa dkt Slaa ni mtu mwenye Udini na chuki kubwa sana inapokuwa serikali inaongozwa na Rais ambaye ni muislamu. Je umewahi kuona dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika utawala wa awamu ya Tano?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuki ,vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete,wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja.ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi .jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake.ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo.hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais ,na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi..

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ni zaidi ya bwege
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuki ,vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete,wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja.ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi .jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake.ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo.hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais ,na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi..

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Uhuru ya ijumaa lkn hakuna kitu ni kama ushuzi tu
 
Lukasi hebu jaribu mara moja moja kutumia kichwa kwa kufikiri we jamaa. Kazi ya kichwa sio kabati la kutunzia meno
Hawezi kubadilika maana akili kiduchu aliyopewa na Mungu lkn bahati mbaya akanyang'anywa na ccm
 
Sema mimi siwezi. Rais au viongozi wetu sio wamiliki binafsi wa nchi yetu. Hii mikataba inayoendelea inaleta mashaka sana. Kuuliza sio ujinga.
Kama kuulizia ni udini, basi hata kuuza nchi ni udini huo huo, maana wanauza au wanaingia mikataba kwa ridhaa ya nani?
Hakuna kiongozi bila watu wa kuongoza.
Dkt Slaa ni mzushi na muongo kwa sababu hana ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kuzusha na kuleta tu taharuki ili kutimiza malengo yake ya kutaka wananchi waichukie serikali na. Rais wetu.anachotaka Dkt Slaa ni kumchafua Rais wetu mbele ya macho ya watanzania.ndio sababu anaamua tu kuongea jambo pasipo kuwa na ushahidi wa aina yoyote ile.
 
Back
Top Bottom