Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kwanini hajaweka hizo nyaraka hadharani kuthibitisha madai yake? Kwanini hajaonesha ushahidi wake?

Unadhani watu wote wana haraka haraka. Watu wengine wanajua kwenda hatua kwa hatua. Kama anazo atazitoa tu. Mtu mzima kuongea kitu kizito kama hicho na hana evidence itakuwa ajabu sana na itapaswa iitwe ahojiwe vizuri. Tulia tu tuone mchezo unaishaje.
 
Kuna ukweli hapa,nakumbuka kipindi Lisu aliposhambuliwa Silaa alitia pamba masikioni hata ule utu wa kukemea tu ulimshind,zaidi alikuwa akikandia.. Noma sana ila raisi angekuwa Ana Tibaijuka tusingemuona na huu uchungu na mapenzi ya nchi .
Tena alisemaga kabisa kuwa Lissu siyo wa kwanza
 
Inauzwa aisee, ila bei yake haijafikia ile ya Bandari

Hivi UVCCM mnapata kamgao?
Mngekuwa na akili mngeweka ushahidi badala ya huu uzushi wenu wa kitoto usio na hata ushahidi wa aina yoyote ile.
 
Unadhani watu wote wana haraka haraka. Watu wengine wanajua kwenda hatua kwa hatua. Kama anazo atazitoa tu. Mtu mzima kuongea kitu kizito kama hicho na hana evidence itakuwa ajabu sana na itapaswa iitwe ahojiwe vizuri. Tulia tu tuone mchezo unaishaje.
Mara ngapi dkt Slaa amezusha na kuongea uongo hadharani? Unakumbuka dkt Slaa amewahi kuongea uongo kuwa kuna gari limebeba maboksi ya kura feki?
 
Mngekuwa na akili mngeweka ushahidi badala ya huu uzushi wenu wa kitoto usio na hata ushahidi wa aina yoyote ile.
Dr. Slaa hawezi kuropoka na ana akili kuliko zako Lucas, haiwezekani MAFIA iuzwe akae tu kimya kama Mang'aa
 
Nasema hivi mfuatilie na rudisha kumbukumbu zako nyuma za dkt Slaa wa wakati wa Dkt Kikwete,Hayati dkt Magufuli na sasa wakati wa Mheshimiwa Dkt Samia.utagundua ya kuwa dkt Slaa ni mtu mwenye Udini na chuki kubwa sana inapokuwa serikali inaongozwa na Rais ambaye ni muislamu. Je umewahi kuona dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika utawala wa awamu ya Tano?

Wewe ni mgonjwa wa akili. Ungetenga muda angalao ushughulikie tatizo lako la afya ya akili yako kuliko kuleta upuuzi humu JF.

Ungekuwa na uzima wa akili japo kidogo, ungeorodhesha wakati wa utawala wa Mkapa au Magufuli ni rasilimali gani ziliporwa na kuwagawia wageni kupitia mkataba wa kishenzi kama ule wa DP World. Ungeeleza pia wakati wa hizo tawala ni nani waliwahi kuhamishwa maeneo yao ya asili na kupelekwa mbali kabisa, ili kutimiza matakwa ya waarabu ambao hawataki kuwaona wamasai Ngorongoro. Fikiria mtu anahamishwa toka Manyara, anavuka Arusha, Kilimanjaro, na kupelekwa Tanga, kwenye mazingira mageni kabisa.

Halafu ulivyo na akili na kumbukumbu ndogo umeshindwa kukumbuka kuwa kiongozi mkubwa aliyetajwa kuwa ni fisadi wakati wa utawala wa Kikwete alikuwa ni Hayati Lowasa RIP. Hivi Hayati Lowasa alikuwa muislam?

Mtu kama Lucas Mwashamvwa ifahamike ni mgonjwa wa kichwani apuuzwe kwa maandiko yake takataka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuki...
Lukasi jifunze kuona mazuri katika ubaya , na ubaya katka uzuri.Zingatia Hakuna kizuri kisicho na ubaya, na Wala Hakuna kibaya kisicho na zuri.Kuona ubaya katika uzuri sio kosa, ila kosa ni kuona uzuri na kuutangaza na kuficha ubaya wake....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuk...
Kinachomsumbua Dr slaw ni uroho wa wa madaraka.
 
HEKIMA ZITUMIKE, WANAJARIBU KUICHOKONOA SEREKALI YETU, KISA MAMA AENDA VIZURI MNO KATIKA KUENDESHA NCHI YETU, WANATAFUTA NJIA YA KUFANYA LOLOTE ILI WAKAMATWE SIFA NZURI ZA MH. SSH ZIARIBIKE, APUUZWE TU NA MSEMAJI WA SEREKALI KESHO MAPEMA SANA ALITOLEE UFAFANUZI HILI
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuki ,vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete,wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja.ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi .jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake.ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo.hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais ,na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi..

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndivyo walivyo akitawala muislam,huanza kampeni za kuusakama utawala,zamani ilikua kupitia magazeti,siku hizi hayana nguvu,ni mitandao,kampeni za kumfanya mtawala muislam aonekane bogus
 
Ndivyo walivyo akitawala muislam,huanza kampeni za kuusakama utawala,zamani ilikua kupitia magazeti,siku hizi hayana nguvu,ni mitandao,kampeni za kumfanya mtawala muislam aonekane bogus
Wanakuwa wanafanya kazi ya kuzusha vitu vya uongo na uchonganisha kwa lengo la kuichafua serikali na Rais wetu.
 
Chuki na udini isiwe 'defensive mechanism' kwa viongozi kuambiwa ukweli, tafadhali.
 
Wewe ni mgonjwa wa akili. Ungetenga muda angalao ushughulikie tatizo lako la afya ya akili yako kuliko kuleta upuuzi humu JF.

Ungekuwa na uzima wa akili japo kidogo, ungeorodhesha wakati wa utawala wa Mkapa au Magufuli ni rasilimali gani ziliporwa na kuwagawia wageni kupitia mkataba wa kishenzi kama ule wa DP World. Ungeeleza pia wakati wa hizo tawala ni nani waliwahi kuhamishwa maeneo yao ya asili na kupelekwa mbali kabisa, ili kutimiza matakwa ya waarabu ambao hawataki kuwaona wamasai Ngorongoro. Fikiria mtu anahamishwa toka Manyara, anavuka Arusha, Kilimanjaro, na kupelekwa Tanga, kwenye mazingira mageni kabisa.

Halafu ulivyo na akili na kumbukumbu ndogo umeshindwa kukumbuka kuwa kiongozi mkubwa aliyetajwa kuwa ni fisadi wakati wa utawala wa Kikwete alikuwa ni Hayati Lowasa RIP. Hivi Hayati Lowasa alikuwa muislam?

Mtu kama Lucas Mwashamvwa ifahamike ni mgonjwa wa kichwani apuuzwe kwa maandiko yake takataka.
Naona umeanza kwa matusi na kusema kuwa mimi ni mgonjwa wa akili ,ilihali wewe siyo daktari wangu.hapo umeonyesha ujinga wako na upofu wako wa akili. Nakusamehe bure tu maana watu aina yako haina sababu ya kubishana nao kwa kuwa ni kupoteza muda tu.
 
Wewe ni mgonjwa wa akili. Ungetenga muda angalao ushughulikie tatizo lako la afya ya akili yako kuliko kuleta upuuzi humu JF.

Ungekuwa na uzima wa akili japo kidogo, ungeorodhesha wakati wa utawala wa Mkapa au Magufuli ni rasilimali gani ziliporwa na kuwagawia wageni kupitia mkataba wa kishenzi kama ule wa DP World. Ungeeleza pia wakati wa hizo tawala ni nani waliwahi kuhamishwa maeneo yao ya asili na kupelekwa mbali kabisa, ili kutimiza matakwa ya waarabu ambao hawataki kuwaona wamasai Ngorongoro. Fikiria mtu anahamishwa toka Manyara, anavuka Arusha, Kilimanjaro, na kupelekwa Tanga, kwenye mazingira mageni kabisa.

Halafu ulivyo na akili na kumbukumbu ndogo umeshindwa kukumbuka kuwa kiongozi mkubwa aliyetajwa kuwa ni fisadi wakati wa utawala wa Kikwete alikuwa ni Hayati Lowasa RIP. Hivi Hayati Lowasa alikuwa muislam?

Mtu kama Lucas Mwashamvwa ifahamike ni mgonjwa wa kichwani apuuzwe kwa maandiko yake takataka.
Naona umeanza kwa matusi na kusema kuwa mimi ni mgonjwa wa akili ,ilihali wewe siyo daktari wangu.hapo umeonyesha ujinga wako na upofu wako wa akili. Nakusamehe bure tu maana watu aina yako haina sababu ya kubishana nao kwa kuwa ni kupoteza muda tu.
 
Chuki na udini isiwe 'defensive mechanism' kwa viongozi kuambiwa ukweli, tafadhali.
Ukweli upi?uongo na uzushi ndio inaita UKWELI? Mtu kweli anakuwekea na ushahidi mezani wa kinyaraka na siyo kuropoka tu uongo uongo.
 
Back
Top Bottom