Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Slaa ni Mtu makini sana,akisema jambo jitahidi kuamini. Weweu unaweza kuthibitisha Udini wake?
Hana umakini wa aina yoyote ile.ni hiyo huyo dkt Slaa aliongeaga uongo kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki ikaja kugundulika kuwa ni uzushi na uongo mkubwa sana.
 
Hana umakini wa aina yoyote ile.ni hiyo huyo dkt Slaa aliongeaga uongo kuwa kuna gari linaingiza maboksi ya kura feki ikaja kugundulika kuwa ni uzushi na uongo mkubwa sana.
Sasa kinachokufanya umuite Padri wetu Mdini ni nini?
 
Sasa kinachokufanya umuite Padri wetu Mdini ni nini?
Ni kwa sababu amekuwa na chuki kubwa sana utawala unapokuwa unaongozwa na Rais muislam. Halafu usiseme padri.kwa sasa siyo padri na alishakiuka na kukanyaga viapo na miiko yote ya upadri.
 
Dkt Slaa ni mzushi na muongo kwa sababu hana ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kuzusha na kuleta tu taharuki ili kutimiza malengo yake ya kutaka wananchi waichukie serikali na. Rais wetu.anachotaka Dkt Slaa ni kumchafua Rais wetu mbele ya macho ya watanzania.ndio sababu anaamua tu kuongea jambo pasipo kuwa na ushahidi wa aina yoyote ile.
 

Attachments

  • Screenshot_20240609_002453_Instagram.jpg
    Screenshot_20240609_002453_Instagram.jpg
    1 MB · Views: 1
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu.amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja.ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi .jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo.hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais ,na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi..

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ajibiwe kwa hoja, kama hajibiwi kwa hoja lawama zote dhidi yake ni kazi bure
 
Mshaurini dkt Slaa aache Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais. Embu nikuulize swali hilo. Je umewahi kumsikia Dkt Slaa akikosoa chochote kile katika utawala uliopita?
Wapi alipohubiri dini au kukashifu dini ya samia?
 
Mheshimiwa Rais hajawahi kuwa mdini wala kumbagua mtu kwa misingi ya aina yoyote ile.lakini dkt Slaa amekuwa na chuki kubwa sana na utawala huu tangia uingie madarakani.kinachomsumbua ni Udini na chuki binafsi tu.ndio maana amekuwa akizusha vitu vya uongo na uchonganisha kwa lengo la kumchafua Mheshimiwa Rais
Ni wapi Slaa amezungumzia dini
Je tukisema nawe una chuki na Slaa utasemaje
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
nonsense
 
Mara mia kuliko kuwa mwanaume wa sampuli yako


Tulikuwa nao wengi sana humu JF na walikata tamaa labda kama umejiunga Juzi au jana
Dogo atachelewa sana kupata uteuzi sababu yeye anaandika pumba tupuu.

Ajabu mabosi zake wanaona anavyo dharirisha chama
 
Nimekwambia wazi wazi katika andiko langu kuwa mfuatilie dkt Slaa wa wakati wa Dkt Kikwete,wakati wa Hayati Dkt Magufuli pamoja na sasa wakati wa Mheshimiwa Dkt Samia. Utangunduwa wazi kuwa ni mtu mwenye Udini na chuki binafsi sana kila inapokuwa serikali inaongozwa na Rais muislam. Nikauliza na nakuuliza na wewe pia je umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika utawala uliopita?
@Lucas Mwashambwa sijui siasa umeanza kufuatilia lini?! Kama ulikuwa timamu miaka ya 2000 wakati wa utawala wa mkapa, Dr. Slaa akiwa mbunge wa Karatu alikosoa sana serikali ya Mkapa(Mkristo) na Sumaye(Mkristo). Yeye na Prf. Lipumba walikuwa ni vinara waliopinga sera za ubinafsishaji kiholela wa mashirika ya umma, na mikataba mibovu ya uchimbaji madini.

Pia walipinga suala la Kodi ya kichwa na baiskeli, mambo yaliyokuja kuondolewa baadae na serikali ya Mkapa.
 
Mshaurini dkt Slaa aache Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais. Embu nikuulize swali hilo. Je umewahi kumsikia Dkt Slaa akikosoa chochote kile katika utawala uliopita?

Because alikuwa mmoja wa utawala huo, hata ww ukiwa nje ya ccm utakuwa kama slaa tu
 
Kweli atachelewa kupata kaunda suti na cruiser nyeupe kutishia watu
Nani ampe uteuzi mtu asiejua kujibu facts.Nilimtafuta kwa thread flan hivi kama anaweza aweke facts niweke.
Akakimbiza mkia wake.

Dr.Slaa ameshavuka level za udini huyu mtu.
Alikua tested akapata ubarozi akasaliti mapambano ila kwa udini namtetea kabisaa.
 
@Lucas Mwashambwa sijui siasa umeanza kufuatilia lini?! Kama ulikuwa timamu miaka ya 2000 wakati wa utawala wa mkapa, Dr. Slaa akiwa mbunge wa Karatu alikosoa sana serikali ya Mkapa(Mkristo) na Sumaye(Mkristo). Yeye na Prf. Lipumba walikuwa ni vinara waliopinga sera za ubinafsishaji kiholela wa mashirika ya umma, na mikataba mibovu ya uchimbaji madini.

Pia walipinga suala la Kodi ya kichwa na baiskeli, mambo yaliyokuja kuondolewa baadae na serikali ya Mkapa.
Huyu bwana mdogo ni wa 2000 haelewi hata nchi imetoka wapi kisiasa.
 
Acha uchawa wa kijinga wewe wenzako wanateuliwa hata wakiwa wameshakua marehemu wewe unaandika maandishi yasiyo na mshiko ndio maana uteuzi utaendelea kukupita
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ndugu ni wapi alipomshambulia mama kipenzi cha watanzania?
 
Sasa ulitaka Dk.Slaa awe chawa wa Mama?
Kama wakati wa JK (ambaye ni Muislam) Dk.Slaa hakuwa na chuki naye za Udini,inakuwaje awe na Chuki za Udini kwa Mama?
 
Back
Top Bottom