Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Watanzania hatuwezi kuunga mkono na kumfumbia macho mtu anayeleta habari za Udini na chuki binafsi kwa kuzusha vitu vya uongo na uchonganisha kwa maslahi yake binafsi na genge lake.
Hiyo silaha unayotumia sasa wewe mshamba ni ya watoto wa elementary schools/chekechea you have successfully FAILED!
 
Huyu mpuuzi anatoa uzi halafu anakuwa na kazi ya kujibizana na watu wote! Hana anayemuunga mkono ni bwege mtozeni au kizamani "mzungu wa reli"= mwashamba
 
Huyu mpuuzi anatoa uzi halafu anakuwa na kazi ya kujibizana na watu wote! Hana anayemuunga mkono ni bwege mtozeni au kizamani "mzungu wa reli"= mwashamba
Kwa hiyo umeingia humu jukwaani kutaka kuungwa mkono tu? Hili ni jukwaa huru
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa sababu hutumii akili kufikiri; you don't think critically:
1. Wakati wa Kikwete alikuwa Chadema na vile vile alikuwa anamshambulia sana Mkapa. Alikuwa anawakilisha maslahi yake kwa kupitia Chadema, kupinga dhuluma za CCM.

2. Wakati wa Magufuri, ni ukweli uliopo kuwa Mbowe aliuza utu wake na maslahi ya Chadema kwa Lowasa, na strategy ya Slaa ilibidi maslahi yake binafsi yaendane na hali halisi. Akaenda upande mwingine. Magufuri hajwahi kuwa adui wa Slaa.

3. Wakati wa Samia: Kama wewe unaona kukemea uuzaji wa bandari ni kuuchukia uislamu basi akili yako ipo mgando. Mimi sikumlaumu Samia kukodisha bandari, lakin naheshimu mawazo ya Slaa na kwa sababu zake alizotoa.
 
Kwa sababu hutumii akili kufikiri; you don't think critically:
1. Wakati wa Kikwete alikuwa Chadema na vile vile alikuwa anamshambulia sana Mkapa. Alikuwa anawakilisha maslahi yake kwa kupitia Chadema, kupinga dhuluma za CCM.

2. Wakati wa Magufuri, ni ukweli uliopo kuwa Mbowe aliuza utu wake na maslahi ya Chadema kwa Lowasa, na strategy ya Slaa ilibidi maslahi yake binafsi yaendane na hali halisi. Akaenda upande mwingine. Magufuri hajwahi kuwa adui wa Slaa.

3. Wakati wa Samia: Kama wewe unaona kukemea uuzaji wa bandari ni kuuchukia uislamu basi akili yako ipo mgando. Mimi sikumlaumu Samia kukodisha bandari, lakin naheshimu mawazo ya Slaa na kwa sababu zake alizotoa.
Huyo UWT hawezi kukuelewa
 
Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.
Kuna msemo huu '' The burden of proof lies with the prosecution. Kwa kiswahili kisicho rasmi, '' Jukumu la kuthibitisha tuhuma lipo kwa mwendesha mashtaka''. Kwa mantiki hiyo ni wewe unayepaswa kuthibitisha uzushi wake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo.
The burden of proof lies with the prosecution. Na hapa prosecutor ni wewe, ushahidi upo wapi?

Kumbuka Dr Slaa alichosema kinaweza kuwa '' uongo au kinaweza kuwa kweli'' na yeye ndiye anajua na amelala salama salimini nyumbani kwake. Wewe uliyekereka na 'kumshtaki' mbele ya umma ndiye mwendesha mashtaka na una jukumu la kuthibitisha tuhuma dhidi ya Slaa.

Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.
Njia rahisi ya kumlazimisha atoe ushahidi ni kumpeleka mahakamani. Sisi kumwambia haitoshi anaweza kukataa

JokaKuu
 
Naona umeanza kwa matusi na kusema kuwa mimi ni mgonjwa wa akili ,ilihali wewe siyo daktari wangu.hapo umeonyesha ujinga wako na upofu wako wa akili. Nakusamehe bure tu maana watu aina yako haina sababu ya kubishana nao kwa kuwa ni kupoteza muda tu.

Ungekuwa na uzima wa akili japo kidogo, ungeorodhesha wakati wa utawala wa Mkapa au Magufuli ni rasilimali gani ziliporwa na kuwagawia wageni kupitia mkataba wa kishenzi kama ule wa DP World. Ungeeleza pia wakati wa hizo tawala ni nani waliwahi kuhamishwa maeneo yao ya asili na kupelekwa mbali kabisa, ili kutimiza matakwa ya waarabu ambao hawataki kuwaona wamasai Ngorongoro. Fikiria mtu anahamishwa toka Manyara, anavuka Arusha, Kilimanjaro, na kupelekwa Tanga, kwenye mazingira mageni kabisa.

Halafu ulivyo na akili na kumbukumbu ndogo umeshindwa kukumbuka kuwa kiongozi mkubwa aliyetajwa kuwa ni fisadi wakati wa utawala wa Kikwete alikuwa ni Hayati Lowasa RIP. Hivi Hayati Lowasa alikuwa muislam?

Mtu kama Lucas Mwashambwa, kwa maandiko yake, ni dhahiri ana shida kichwani, apuuzwe kwa maandiko yake takataka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi unamuona Slaa kweli ana akili nzuri!! Akikuangali tu unajua huyu hamna kitu. Nani ambaye anaenda upadre kafaulu. Upadre ni alternative ya waliofeli kama ualimu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.

Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.

Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.

Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.

Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.

Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kinacho kusumbua wewe ni kwamba ni zee jinga linaloishi. Na kama ulizaliwa na wazazi basi walizaa jinga. Na kama umeoa basi aliyeolewa kaolewa na jinga. Na kama unaishi Tanzania basi Tanzania Ina jinga. Na kama una kula basi Chakula kinaliwa na jinga. Wewe ni jinga jinga jinga jinga jinga mnoooo! Kutwa nzima unasifia yanayoteua marehemu, una akili kweli? Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
 
Kinacho kusumbua wewe ni kwamba ni zee jinga linaloishi. Na kama ulizaliwa na wazazi basi walizaa jinga. Na kama umeoa basi aliyeolewa kaolewa na jinga. Na kama unaishi Tanzania basi Tanzania Ina jinga. Na kama una kula basi Chakula kinaliwa na jinga. Wewe ni jinga jinga jinga jinga jinga mnoooo! Kutwa nzima unasifia yanayoteua marehemu, una akili kweli? Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Wewe ni wakusamehewa tu maana akili yako ina matatizo makubwa sana
 
Kwa sababu hutumii akili kufikiri; you don't think critically:
1. Wakati wa Kikwete alikuwa Chadema na vile vile alikuwa anamshambulia sana Mkapa. Alikuwa anawakilisha maslahi yake kwa kupitia Chadema, kupinga dhuluma za CCM.

2. Wakati wa Magufuri, ni ukweli uliopo kuwa Mbowe aliuza utu wake na maslahi ya Chadema kwa Lowasa, na strategy ya Slaa ilibidi maslahi yake binafsi yaendane na hali halisi. Akaenda upande mwingine. Magufuri hajwahi kuwa adui wa Slaa.

3. Wakati wa Samia: Kama wewe unaona kukemea uuzaji wa bandari ni kuuchukia uislamu basi akili yako ipo mgando. Mimi sikumlaumu Samia kukodisha bandari, lakin naheshimu mawazo ya Slaa na kwa sababu zake alizotoa.
Lazima uelewe kuwa hakuna bandari iliyouzwa bali kuna mkataba wa miaka 30 kuwapa wawekezaji,tena siyo bandari nzima au eneo lote la bandarini.tofauti na kauli za wapotoshaji wachache wenye chuki binafsi na ubaguzi wanaosema kuwa bandari zote zimeuzwa. Unaikumbuka kauli ya dkt Slaa alipoulizwa juu ya kupigwa risasi kwa Lissu? Unakumbuka alisema nini?
 
Kuna msemo huu '' The burden of proof lies with the prosecution. Kwa kiswahili kisicho rasmi, '' Jukumu la kuthibitisha tuhuma lipo kwa mwendesha mashtaka''. Kwa mantiki hiyo ni wewe unayepaswa kuthibitisha uzushi wake.


The burden of proof lies with the prosecution. Na hapa prosecutor ni wewe, ushahidi upo wapi?

Kumbuka Dr Slaa alichosema kinaweza kuwa '' uongo au kinaweza kuwa kweli'' na yeye ndiye anajua na amelala salama salimini nyumbani kwake. Wewe uliyekereka na 'kumshtaki' mbele ya umma ndiye mwendesha mashtaka na una jukumu la kuthibitisha tuhuma dhidi ya Slaa.


Njia rahisi ya kumlazimisha atoe ushahidi ni kumpeleka mahakamani. Sisi kumwambia haitoshi anaweza kukataa

JokaKuu
Dkt Slaa amezoea siasa za kizushi ,chuki binafsi na ubaguzi. Niambie au nipe video ya hata dakika moja tu ikinyesha dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile utawala uliopita.
 
Back
Top Bottom