Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Sahih kbsa tunasahau kushukuru na kuomba sna na kugaragaza hpn tufanye ibada ya shukrani Mara kwa Mara tuongezewe nguvu za kimungu
 
Sahih kbsa tunasahau kushukuru na kuomba sna na kugaragaza hpn tufanye ibada ya shukrani Mara kwa Mara tuongezewe nguvu za kimungu
Kabisa. Wabudha wanaujua sana huu ukweli huu. Binadamu ni kiumbe mwenye nguvu za ajabu sana. Kuliko unavyo weza kufikiri mkuu...
 
" Ukisema unafuata akili yako tu ni wazi maagizo ya Mungu unayaweza kando" Maagizo ya Mungu yapi hayo? Na nani alikwambia hayo ni Maagizo ya Mungu?
Dos and dont's... Ili uyajue maagizo yake ni lazima kwanza umuamini kisha ndio ujue anataka nini kwako na nini hataki kutoka kwako?!

Kwasisi waislamu , Mungu anasema kuwa

Quran 51:57-59

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe.

Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti
 
Nikuambieni kitu wandugu,,Iko hivi Roman Catholic waliposema Mungu yuko mahali kote hawakukosea,walitafakari,walichunguza,na wakaliona hilo kuwa Mungu yuko mahali kote.Ni kuwa hata mchanga unaouona na kuukanyaga hapo Mungu yupo maana yake ishi Kwa kufuata misingi mizuri kadiri dini zote zinavyoelekeza hakika utaishi Kwa amani na mafanikio tele hapa duniani.
Mungu yupo pamoja nasi,na Mungu yuko kila mahali,kanuni ni kumfuata tu yaani kuishi Kwa maarifa na pasipo vurumai basi Mungu yupo na lazima utatoboa (Mafanikio)
 
Kama nimekuelewa vile mtoa mada kwamba you need to believe in yourself that yes can do that badala ya kutegemea miujiza miujiza na ndio maana wezetu wa china ,wakorea na jamii ambazo hazitegemei miujiza ujiza they are so far kwa sababu mind set zao hazijajengwa katika kuamini an extra power beyond themselves ruther than what what is within themselves kama ni kusoma unasoma ili uelewe nini unakisoma kama ni kilimo unafanya kwa juhudi na kutumia kanuni zote zinazohitajika katika kupata tija na sio miujiza ujiza t tunacho paswa ni kumtukuza na kumsifu kwa mibaraka yake in simply we can say let's us do our best and He wil do rest
 
Mkuu wewe ni mlevi ujue? Wewe unanitajia vitabu vya juzi hivyo miaka 2000 iliyopita. Mimi nimekwambia watu walio ishi duniani miaka milioni saba iliyo pita...

Acha ulevi mkuu
Dalili ya kushindwa hoja ni kukimbilia ad-hominem.

Nimekupa ushahidi wa maandiko kuwa Mungu anasema kuwa hakuna mji au watu wowote waliopata kuishi katika ulimwengu huu isipokuwa aliwapelekea mwonyaji kati yao . Before Musa kukabidhiwa torati tayari kulikuwa na Mitume na manabii nyuma yake..Adam ,Nuh, Ibrahim,Ishaq,Ismael,Yaqub n.k walishapita na hesabu yao ipo kwa Mungu.

Swali ulilouliza halina tofauti na swali la firauni alilomuuliza Musa

Quran 20:51

[Pharaoh] said, "Then what is the case of the former generations?"​


Musa alimjibu Firauni hivi

Quran 20:52

[Moses] said, "The knowledge thereof is with my Lord in a record. My Lord neither errs nor forgets."
 
Eti mtumwa wa Mungu. So Mungu na yeye ana watumwa?
Yes we are His slaves and HE is our master. Wewe ni mtumwa tu mbele ya Mungu kwasababu maisha yako yote yanategemea YEYE. Ndio maana ya UTUMWA.

Unahitaji hewa aliyoiumba ili uishi.

Unahitaji chakula alichokiumba ili uishi.

Unahitaji maji aliyoyaumba ili unywe uishi

Kila kitu unamtegemea yeye kwanini usiwe mtumwa kwake??
 
Kati ya Mungu aliye niumba akanipa matamanio ya mwili na mimi mwanadamu ninae yatumia matamanio ya mwili kuifurahisha nafsi yangu nani mwenye makosa?
Kwahiyo wewe una uhuru wa kushiriki mapenzi ya jinsia moja ukawa na mume wako ili tu ukidhi matamanio ya nafsi yako?
 


Bado una safari ndefu sana mkuu.

Safari njema
Kwahiyo wewe una uhuru wa kushiriki mapenzi ya jinsia moja ukawa na mume wako ili tu ukidhi matamanio ya nafsi yako?
Unaona unacho kiwaza mkuu? Maandiko yanasema kilicho njaa mtu moyoni ndicho kinacho mtoka mdomoni. Mtoto wa kiislamu una anza vipi kuzungumza kuhusu ushoga? Hujioni kwamba wewe sio mzima na kwamba hiyo dini YAKO haijakusaidia chochote?
 
Kwaheri . Kumbe najadiliana na mlevi
 
Exactly This is what I am talking about
 
Wewe umesema upo huru kutumia matamanio yako vile utakavyo wewe bila ya kubanwa ama kuongozwa ba sheria za Mungu. Hukuandika?
 
Sikupi 100% ila ningepoteza madini muhimu kama ningeupuuza uzi wako
 
Asante KWA kuelewa somo. Mungu wala hayupo mbali nasi. Yupo anaishi ndani yetu. Huhitaji kwenda Maka, Madina au Yerusalem KWA ajili ya kukutana na nguvu za Mungu. Nguvu za Mungu zipo kila mahali
 
Kuna watu wanazani wanaweza kumpigania Mungu yaani kana kwamba anahitaji ulinzi ama utetezi wao wakati ni empty kabisa hawamfahamu.
katka biblia inasema waliompokea wanafanyka wana wa mungu means na wao ni mungu...
musa alipopewa mission na Mungu alijiona dhaifu lakini alisema anamuhitaji ivo ivo coz alijua uwezo alionao ambao yeye musa hakujigundua
 
Nakazia
 
Sikupi 100% ila ningepoteza madini muhimu kama ningeupuuza uzi wako
Hata mm nilitaka kumpuuza ila nikaona acha nimsome aise kumbe kaleta vitu vya sis kufanyika kazi ,haswa eneo la kushukuru Ni muhimu mno hili nimelifahamu kitambo kuwa mungu anatak shuktani tu

Na ndio maana marekani uko nin rfk angu mzungu alikuwa ananimbia kule kwao wana sikukuu kubwaa sna kitaifa inayoitwa Thanksgiving ni skuu kuu ya shkrani tu na siyo maombi
LIKUD hili unalifahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…