Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Hiyo siyo imani. Tofautisha imani na kufuru. Alikuja nabii Tito watu wakamsupport kwenye ile dini yake ya ulevi na uzinzi. Sasa nikuulize swali, utadai nabii Tito aachwe kisa ana imani kwenye kulala na house girl na kulewa pombe?.

Imani lazima iwe kanuni na utaratibu mliokubaliana Kama waumini mbele za Mungu. Sasa wewe uwe Mungu, hapohapo uwe kiongozi wa dhehebu na Tena uwe mchumba wa mtu hiyo sio imani, ni utaahira Kama yule Yesu wa tongoren Kenya au Jehovah wanyonyi.

Tukikaa tukasema waache watu wafanye kufuru kesho yatatokea mambo ya ajabu tutabaki tumeshangaa hatuna Cha kufanya Kama ushoga ulivyoshamiri.
Yatakuja ya kibwetere hapa.
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
Hichi ulichoandika ni kumkosea Hananja
 
Ila zumaridi ni hatari Sana, anajiita baba na mfalme wakati yeye ni mwanamke.
 

Attachments

  • mfalme-pic.jpg
    mfalme-pic.jpg
    18.6 KB · Views: 3
We humjuwi hananja
Na usimfananishe hananja
Na huyo zumaridi
Wengine hananja tunamjuwa miaka 20 iliyopita

Ova
Kumjua since hakuhalalishi yeye kukosoa imani za wengine kuhusu mafanikio mfalme zumaridi ana mafanikio kupita ukoo wote wa hananja , kama unabisha twende kwenye ushahdi no blah blah hapa
 
Ni mafundisho yanayokosa uhalisia mfano toa ubarikiwe watu wanatoa lakini hawapati kitu maana mtu anafanya maombi siku tatu kazi siku mbili hajitumi wala hana ubunifu mwusho hapati matokeo japo alitoa kweli mbegu na zaka. Tubahitaji walimu watakaotufundisha vitu practical vyenye uhalisia
Toa ndugu toa ndugu kwa Bwana , wakat huyo Bwana hayupo hela wanakula wahuni wachache
 
Huwa sifuatilii hawa watu lakini nimeona kwa mara ya kwanza clip za huyo mchungaji
Kwa kweli ana hoja na ni comedy pia
Namfuatilia kucheka tu
Ila anaongea jamaa na ukweli ni mwingi sana

Sasa akihoji huyo mama aseme alienda na usafiri gani mbinguni ni wivu?
Anamfagilia pia ila hakubali huyo mama anayoongea ni kama kachanganyikiwa tu
Kichwa kama ugali View attachment 2558864
Ni wivu tuu zumaridi ana mitikasi yake na kinachompa wafuasi wengi kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa huwa anagawa chakula na na pesa kwa watu , mkono mtupu haulambwi kama watu hawaoni kitu hawaji mzee ,

Hata kesi zake zilizomsumbua ilikuwa ni mchongo wa wabaya wake ambao nao ni wasanii wa kidini ila wanakosa strategy ya kuzinyaka pesa , leo hii mtu anakuja na bla bla , basi atueleze dini ya kweli ni ipi
 
Hichi ulichoandika ni kumkosea Hananja
Yeye angekaa na kutulia , kama anawashambulia wengine kwa nini yeye asishambuliwe , mbona wasabato wakiwashambulia mnapanua midomo juu , wamwache mfalme zumaridi , neno la Yesu ni moja tuu asiye na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe , tukiyafukunyua ya hananja hapa mbona tutakimbiana
 
Zumaridi jana alikua kwenye show ya rayvanny,sio shida zake
🤣🤣🤣,zumaridi mimi namchukulia kama.comedian fulani hivi unamsikiliza unacheka unaondoa stress,mengine unamuachia mwenyewe!
 
Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu

Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo

Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
Yaani Mch. Hananja umlinganishe na huo Utopolo???

You must be sick!
 
Kwa iyo mtoa mada una amini kabisa zumaridi alifika peponi ?
 
Mafundisho yale baadhi ni nadharia not practical, ndo maana wafuasi wao hayawasaidii japo wanajaza notisi. Mfano mtu anaendelea na zinaa japo ana notisi za kutosha kuhusu zinaa
Kama yapi? Isiye ikawa wewe akili yako ina shida. Mambo ya ukuu wa Mungu si ni nadharia tu.
 
Back
Top Bottom