Pre GE2025 Kinana: Rais Samia wanayemsema ndio ameleta uhuru uliopo nchini sasa hivi, akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?

Pre GE2025 Kinana: Rais Samia wanayemsema ndio ameleta uhuru uliopo nchini sasa hivi, akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM hadi leo wanaona haki za wananchi kama kukusanyika, mikutano ya siasa ni hisani ya rais na wala siyo haki za msingi za katiba yetu. Hapo ndiyo wanakwama sana na kuonekana hawana maana.

Ila hawa wazee wa ccm wake wakijua wao leo wapo kesho wakiondoka kitakuja kizazi kitagawana mbao kuanzia muungano mpaka mikoa. Ni bora wao kwa busara zao warekebishe ingali wana muda.

Kinakuja kizazi cha walafi humo humo ndani ya ccm ambacho hakitaogopa wala kujali huo muungano na ndiyo kitapigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la huo muungano. Na hao watu hawatakuwa CHADEMA, watakuwa wanaccm wenyewe.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kinana anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzania ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.
Hajajibu mapigo kama Lisu alivyopiga
 
Kinana amezeeka akili?
Hoja zake tangu achukue cheo kipya zimekuwa hazina muunganiko na zenye kukosa mashiko.
 
Sema pesa ni sabuni aisee..
Huyu jamaa Magufuli alimpausha hadi sauti ikawa haitoki!
Saizi anajikuta mwamba.
Awe na akiba.

Mungu fundi bana...
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kinana anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzania ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.



CHADEMA wametutuhumu CCM, Serikari na Rais kwa mambo ya uongo. Hatukatai kukosolewa na kusahihishwa, lakini hatukubali kuzuliwa wala kushtumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ni ya kutunga. Kubwa walilofanya kwenye mizunguko yao ni kujenga chuki na mfarakano miongoni mwa Watanzania.

Hoja zao na ufafanuzi wa Chama cha Mapinduzi

1. Katiba na Sheria
Wanasema wanataka Katiba Mpya na kutushawishi katiba mpya ni muhimu - Mwaka jana 2023 tumekubali hoja ya katiba mpya, na wanatanzania wanaitaka katiba mpya, tunachobishania ni lini, wao wanataka ipatikane leo. Rais Samia wakati anandoa zuio la mikutano ya hadhara alikubali pia kuhusu suala la katiba. Haya mambo yanahitaji muda na tafakuri, lakini wenzetu wanasema hapana, katiba inahitajika sana.

Katiba yetu imepokea mabadiliko mara 14, na ukitazama madailiko hayo mara nyingi yalilenga siasa, madaraka na uchaguzi, hata msukumo wa sasa wa CHADEMA lengo lake ni uchaguzi.

Tume ya Uchaguzi na Mamlaka ya Rais
Serikali imetunga sheria tatu za uchaguzi ambazo zimepita bungeni na Rais kutia saini, sheria ambazo zilitolewa maoni na wadau mbalimbali ikiwemo mpaka bungeni kwa siku nne, ambapo hoja za msingi zilikubaliwa lakini CHADEMA hawakuridhika, bado wasema Rais asihusishwe kwenye uchaguzi wa viongozi wa Tume, sijaona nchi ambayo Rais hahusishwi kwenye maamuzi mfano China, India, Kenya, Afrika Kusini kote Rais anakuwa na mamlaka fulani juu ya Tume. Hakuna Tume ya Uchaguzi Duniani ambayo Rais hana Mamlaka.


CHADEMA walitaka suala la Katiba liwe la CHADEMA na CCM kama chama kikuu cha upinzani na chama tawala, hili haliwezi kufanyika, sababu katiba sio suala la vyama hivi viwili pekee.


Kwa sheria hii nawahakikishia Tume hii itakuwa Huru na kufanya kazi kwa uadilifu, Mweyekiti, Makamu na watendaji watakula kiapo kufanya hiyo kazi, labda kama tunataka malaika kufanya hizo kazi, lakini kazi hizi lazima zifanywe na binadamu.


Katiba na Sheria ya Uchaguzi siyo njia pekee ya kushinda uchaguzi, Sera nzuri, Kukubalika kwa chama chako, Kukubalika wagombea wako na kujipanga ipasavyo kwenye uchaguzi kuna mchango mkubwa sana kwenye ushindi.


2. Muungano
CHADEMA wamekuja na hoja hizi;
  • Zanzibar ni ndogo wakati ina wabunge wengi
  • Rasi samia ni Mzanzibari hana nia njema na sisi - uongo ukirudiwa rudiwa usiposahihishwa unageuka kuwa ukweli, ndicho wanachotaka kuaminisha Watanzania, Watanznia kataeni sumu hiyo inayojaribu kujengwa miongoni mwenu. Kama zanzibar ingekuwa na wnanchi milioni 40 au 60 sawa na sisi je, swali hilo lingekuja? Jibu ni hapana, swali linakuja sababu wako 1,400,000!

Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja
Wanasahau muungao huu ni wa nchi huru, tumeunganisha nchi mbili, na huu Tunakubali na kukiri hizi ni nchi mbili tofauti zilizoamua kuungana kwa hiyari, zikiwa na ukubwa ardhi tofauti, ukubwa wa uchumi tofauti na ukubwa wa watu tofauti, tukiungana lazima tukubali kuwe na uwakilishi wa kutoka pande zote mbili. Usipime watu kwa udogo wao na ukubwa wao, wapime kwa walivyo, walikuwa huru tukaungana nao. Nchi ya Seychelles wako 100,007 wana wabunge 35, Lesotho ina watu 2,300,000 wana wabunge 130, lakini ndivyo walivyojipanga, Switzerland ina watu 1,700,000 wabunge wa 246 sawa na Tanzania ambapo sisi ni milini 60 na wabunge 300, ndivyo walivyokubaliana uwakilishi wao, Sweden 10,500,000 wana wabunge 349 kwanini hatuwaulizi? Kwahiyo hoja hii ya CHADEMA haina maana, ni hoja ya kuzua, kukotroga vichwa vya watu, kuchanganya watu, kuleta, uhasama, uchochezi. Haya yote wanayoongea hayaondoi umasikini wala kuleta maendeleo, basi tu tuvurugane, mimi naamini muungano huu utadumu.


Ubunge hauwakilishi idadi ya watu, ubunge unawakilisha hoja, matakwa ya watu, maoni, na mahitaji ya wnanchi. Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja, kuzungumza matatizo ya wananchi, kuzungumza juu ya shida za nchi yetu sio idadi, idadi sawa itafikiriwa lakini sio msingi pekee. Tukatae kugawanywe, waje na hoja za mashiko kuondoa umasikini

3. Kuligawa taifa katika majimbo
Tukishakubali hilo baadaye watasema kila kabila lipate jimbo liwe mkoa, baadaye watasema waislamu na wakristo wawe na eneo lao, mambo huwa yaanza hivi hivi, kuwagawa watu, moja ya sifa ya nchi yetu ni ummoja wa kitaifa, watanzania endeleeni kuikataa hoja hii.

Duniani nchi nyingi hazina majimbo zina mfumo wa umoja, inaitwa unitary system of government, mfumo wa serikari ya umoja.

CHADEMA wanataka kujenga uhasama miongoni mwetu, Watanzania nawasihi tukatae mgawanyiko.

4. Hoja ya Rais Samia na Uzanzibari
Kila kitu kipo kwenye Katiba, mgombea mwenza lazima atoke Zanzibari, kipi cha ajabu? Rais ipo kwa Msingi wa Katiba, hakwenda mwenyewe. Tusisikilize hoja za reja reja, hoja za msimu zinazotaka kutugawa. Mkiwasikiliza sana hawasemi watafanya nini, wanasema kasoro zetu.


Rais Samia ameleta uhuru nchini
Rais huyu wanayemsema, Rais Samia na mtakubaliana na mimi ndiye aliyeleta uhuru ulioko sasa hivi nchini, uhuru wa kusema, kushutumu, kuandamana, uhuru wa mikutano ya hadhara, nina hakika watajibu watasema lakini ipo kwenye katiba, kwani huko nyuma waliponyimwa katiba haikuwepo? Walikwenda barabarani? Katiba ilikuwepo, uhuru huo ulikuwepo lakini ulipigwa marufuku na hawakwenda barabarani. Sasa amekuja kiongozi muungwana amesema katiba inaruhusu na mimi naondoa kifungo kile mlichokuwa mmefungwa kuzuiwa kutumia uhuru wenu halafu wanasema hapana, unajua hii ipo kwenye katiba siyo kwamba ameturuhusu. Leo hii akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?


Rais ametoa uhuru wa habari, kila mtu aandika leo, andika unachotaka, ukweli, uongo watu wanaandika, haki za raia sasa hivi zina nafasi kubwa kuliko wakati wowote, tume ya haki jinai juu ya kuboresha haki za watanzania na kuhakikisha watanzania wanatendewa ipasavyo, haya yote yanaitwa maendeleo ya watu na jambo la msingi ni uhuru. Rais amejenga madarasa 20,000 nchi nzima, bwawa la Mwl. Nyerere limekamilika kwa 96%, SGR treni imefika mpaka Dododma, viwanja vya ndege vikubwa vya kimataifa na hajafanya kitu hata kimoja Zanzibar lakini wanalalamika, hoja nyepesi lakini imejaa fitna.


Hitimisho la Kinana
Lazima tukubali, Rais wetu anajitolea sana, Rais anajituma, tukatae kugawanywa na kufarakanishwa, watu wanatafuta uongozi CCM, CHADEMA ACT, CUF, tutafute uongozi kwa hoja zinazosaidia wananchi, zinazoleta maendeleo, zinazopunguza umasikini, tusitafute hoja rahisi za kuchonganisha watu, kufarakanisha watu, za kuvunja umoja wetu.

Kuna haja kwa kipindi hiki kuangalia katiba zetu upya

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu Rais aliyopo madarakani au kustaafu kushtakiwa kwa kosa lolote lile

Je siku akitokea Mzanzibar akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa makusudi ya kulindwa kisheria na kikatiba akawa anatapanya rasilimali za Tanganyika kwa maslahi yake au kwa maslahi ya kikundi fulani kilichopo Zanzibar jiulize nani wa kutetea au kuzilinda mali za Tanganyika?

Zanzibar wana serikali yao inayolinda mali na rasilimali za Zanzibar je Mali za Tanganyika zinalindwa na nani?
 
Kuna haja kwa kipindi hiki kuangalia katiba zetu upya

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu Rais aliyopo madarakani au kustaafu kushtakiwa kwa kosa lolote lile

Je siku akitokea Mzanzibar akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa makusudi ya kulindwa kisheria na kikatiba akawa anatapanya rasilimali za Tanganyika kwa maslahi yake au kwa maslahi ya kikundi fulani kilichopo Zanzibar jiulize nani wa kutetea au kuzilinda mali za Tanganyika?

Zanzibar wana serikali yao inayolinda mali na rasilimali za Zanzibar je Mali za Tanganyika zinalindwa na nani?
 
Sema pesa ni sabuni aisee..
Huyu jamaa Magufuli alimpausha hadi sauti ikawa haitoki!
Saizi anajikuta mwamba.
Awe na akiba.

Mungu fundi bana...
Mzilankende Alimtia Kwenye Kona Akambana Sana Alinyimwa Pumzi
 
Sheria za Uchaguzi anazozitetea Kinana hizi hapa, hivi huyu Mzee anadhani sisi ni wajinga kiasi gani?

View attachment 2981329

🙆‍♂️🙆‍♂️🤦‍♀️🤦‍♀️
1.Kwanini Wabunge wa Zanzibar huwa wanajadili bajeti za Wizara zisizo za Muungano, Kama Wizara ya Kilimo?

2. Kwanini kwenye Baraza la Wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika kulinda Maslahi ya Tanganyika?

3.Kwanini Wazanzibar wanakuwa Wakuu wa Wilaya Tanganyika ilihali Watanganyika hawawezi kuwa Znz,assumption kwamba TAMISeMI ipo nchi ya Rais?

4.Kwanini Rais wa Jamhuri akitaka kugawa eneo labda Mkoa au Wilaya,Tanganyika anagawa tu,ila Kwa Zanzaibar ni lazima ashauriane na rais wa Zanzibar?
5.Idadi kamili ya wapiga kura ilikupata Jimbo la Mbunge wa bunge la JMT ni ngapi?

6.Kwanini Sukari bei chini Znz?

7.Kwanini Leseni ya udereva ya Tanzania haikubaliki Znz?

8.Kwanini Mh Rais hakubinafsisha bandari za Znz?..Znz hawataki Ufanisi?

9.Kwanini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,hatambuliki Znz ilihali ni wa Tanzania nzima?

10.Kwanini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania halijawahi kuwa na Spika wala Naibu Spika toka Zanzibar?


Hapo namba 3. Ongezea wanakuwa ma DED , maofisa ndio wakumwaga kama wote.
 
Mkwe nae Kasema
Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kinana anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzania ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.



CHADEMA wametutuhumu CCM, Serikari na Rais kwa mambo ya uongo. Hatukatai kukosolewa na kusahihishwa, lakini hatukubali kuzuliwa wala kushtumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ni ya kutunga. Kubwa walilofanya kwenye mizunguko yao ni kujenga chuki na mfarakano miongoni mwa Watanzania.

Hoja zao na ufafanuzi wa Chama cha Mapinduzi

1. Katiba na Sheria
Wanasema wanataka Katiba Mpya na kutushawishi katiba mpya ni muhimu - Mwaka jana 2023 tumekubali hoja ya katiba mpya, na wanatanzania wanaitaka katiba mpya, tunachobishania ni lini, wao wanataka ipatikane leo. Rais Samia wakati anandoa zuio la mikutano ya hadhara alikubali pia kuhusu suala la katiba. Haya mambo yanahitaji muda na tafakuri, lakini wenzetu wanasema hapana, katiba inahitajika sana.

Katiba yetu imepokea mabadiliko mara 14, na ukitazama madailiko hayo mara nyingi yalilenga siasa, madaraka na uchaguzi, hata msukumo wa sasa wa CHADEMA lengo lake ni uchaguzi.

Tume ya Uchaguzi na Mamlaka ya Rais
Serikali imetunga sheria tatu za uchaguzi ambazo zimepita bungeni na Rais kutia saini, sheria ambazo zilitolewa maoni na wadau mbalimbali ikiwemo mpaka bungeni kwa siku nne, ambapo hoja za msingi zilikubaliwa lakini CHADEMA hawakuridhika, bado wasema Rais asihusishwe kwenye uchaguzi wa viongozi wa Tume, sijaona nchi ambayo Rais hahusishwi kwenye maamuzi mfano China, India, Kenya, Afrika Kusini kote Rais anakuwa na mamlaka fulani juu ya Tume. Hakuna Tume ya Uchaguzi Duniani ambayo Rais hana Mamlaka.


CHADEMA walitaka suala la Katiba liwe la CHADEMA na CCM kama chama kikuu cha upinzani na chama tawala, hili haliwezi kufanyika, sababu katiba sio suala la vyama hivi viwili pekee.


Kwa sheria hii nawahakikishia Tume hii itakuwa Huru na kufanya kazi kwa uadilifu, Mweyekiti, Makamu na watendaji watakula kiapo kufanya hiyo kazi, labda kama tunataka malaika kufanya hizo kazi, lakini kazi hizi lazima zifanywe na binadamu.


Katiba na Sheria ya Uchaguzi siyo njia pekee ya kushinda uchaguzi, Sera nzuri, Kukubalika kwa chama chako, Kukubalika wagombea wako na kujipanga ipasavyo kwenye uchaguzi kuna mchango mkubwa sana kwenye ushindi.


2. Muungano
CHADEMA wamekuja na hoja hizi;
  • Zanzibar ni ndogo wakati ina wabunge wengi
  • Rasi samia ni Mzanzibari hana nia njema na sisi - uongo ukirudiwa rudiwa usiposahihishwa unageuka kuwa ukweli, ndicho wanachotaka kuaminisha Watanzania, Watanznia kataeni sumu hiyo inayojaribu kujengwa miongoni mwenu. Kama zanzibar ingekuwa na wnanchi milioni 40 au 60 sawa na sisi je, swali hilo lingekuja? Jibu ni hapana, swali linakuja sababu wako 1,400,000!

Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja
Wanasahau muungao huu ni wa nchi huru, tumeunganisha nchi mbili, na huu Tunakubali na kukiri hizi ni nchi mbili tofauti zilizoamua kuungana kwa hiyari, zikiwa na ukubwa ardhi tofauti, ukubwa wa uchumi tofauti na ukubwa wa watu tofauti, tukiungana lazima tukubali kuwe na uwakilishi wa kutoka pande zote mbili. Usipime watu kwa udogo wao na ukubwa wao, wapime kwa walivyo, walikuwa huru tukaungana nao. Nchi ya Seychelles wako 100,007 wana wabunge 35, Lesotho ina watu 2,300,000 wana wabunge 130, lakini ndivyo walivyojipanga, Switzerland ina watu 1,700,000 wabunge wa 246 sawa na Tanzania ambapo sisi ni milini 60 na wabunge 300, ndivyo walivyokubaliana uwakilishi wao, Sweden 10,500,000 wana wabunge 349 kwanini hatuwaulizi? Kwahiyo hoja hii ya CHADEMA haina maana, ni hoja ya kuzua, kukotroga vichwa vya watu, kuchanganya watu, kuleta, uhasama, uchochezi. Haya yote wanayoongea hayaondoi umasikini wala kuleta maendeleo, basi tu tuvurugane, mimi naamini muungano huu utadumu.


Ubunge hauwakilishi idadi ya watu, ubunge unawakilisha hoja, matakwa ya watu, maoni, na mahitaji ya wnanchi. Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja, kuzungumza matatizo ya wananchi, kuzungumza juu ya shida za nchi yetu sio idadi, idadi sawa itafikiriwa lakini sio msingi pekee. Tukatae kugawanywe, waje na hoja za mashiko kuondoa umasikini

3. Kuligawa taifa katika majimbo
Tukishakubali hilo baadaye watasema kila kabila lipate jimbo liwe mkoa, baadaye watasema waislamu na wakristo wawe na eneo lao, mambo huwa yaanza hivi hivi, kuwagawa watu, moja ya sifa ya nchi yetu ni ummoja wa kitaifa, watanzania endeleeni kuikataa hoja hii.

Duniani nchi nyingi hazina majimbo zina mfumo wa umoja, inaitwa unitary system of government, mfumo wa serikari ya umoja.

CHADEMA wanataka kujenga uhasama miongoni mwetu, Watanzania nawasihi tukatae mgawanyiko.

4. Hoja ya Rais Samia na Uzanzibari
Kila kitu kipo kwenye Katiba, mgombea mwenza lazima atoke Zanzibari, kipi cha ajabu? Rais ipo kwa Msingi wa Katiba, hakwenda mwenyewe. Tusisikilize hoja za reja reja, hoja za msimu zinazotaka kutugawa. Mkiwasikiliza sana hawasemi watafanya nini, wanasema kasoro zetu.


Rais Samia ameleta uhuru nchini
Rais huyu wanayemsema, Rais Samia na mtakubaliana na mimi ndiye aliyeleta uhuru ulioko sasa hivi nchini, uhuru wa kusema, kushutumu, kuandamana, uhuru wa mikutano ya hadhara, nina hakika watajibu watasema lakini ipo kwenye katiba, kwani huko nyuma waliponyimwa katiba haikuwepo? Walikwenda barabarani? Katiba ilikuwepo, uhuru huo ulikuwepo lakini ulipigwa marufuku na hawakwenda barabarani. Sasa amekuja kiongozi muungwana amesema katiba inaruhusu na mimi naondoa kifungo kile mlichokuwa mmefungwa kuzuiwa kutumia uhuru wenu halafu wanasema hapana, unajua hii ipo kwenye katiba siyo kwamba ameturuhusu. Leo hii akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?


Rais ametoa uhuru wa habari, kila mtu aandika leo, andika unachotaka, ukweli, uongo watu wanaandika, haki za raia sasa hivi zina nafasi kubwa kuliko wakati wowote, tume ya haki jinai juu ya kuboresha haki za watanzania na kuhakikisha watanzania wanatendewa ipasavyo, haya yote yanaitwa maendeleo ya watu na jambo la msingi ni uhuru. Rais amejenga madarasa 20,000 nchi nzima, bwawa la Mwl. Nyerere limekamilika kwa 96%, SGR treni imefika mpaka Dododma, viwanja vya ndege vikubwa vya kimataifa na hajafanya kitu hata kimoja Zanzibar lakini wanalalamika, hoja nyepesi lakini imejaa fitna.


Hitimisho la Kinana
Lazima tukubali, Rais wetu anajitolea sana, Rais anajituma, tukatae kugawanywa na kufarakanishwa, watu wanatafuta uongozi CCM, CHADEMA ACT, CUF, tutafute uongozi kwa hoja zinazosaidia wananchi, zinazoleta maendeleo, zinazopunguza umasikini, tusitafute hoja rahisi za kuchonganisha watu, kufarakanisha watu, za kuvunja umoja wetu.

Mkwe nae akasema Eti kila mara Serikali itakapokuwa ikiajiri watu Basi 21 % otomane na Zanzibar tu 👌 🤔🤔

Watanganyika kazi mnayo 😊

Wakati hiyo Zanzibar ina population ya watu wangapi milioni moja au moja unusu ?
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kinana anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzania ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.



CHADEMA wametutuhumu CCM, Serikari na Rais kwa mambo ya uongo. Hatukatai kukosolewa na kusahihishwa, lakini hatukubali kuzuliwa wala kushtumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ni ya kutunga. Kubwa walilofanya kwenye mizunguko yao ni kujenga chuki na mfarakano miongoni mwa Watanzania.

Hoja zao na ufafanuzi wa Chama cha Mapinduzi

1. Katiba na Sheria
Wanasema wanataka Katiba Mpya na kutushawishi katiba mpya ni muhimu - Mwaka jana 2023 tumekubali hoja ya katiba mpya, na wanatanzania wanaitaka katiba mpya, tunachobishania ni lini, wao wanataka ipatikane leo. Rais Samia wakati anandoa zuio la mikutano ya hadhara alikubali pia kuhusu suala la katiba. Haya mambo yanahitaji muda na tafakuri, lakini wenzetu wanasema hapana, katiba inahitajika sana.

Katiba yetu imepokea mabadiliko mara 14, na ukitazama madailiko hayo mara nyingi yalilenga siasa, madaraka na uchaguzi, hata msukumo wa sasa wa CHADEMA lengo lake ni uchaguzi.

Tume ya Uchaguzi na Mamlaka ya Rais
Serikali imetunga sheria tatu za uchaguzi ambazo zimepita bungeni na Rais kutia saini, sheria ambazo zilitolewa maoni na wadau mbalimbali ikiwemo mpaka bungeni kwa siku nne, ambapo hoja za msingi zilikubaliwa lakini CHADEMA hawakuridhika, bado wasema Rais asihusishwe kwenye uchaguzi wa viongozi wa Tume, sijaona nchi ambayo Rais hahusishwi kwenye maamuzi mfano China, India, Kenya, Afrika Kusini kote Rais anakuwa na mamlaka fulani juu ya Tume. Hakuna Tume ya Uchaguzi Duniani ambayo Rais hana Mamlaka.


CHADEMA walitaka suala la Katiba liwe la CHADEMA na CCM kama chama kikuu cha upinzani na chama tawala, hili haliwezi kufanyika, sababu katiba sio suala la vyama hivi viwili pekee.


Kwa sheria hii nawahakikishia Tume hii itakuwa Huru na kufanya kazi kwa uadilifu, Mweyekiti, Makamu na watendaji watakula kiapo kufanya hiyo kazi, labda kama tunataka malaika kufanya hizo kazi, lakini kazi hizi lazima zifanywe na binadamu.


Katiba na Sheria ya Uchaguzi siyo njia pekee ya kushinda uchaguzi, Sera nzuri, Kukubalika kwa chama chako, Kukubalika wagombea wako na kujipanga ipasavyo kwenye uchaguzi kuna mchango mkubwa sana kwenye ushindi.


2. Muungano
CHADEMA wamekuja na hoja hizi;
  • Zanzibar ni ndogo wakati ina wabunge wengi
  • Rasi samia ni Mzanzibari hana nia njema na sisi - uongo ukirudiwa rudiwa usiposahihishwa unageuka kuwa ukweli, ndicho wanachotaka kuaminisha Watanzania, Watanznia kataeni sumu hiyo inayojaribu kujengwa miongoni mwenu. Kama zanzibar ingekuwa na wnanchi milioni 40 au 60 sawa na sisi je, swali hilo lingekuja? Jibu ni hapana, swali linakuja sababu wako 1,400,000!

Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja
Wanasahau muungao huu ni wa nchi huru, tumeunganisha nchi mbili, na huu Tunakubali na kukiri hizi ni nchi mbili tofauti zilizoamua kuungana kwa hiyari, zikiwa na ukubwa ardhi tofauti, ukubwa wa uchumi tofauti na ukubwa wa watu tofauti, tukiungana lazima tukubali kuwe na uwakilishi wa kutoka pande zote mbili. Usipime watu kwa udogo wao na ukubwa wao, wapime kwa walivyo, walikuwa huru tukaungana nao. Nchi ya Seychelles wako 100,007 wana wabunge 35, Lesotho ina watu 2,300,000 wana wabunge 130, lakini ndivyo walivyojipanga, Switzerland ina watu 1,700,000 wabunge wa 246 sawa na Tanzania ambapo sisi ni milini 60 na wabunge 300, ndivyo walivyokubaliana uwakilishi wao, Sweden 10,500,000 wana wabunge 349 kwanini hatuwaulizi? Kwahiyo hoja hii ya CHADEMA haina maana, ni hoja ya kuzua, kukotroga vichwa vya watu, kuchanganya watu, kuleta, uhasama, uchochezi. Haya yote wanayoongea hayaondoi umasikini wala kuleta maendeleo, basi tu tuvurugane, mimi naamini muungano huu utadumu.


Ubunge hauwakilishi idadi ya watu, ubunge unawakilisha hoja, matakwa ya watu, maoni, na mahitaji ya wnanchi. Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja, kuzungumza matatizo ya wananchi, kuzungumza juu ya shida za nchi yetu sio idadi, idadi sawa itafikiriwa lakini sio msingi pekee. Tukatae kugawanywe, waje na hoja za mashiko kuondoa umasikini

3. Kuligawa taifa katika majimbo
Tukishakubali hilo baadaye watasema kila kabila lipate jimbo liwe mkoa, baadaye watasema waislamu na wakristo wawe na eneo lao, mambo huwa yaanza hivi hivi, kuwagawa watu, moja ya sifa ya nchi yetu ni ummoja wa kitaifa, watanzania endeleeni kuikataa hoja hii.

Duniani nchi nyingi hazina majimbo zina mfumo wa umoja, inaitwa unitary system of government, mfumo wa serikari ya umoja.

CHADEMA wanataka kujenga uhasama miongoni mwetu, Watanzania nawasihi tukatae mgawanyiko.

4. Hoja ya Rais Samia na Uzanzibari
Kila kitu kipo kwenye Katiba, mgombea mwenza lazima atoke Zanzibari, kipi cha ajabu? Rais ipo kwa Msingi wa Katiba, hakwenda mwenyewe. Tusisikilize hoja za reja reja, hoja za msimu zinazotaka kutugawa. Mkiwasikiliza sana hawasemi watafanya nini, wanasema kasoro zetu.


Rais Samia ameleta uhuru nchini
Rais huyu wanayemsema, Rais Samia na mtakubaliana na mimi ndiye aliyeleta uhuru ulioko sasa hivi nchini, uhuru wa kusema, kushutumu, kuandamana, uhuru wa mikutano ya hadhara, nina hakika watajibu watasema lakini ipo kwenye katiba, kwani huko nyuma waliponyimwa katiba haikuwepo? Walikwenda barabarani? Katiba ilikuwepo, uhuru huo ulikuwepo lakini ulipigwa marufuku na hawakwenda barabarani. Sasa amekuja kiongozi muungwana amesema katiba inaruhusu na mimi naondoa kifungo kile mlichokuwa mmefungwa kuzuiwa kutumia uhuru wenu halafu wanasema hapana, unajua hii ipo kwenye katiba siyo kwamba ameturuhusu. Leo hii akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?


Rais ametoa uhuru wa habari, kila mtu aandika leo, andika unachotaka, ukweli, uongo watu wanaandika, haki za raia sasa hivi zina nafasi kubwa kuliko wakati wowote, tume ya haki jinai juu ya kuboresha haki za watanzania na kuhakikisha watanzania wanatendewa ipasavyo, haya yote yanaitwa maendeleo ya watu na jambo la msingi ni uhuru. Rais amejenga madarasa 20,000 nchi nzima, bwawa la Mwl. Nyerere limekamilika kwa 96%, SGR treni imefika mpaka Dododma, viwanja vya ndege vikubwa vya kimataifa na hajafanya kitu hata kimoja Zanzibar lakini wanalalamika, hoja nyepesi lakini imejaa fitna.


Hitimisho la Kinana
Lazima tukubali, Rais wetu anajitolea sana, Rais anajituma, tukatae kugawanywa na kufarakanishwa, watu wanatafuta uongozi CCM, CHADEMA ACT, CUF, tutafute uongozi kwa hoja zinazosaidia wananchi, zinazoleta maendeleo, zinazopunguza umasikini, tusitafute hoja rahisi za kuchonganisha watu, kufarakanisha watu, za kuvunja umoja wetu.

Hizi propaganda anazotumia kujibu hoja za Lissu zitaeleweka kwa CCM pekee na wajinga wengine ila haziwezi brainwash Watanzania waelevu na wapenda mabadiliko yanayozingatia utawala wa sheria unaotokana na katiba pamoja na taasisi imara ila sio huu upuuzi tunaoushuhudia sasa nchini. Hivyo Kinana anatakiwa arudie tena speech ya TL na kujibu hoja kwa hoja...... Leo alikuwa anafanya mazingaombwe
 
Binafsi huyu mzee kinana simuelewi haya majibu yake, ni anarukaruka tu kwenye majibu.
Mfano kwenye issue ya usawa wa wabunge wa znz na Tanganyika, nyingine ni amekubali kuwa ziliungana nchi mbili na akahitaja moja kiwa ni Zanzibar ila amekimbia kuitaja Tanganyika.
Pia ametoa mifano mingi kuhusu wingi wa wabunge na wingi wa wananchi kutoka nchi kadhaa, mfano katoa mf. kutoka Switzerland ambayo ina idadi ya watu 8,842,736 na ikiwa na cabinet ya watu 8 tu.

Huo mfano kutokana na yeye mwenyewe anasema ni kihoja basi ninkihoja kweli.
Na kagusia TICTS ambayo ilikuwa mgodi wake ambao anajua fika alikuwa anaihujumu nchi ila kwa kuwa yupo upande wa kula mema basi anadhihaki.

Mengi anayoongea mzee Kinana siyo kweli vile hapa ukumbini wengi tuliopo ni kondoo tu.
CCM ukosefu viongozi wenye kuelewa Hali halisi ya watanzania. Mtu kama kinana angea saa nzima kama vile anasimulia Watoto wa chekechea hadith za pwaguna pwaguzi. Suala la katiba watanzania wamelidai kwa zaidi ya miaka 30. Halafu bado unasema mda wake haujafika. Eti tume isimamia uchaguzi kwa uhuru na wa haki kwani kilicho msababisha isisimamie uchaguzi wa mwaka 2020 na miaka yote ya nyuma nini? Hicho kilicho kuwa kinasababisha uchaguzi usiwe huru na wa haki ni nini? Imeondolewa lini na Nani?
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Abdulrahman Kinana anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kinana anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzania ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.



CHADEMA wametutuhumu CCM, Serikari na Rais kwa mambo ya uongo. Hatukatai kukosolewa na kusahihishwa, lakini hatukubali kuzuliwa wala kushtumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ni ya kutunga. Kubwa walilofanya kwenye mizunguko yao ni kujenga chuki na mfarakano miongoni mwa Watanzania.

Hoja zao na ufafanuzi wa Chama cha Mapinduzi

1. Katiba na Sheria
Wanasema wanataka Katiba Mpya na kutushawishi katiba mpya ni muhimu - Mwaka jana 2023 tumekubali hoja ya katiba mpya, na wanatanzania wanaitaka katiba mpya, tunachobishania ni lini, wao wanataka ipatikane leo. Rais Samia wakati anandoa zuio la mikutano ya hadhara alikubali pia kuhusu suala la katiba. Haya mambo yanahitaji muda na tafakuri, lakini wenzetu wanasema hapana, katiba inahitajika sana.

Katiba yetu imepokea mabadiliko mara 14, na ukitazama madailiko hayo mara nyingi yalilenga siasa, madaraka na uchaguzi, hata msukumo wa sasa wa CHADEMA lengo lake ni uchaguzi.

Tume ya Uchaguzi na Mamlaka ya Rais
Serikali imetunga sheria tatu za uchaguzi ambazo zimepita bungeni na Rais kutia saini, sheria ambazo zilitolewa maoni na wadau mbalimbali ikiwemo mpaka bungeni kwa siku nne, ambapo hoja za msingi zilikubaliwa lakini CHADEMA hawakuridhika, bado wasema Rais asihusishwe kwenye uchaguzi wa viongozi wa Tume, sijaona nchi ambayo Rais hahusishwi kwenye maamuzi mfano China, India, Kenya, Afrika Kusini kote Rais anakuwa na mamlaka fulani juu ya Tume. Hakuna Tume ya Uchaguzi Duniani ambayo Rais hana Mamlaka.


CHADEMA walitaka suala la Katiba liwe la CHADEMA na CCM kama chama kikuu cha upinzani na chama tawala, hili haliwezi kufanyika, sababu katiba sio suala la vyama hivi viwili pekee.


Kwa sheria hii nawahakikishia Tume hii itakuwa Huru na kufanya kazi kwa uadilifu, Mweyekiti, Makamu na watendaji watakula kiapo kufanya hiyo kazi, labda kama tunataka malaika kufanya hizo kazi, lakini kazi hizi lazima zifanywe na binadamu.


Katiba na Sheria ya Uchaguzi siyo njia pekee ya kushinda uchaguzi, Sera nzuri, Kukubalika kwa chama chako, Kukubalika wagombea wako na kujipanga ipasavyo kwenye uchaguzi kuna mchango mkubwa sana kwenye ushindi.


2. Muungano
CHADEMA wamekuja na hoja hizi;
  • Zanzibar ni ndogo wakati ina wabunge wengi
  • Rasi samia ni Mzanzibari hana nia njema na sisi - uongo ukirudiwa rudiwa usiposahihishwa unageuka kuwa ukweli, ndicho wanachotaka kuaminisha Watanzania, Watanznia kataeni sumu hiyo inayojaribu kujengwa miongoni mwenu. Kama zanzibar ingekuwa na wnanchi milioni 40 au 60 sawa na sisi je, swali hilo lingekuja? Jibu ni hapana, swali linakuja sababu wako 1,400,000!

Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja
Wanasahau muungao huu ni wa nchi huru, tumeunganisha nchi mbili, na huu Tunakubali na kukiri hizi ni nchi mbili tofauti zilizoamua kuungana kwa hiyari, zikiwa na ukubwa ardhi tofauti, ukubwa wa uchumi tofauti na ukubwa wa watu tofauti, tukiungana lazima tukubali kuwe na uwakilishi wa kutoka pande zote mbili. Usipime watu kwa udogo wao na ukubwa wao, wapime kwa walivyo, walikuwa huru tukaungana nao. Nchi ya Seychelles wako 100,007 wana wabunge 35, Lesotho ina watu 2,300,000 wana wabunge 130, lakini ndivyo walivyojipanga, Switzerland ina watu 1,700,000 wabunge wa 246 sawa na Tanzania ambapo sisi ni milini 60 na wabunge 300, ndivyo walivyokubaliana uwakilishi wao, Sweden 10,500,000 wana wabunge 349 kwanini hatuwaulizi? Kwahiyo hoja hii ya CHADEMA haina maana, ni hoja ya kuzua, kukotroga vichwa vya watu, kuchanganya watu, kuleta, uhasama, uchochezi. Haya yote wanayoongea hayaondoi umasikini wala kuleta maendeleo, basi tu tuvurugane, mimi naamini muungano huu utadumu.


Ubunge hauwakilishi idadi ya watu, ubunge unawakilisha hoja, matakwa ya watu, maoni, na mahitaji ya wnanchi. Wabunge hawaendi bungeni sababu ya idadi ya watu, wanaenda kwa uzito wa hoja, kuzungumza matatizo ya wananchi, kuzungumza juu ya shida za nchi yetu sio idadi, idadi sawa itafikiriwa lakini sio msingi pekee. Tukatae kugawanywe, waje na hoja za mashiko kuondoa umasikini

3. Kuligawa taifa katika majimbo
Tukishakubali hilo baadaye watasema kila kabila lipate jimbo liwe mkoa, baadaye watasema waislamu na wakristo wawe na eneo lao, mambo huwa yaanza hivi hivi, kuwagawa watu, moja ya sifa ya nchi yetu ni ummoja wa kitaifa, watanzania endeleeni kuikataa hoja hii.

Duniani nchi nyingi hazina majimbo zina mfumo wa umoja, inaitwa unitary system of government, mfumo wa serikari ya umoja.

CHADEMA wanataka kujenga uhasama miongoni mwetu, Watanzania nawasihi tukatae mgawanyiko.

4. Hoja ya Rais Samia na Uzanzibari
Kila kitu kipo kwenye Katiba, mgombea mwenza lazima atoke Zanzibari, kipi cha ajabu? Rais ipo kwa Msingi wa Katiba, hakwenda mwenyewe. Tusisikilize hoja za reja reja, hoja za msimu zinazotaka kutugawa. Mkiwasikiliza sana hawasemi watafanya nini, wanasema kasoro zetu.


Rais Samia ameleta uhuru nchini
Rais huyu wanayemsema, Rais Samia na mtakubaliana na mimi ndiye aliyeleta uhuru ulioko sasa hivi nchini, uhuru wa kusema, kushutumu, kuandamana, uhuru wa mikutano ya hadhara, nina hakika watajibu watasema lakini ipo kwenye katiba, kwani huko nyuma waliponyimwa katiba haikuwepo? Walikwenda barabarani? Katiba ilikuwepo, uhuru huo ulikuwepo lakini ulipigwa marufuku na hawakwenda barabarani. Sasa amekuja kiongozi muungwana amesema katiba inaruhusu na mimi naondoa kifungo kile mlichokuwa mmefungwa kuzuiwa kutumia uhuru wenu halafu wanasema hapana, unajua hii ipo kwenye katiba siyo kwamba ameturuhusu. Leo hii akisema kuanzia leo hakuna maandamano itakuwa nini?


Rais ametoa uhuru wa habari, kila mtu aandika leo, andika unachotaka, ukweli, uongo watu wanaandika, haki za raia sasa hivi zina nafasi kubwa kuliko wakati wowote, tume ya haki jinai juu ya kuboresha haki za watanzania na kuhakikisha watanzania wanatendewa ipasavyo, haya yote yanaitwa maendeleo ya watu na jambo la msingi ni uhuru. Rais amejenga madarasa 20,000 nchi nzima, bwawa la Mwl. Nyerere limekamilika kwa 96%, SGR treni imefika mpaka Dododma, viwanja vya ndege vikubwa vya kimataifa na hajafanya kitu hata kimoja Zanzibar lakini wanalalamika, hoja nyepesi lakini imejaa fitna.


Hitimisho la Kinana
Lazima tukubali, Rais wetu anajitolea sana, Rais anajituma, tukatae kugawanywa na kufarakanishwa, watu wanatafuta uongozi CCM, CHADEMA ACT, CUF, tutafute uongozi kwa hoja zinazosaidia wananchi, zinazoleta maendeleo, zinazopunguza umasikini, tusitafute hoja rahisi za kuchonganisha watu, kufarakanisha watu, za kuvunja umoja wetu.

Kungekuwa na uhuru wa habari waandishi wangemuuliza kuhusu kuhusika kwake kwenye biashara haramu ya ujangili
 
1.Kwanini Wabunge wa Zanzibar huwa wanajadili bajeti za Wizara zisizo za Muungano, Kama Wizara ya Kilimo?

2. Kwanini kwenye Baraza la Wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika kulinda Maslahi ya Tanganyika?

3.Kwanini Wazanzibar wanakuwa Wakuu wa Wilaya Tanganyika ilihali Watanganyika hawawezi kuwa Znz,assumption kwamba TAMISeMI ipo nchi ya Rais?

4.Kwanini Rais wa Jamhuri akitaka kugawa eneo labda Mkoa au Wilaya,Tanganyika anagawa tu,ila Kwa Zanzaibar ni lazima ashauriane na rais wa Zanzibar?
5.Idadi kamili ya wapiga kura ilikupata Jimbo la Mbunge wa bunge la JMT ni ngapi?

6.Kwanini Sukari bei chini Znz?

7.Kwanini Leseni ya udereva ya Tanzania haikubaliki Znz?

8.Kwanini Mh Rais hakubinafsisha bandari za Znz?..Znz hawataki Ufanisi?

9.Kwanini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,hatambuliki Znz ilihali ni wa Tanzania nzima?

10.Kwanini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania halijawahi kuwa na Spika wala Naibu Spika toka Zanzibar?
Point mujarabu sana hizi?
 
Mwalimu Nyerere alituasa kuwa makini sana na wanasiasa wanaoutumia dini , kabila na rangi katika kutafuta uongozi. Wanasiasa waliokosa hoja hukimbilia mambo hayo ili kuwahadaa wananchi.
Tundu lissu wa chadema ni mfano Hai wa ambacho alikielezea Mwalimu Nyerere. Watanzania mpuuzeni maana hajui analoongea lina athari gani kwa jamii yetu.
 
Mwalimu Nyerere alituasa kuwa makini sana na wanasiasa wanaoutumia dini , kabila na rangi katika kutafuta uongozi. Wanasiasa waliokosa hoja hukimbilia mambo hayo ili kuwahadaa wananchi.
Tundu lissu wa chadema ni mfano Hai wa ambacho alikielezea Mwalimu Nyerere. Watanzania mpuuzeni maana hajui analoongea lina athari gani kwa jamii yetu.
Chawa mkubwa wewe, Nyerere ndiye aliasisi tume isiyo huru,matokeo ya Rais yasipingwe mahakamani. Chama chenye kuongozwa Kwa kurithiwa na Watoto wa waasisi.
Nyerere alitaka Mgombea binafsi,nani anayezuia miaka yote hiyo?
 
Back
Top Bottom