Binadamu hujisahau sana. Historia HUTUNZWA na haifutiki.
Mfano mwingine , ni wa wale waliohusika na mauaji ya kimbali ya Wayahudi kwa amri ya Hitler. Miaka ilienda mpaka ika fika 40 lakini mwishowe walitafutwa WAKAKAMATWA wakiwa wazee sana.
Hata hivyo sheria haiangalii UZEE inaangalia USHAHIDI na historia.Mwishowe walihukumiwa bila kujali kama walikuwa wanatembelea wheel chair ama la.
Hata Angola Binti wa Rais mstaafu ambaye ni TAJIRI sana kulingana na gazeti la Forbes. Tayari anachingizwa na MKUU wa MASHTAKA ya serikali bilakujali alikuwa mtiti wa nani.
Ukitoka madarakani wewe ni raia. na ni lazima ujibu.