Na SACCOS imetuna na kujaa mihelahata akirudi FICEM atasaidia nini? alikuwa huko tangu sijazaliwa nimezaliwa na sasa nazeeka akakimbilia cdm. tunashukuru amechangia kubusti cdm imepata wabunge wengi halmashauri nyingi. kwahiyo hata akiondoka hakuna shida tumeshmtumia ametunufaisha inatosha. arudi akamalizie uhai wake FICEM.
Na SACCOS imetuna na kujaa mihela
Post sent using JamiiForums mobile app
Mzee wa pumzi imekata?
Mmh sasa akirudi atasemaje, mkia kauacha wapi?
Haya wazee wa tetesi naona unawachokoza, nyumbu huko waliko.
sweeper
cc: slow slowCha ajabu nini wakati kila mtanzania ana uhuru wa kwenda chama chochote anachopenda sera zake? Hata Lowassa anaweza kurudi CCM akitaka na Nape kwenda CHADEMA akiamua
Mhenga amejitambua!Ana hoja kwani CCM pumzi iko juu imerejea hiyo ndiyo siasa
Kingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Wakirudi hawatakuwa na msimamo huo tena, tutakuwa wamojaKingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
Katika katiba yenu ya ccm inazuia mtu kuwa mwanachama wa chama kingine then akaendelea kuwa mwanachama wa ccm, hivyo Dr Slaa, Lowassa na Sumaye automatically siyo wanaccm tena mara tu baada ya kuchukua kadi za Chadema hadi hapo watakapofuata utaratibu mwingine wa kurudi ccm kama mwanachama mpya, kuhusu Mzee Kingunge yeye hajawahi kuhamia chama chochote kile zaidi tu ya kumuunga mkono Lowassa.Kwani Lowasa au Dr Slaa na yule Sumaye waliwahi kurudisha kadi za CCM?!!
Senility must be creeping in.Let's wait and see!
ni nyinyi ndo mnamtamani fisadi wetu😵Nyumbani ni nyumbani hata Lowasa anatamani kurejea ni swala la muda tu!