Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Baada ya kufulia ndo kaanza kujiona victim aisee
Kachoka mno Kinje.. bora useme na weweBaada ya kufulia ndo kaanza kujiona victim aiseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kufulia ndo kaanza kujiona victim aisee
Kachoka mno Kinje.. bora useme na weweBaada ya kufulia ndo kaanza kujiona victim aiseeee
Binafsi nilikuwa sec that time, ndo shoga wa kwanza kumuona kwa macho piaKumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.
Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.
Umenikumbusha mbali mnooo!
Mtaani akipita watu wananong'oneza chapu kupeana habari kuwa jamaa si rizkiDah ndio kinje alikuwa jirani nilikuwa naelewana nae kwao kulikuwa kunaangaliana na naseeb hotel
Hivyo sawa. Aachane na mapenzi maana si size yake kwa sasa.kwenye hela hakuna uzee, binti anaweza kujichanganya achume mali. Kwa umri huo ni bora tu aachane na suala la kupiga kambi la kudumu mpaka kifo. Apate wa temporary tu anampa za sabuni asepe, kesho aje wa muda mfupi tena nae ale ya mboga aondoke bila kupiga kambi la kudumu
Hivi Kinje huyu atakua ni kitukuu au kininginaa cha Ngombale Mwiru!!??Kinje kitile Ngwale ushamsahau Familiar, wakati ulimsoma ukiwa shuleni.
Umejuwaje kama ana kibamia,alisha wai kukukula!!!??After soo many rejections from women na kibamia chake no wonder amekua na perspective hio
Ubungo stand ndiyo ilikua inawapa jeuri ya pesa,hawajawai kua na pesa yao kama yao!!Ni kweli .ila wa mujini wanamjua amedrop mbaya
Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.
Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.
Umenikumbusha mbali mnoo
Kinje wa mtaa wa chini japo alikuwa shoga alikuwa anajua kupigana Sana nimekumbuka akimaliza kuvuta bangi anaanza kuchezaKumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.
Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.
Umenikumbusha mbali mnooo!
Alikuwa hata hajali walisema akifa hawata mswalia msikitini ndo Kwanza hajali na mwendo wake wa kimiss na suruali ya kisadoMtaani akipita watu wananong'oneza chapu kupeana habari kuwa jamaa si rizki
Mwanae.Hivi Kinje huyu atakua ni kitukuu au kininginaa cha Ngombale Mwiru!!??
Nazungumzia yule Kinje wa vita ya Majimaji mganga wa kienyeji aliye waingiza wapiganaji wetu chaka kua risasi Wakoloni zitageuka kua maji!!Mwanae.
Mmmh Kinje huyu huyu ama mwingine?Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.
Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.
Umenikumbusha mbali mnooo!
HahahahahaSasa ukidate na mzee ana miaka 60 utampendea nini zaidi ya pesa? Hebu tuwe serious kidogo😀
HahahahaHivi Kinje huyu atakua ni kitukuu au kininginaa cha Ngombale Mwiru!!??
Kinje wa mtaa wa chini japo alikuwa shoga alikuwa anajua kupigana Sana nimekumbuka akimaliza kuvuta bangi anaanza kucheza
Nimeamini dunia ni ndogo sana. Kumbe watu wa moshi mjini enzi hizo miaka ya 2000 tuko hapahapa.Alikuwa hata hajali walisema akifa hawata mswalia msikitini ndo Kwanza hajali na mwendo wake wa kimiss na suruali ya kisado
Kuna huyo mwingine alikuwa shoga Moshi Mjini zamani hizo.Mmmh Kinje huyu huyu ama mwingine?
Wengine mashoga, wana gubu na madhaifu mengine wanayotafutia sababu kuyakimbia kwa kuwatwisha lawama wanawake. Kama wanaume hatuna tamaa, ni wapi wanaongoza kwa ujambazi ,ufisadi, wizi, na kila ghasia duniani kama siyo wanaume?Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA ,
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
" Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako "
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
huyu ni celebrity wa nini ?
au ndio yule brazameni kinje wa miaka ya 90?
cc mrangi ndio huyu aliekula sana hela za parking mjini ?