Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.

Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.

Umenikumbusha mbali mnooo!
Binafsi nilikuwa sec that time, ndo shoga wa kwanza kumuona kwa macho pia
watu walikuwa wakimshangaa kwa kasi coz kipindi kile ushoga ilikuwa ni jambo la kushangaza mnooo!!

Sijui alipotelea wapi yule mtu!!
 
kwenye hela hakuna uzee, binti anaweza kujichanganya achume mali. Kwa umri huo ni bora tu aachane na suala la kupiga kambi la kudumu mpaka kifo. Apate wa temporary tu anampa za sabuni asepe, kesho aje wa muda mfupi tena nae ale ya mboga aondoke bila kupiga kambi la kudumu
Hivyo sawa. Aachane na mapenzi maana si size yake kwa sasa.
 
Kapambania mapenzi weee mpaka interpol huko sasa kaamua kurudisha mpira kwa kipa. Atuache waingie ngomani Waone utamu wa ngoma
 
Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.

Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.

Umenikumbusha mbali mnoo

Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.

Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.

Umenikumbusha mbali mnooo!
Kinje wa mtaa wa chini japo alikuwa shoga alikuwa anajua kupigana Sana nimekumbuka akimaliza kuvuta bangi anaanza kucheza
 
Mwenye tamaa na Mali ni yeye, ndio maana anaogopa kuoa
 
Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.

Alikuwa rafiki wa mama zangu wadogo Sharifa, Shalife yule Miss na Mwanaisha na wawili hapo wameshafariki sijui kama Sharifa wa Bibi Taabu kama bado yupo.

Umenikumbusha mbali mnooo!
Mmmh Kinje huyu huyu ama mwingine?
 
Kinje wa mtaa wa chini japo alikuwa shoga alikuwa anajua kupigana Sana nimekumbuka akimaliza kuvuta bangi anaanza kucheza
Alikuwa hata hajali walisema akifa hawata mswalia msikitini ndo Kwanza hajali na mwendo wake wa kimiss na suruali ya kisado
Nimeamini dunia ni ndogo sana. Kumbe watu wa moshi mjini enzi hizo miaka ya 2000 tuko hapahapa.

Kinje alikuwa mbabe sana na rafiki yake mkubwa alikuwa mama yangu mdogo ambaye ni marehemu kwa sasa.

Walikuwa wakija kwetu mama yangu anawafukuza sababu ya Kinje ila baadaye akazoea akawaacha tu.

Umenichekesha kwa ule mwendo wake, nilikuwa nashangaa sana maana sikuwa najua kwamba mwanaume anaweza kuwa na mambo ya kike!
 
Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA ,
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
" Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako "
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Wengine mashoga, wana gubu na madhaifu mengine wanayotafutia sababu kuyakimbia kwa kuwatwisha lawama wanawake. Kama wanaume hatuna tamaa, ni wapi wanaongoza kwa ujambazi ,ufisadi, wizi, na kila ghasia duniani kama siyo wanaume?
 
Back
Top Bottom