Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
NdioHizo ndevu ni za kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioHizo ndevu ni za kweli?
ndio maana ina bidi uangaliye mazingira vinginevyo unaweza kufa kabla ya kumuuwa mhalifu!!Ukumbuke pia jamaa angeweza kukuondoa wewe kabla yake.
Polisi angepiga chini ya kiuno kwa ajili ya ushahidi ila kama ni mwanajeshi hana haja na ushahidi shughuli inamalizwa atatafutwa mwingine.Hilo gaidi enzi zangu namjeruhi bega ili nikamng'oe meno bila ganzi
Inabidi kuangalia historia ya afya yake ya akili pia.Gaidi alikuwa peupe mno, huenda huyo alikuwa anataka kufa tu...
kuna video yupo kwenye kibanda cha police vile barabarani anarushiana risasi na police, huku kwenye magroup kuna video nyingi sanaAlikuwa anapiga juu tu.
Wewe utakuwa mmoja wao. Umemwona mwenzako amepata moja tu ya kifua sasa hivi yuko jehanamu!Wakipatikana km hawa kumi au zaidi watu wataamka
Huyu hata mtu asiye na mafunzo angepewa bunduki angemuua. Mhalifu gani anatembea huku akifyatua risasi hovyo hovyo tena anajiweka kabisa kuwa target?Kaz njema kwa sniper one mistake one goal
Hizo practice make perfect kuna sehemu application zinagoma mkuu.utakatwa nyonga bure acha tuendelee ku practice kwenye k vant.Natamani ningekuwepo, nishuhudie Live bila chenga.
Na ningejaribu ku_practice mambo ya kwenye movie.
Practice makes perfect.
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic
Inadaiwa Polisi Wamenyang'anywa Bunduki mbili SMG na Kumiminiwa risasi[emoji24]
View attachment 1907510
View attachment 1907511
View attachment 1907519
Hii ni developing news…
Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
Inawezekana wanajeshi wamo ndani ya mavazi ya polisi kwa sasa mitaani.Polisi angepiga chini ya kiuno kwa ajili ya ushahidi ila kama ni mwanajeshi hana haja na ushahidi shughuli inamalizwa atatafutwa mwingine.
Yanaogopa kufa,huwa ni majanja kupiga wanawake na watoto wanaoandamana tuYaani pale mtu anatembea na bunduki na anamwaga risasi zote hizo still polisi hawajatokea??... Na nisehemu ambayo haiishi dakika tigo hao. Au wamekimbia. Nje tu ya ubalozi hapo naonaga maaskari Leo hawapo?? Kuna kitu hakiko sawa. Maana risasi moja tu ikipigwa salender police wa nasikia imekuwa je Wako kimya
Ziweke hapakuna video yupo kwenye kibanda cha police vile barabarani anarushiana risasi na police, huku kwenye magroup kuna video nyingi sana
Yote yanawezekana.Inawezekana wanajeshi wamo ndani ya mavazi ya polisi kwa sasa mitaani.
Ule ndiyo ugaidi sasa.Lengo lake lilikuwa nini ?
Sio rahisiJe yuko peke yake ?
Ingekuwa kila msomali ni mhalifu huko Kenya wasingepewa nafasi idara nyeti.....Wasomali tunawachekea Tanzania ipo siku watatuharibia nchi