Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

 
Huyo anarafiki yake anair
Kuna hii nyingine “Shimhwa” (Sijui ndivyo inavyoandikwa) inawaumiza sana vijana pasipo wao kujua.t

Kuna hii nyingine “Shimhwa” (Sijui ndivyo inavyoandikwa) inawaumiza sana vijana pasipo wao kujua.
Huyo anarafiki yake anaitwa coffee .Kuna mwamba alimtandika kichupa kimoja full kupiga chafya.
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]akajiona stering
 
Pole sana hii kitu ilimuachisha pombe uncle wangu mmja alikua sugu kashindikana siku moja walikua wawili na mlevi mwenzie waka battle nani mkali wa hizo mambo kilicho tokea yule mlevi nwenzake alidondoka hapo hapo aka kata moto uncle wangu akapoteza uwezo wa kuona almost week nzima anaona ukungu alivyopona mpaka leo hagusi tena pombe yoyote
 
Daahh!!Mungu ana njia nyingi za kufundisha watu
 
Hizi mavitu zinaongeza mashoga sana. Kijana anabugia tu kumbe wenzake wanamlia timing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…