Kioja cha Tanzania kuogopa Waarabu kimetoka wapi?


Inferior complex inatutesa sana waafrika
 
Sio kweli kuna kampuni ya mafuta nimefanya kazi ni ya waarabu na HR ni mkristo tena mlokole jmosi Haji kazini na wakristo wapo wa kutosha Tu na Hakuna mtu anayebugudhiwa dini yake

wakristo wanaongoza kubagua waislamu kwenye ajira hapa nchini, ila wao wanakuwa very insecured muajiri anpokuwa ni muislmau. Chuki zinaatesa sana hawa ndugu zetu.
 
MKATABA WA KIMANGUNGO

Badilisheni huo MKATABA

Ishu sio waarabu, Wala wazungu.

Sio wazanzibar, sio waislamu, sio Wanawake

Ni mkataba wa kimangungo yaani unakubali kusaini kujifunga kwa vitu vingi.

Badilisheni mkataba kelele ziishe sio siku mambo yakiwa mabaya tuanze kuseme NILISHAURIWA VIBAYA.
 
UNAJUA NI UJINGA SANA MTU KUJIITA MZANZIBAR WAKATI ASILI YAO HAO WAZANZIBAR NI BARA NA MOST OF THEM NI WASUKUMA NA WANYAMMWEZI MUULIZE MZANZIBAR YOYOTE AKWAMBIE CHIMBUKO LAKE KAMA SIO BARA ILA WAO WANAJIFANYA WAARABU DUH NOMA KWELI WAKATI WENGI WAO WANZAZIBAR WEUSI NI WASUKUMA NA WANYAMMWEZI KUTOKA TABORA TROUGH SLAVE TRADE
 
Sio kweli kuna kampuni ya mafuta nimefanya kazi ni ya waarabu na HR ni mkristo tena mlokole jmosi Haji kazini na wakristo wapo wa kutosha Tu na Hakuna mtu anayebugudhiwa dini yake
Moja kwa kumi
 

hakuna kitu kibaya kama kuwa mjinga halafu mwenyewe ukajiona ni mjanja na kushutumu wengine ujinga. unatilisha huruma ndugu.
 
Sasa
hakuna kitu kibaya kama kuwa mjinga halafu mwenyewe ukajiona ni mjanja na kushutumu wengine ujinga. unatilisha huruma ndugu.
Sasa Mimi nimeongea ujinga wakati nimeongea ukweli kabisa tatizo ukweli MCHUNGU
 

Iran pekee inaidai tz zaid ya tirion
Nchi za kiarabu zinatoa misaada na mikopo bila masharti ya kifedhuli kama wazungu...najua utabisha kwa kua hutaki ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…