Kiongozi wa Chechnya amuomba Putin awaruhusu makamanda wake wafanye mashambulizi ya kushtukiza na mabaya zaidi ili waimalize vita ndani ya saa 48

Tupunguze propaganda zilikuwa na maana, yaani walienda kujumuika na askari wa Urusi bila Urusi kujua ni watu gani??
 
Ukiona watu bado wanapigana mawe mpaka kufa kutokana na mila na tamaduni za Jangwani za miaka mingi iliyopita, basi jua umekutana na ambao bado hawajitambui.
 
Vita iishe ndani ya masaa 48 kutoka kwa tik tokers kwi kwi kwi
 
Kwahiyo hili ombi putin alikataa au aliwaruhusu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…