Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hata mzee wetu Magufuli alikuwa anapenda watu kama hawa, huyu ni Makonda wa UrusiPutin ana penda ma empty head kama haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mzee wetu Magufuli alikuwa anapenda watu kama hawa, huyu ni Makonda wa UrusiPutin ana penda ma empty head kama haya
Empty ya nyokuPutin ana penda ma empty head kama haya
Walimnyooosha Sana kipind wakitaka kujitenga na kutumia Sharia kujiongoza, akawahofia misimamo mikali kumletea magaidi Russia.Kuna wengi humu hawajui!
Labda tumuelewesha kwa kumbembeleza kwambaaa kaka kama vile unavyosikiaga na kuziona vile Ak47 ambazo hata kwenye tope hazijam ni zaoMkuu yaonesha wewe waifahamu vizuri zaidi Russia kuliko hata Marekani yenyewe inavyoifahamu Russia ktk maswala ya ubora wa silaha za kisasa.
View attachment 2139182
Chechnya for lifeLabda tumuelewesha kwa kumbembeleza kwambaaa kaka kama vile unavyosikiaga na kuziona vile Ak47 ambazo hata kwenye tope hazijam
Pole sana mkuu,Mkuu hiyo picha ya jaribio la silaha ya Urusi kutoka mtandao wa Urusi..Safi sana.
Hawa chechnia Ni wazoefu wa Vita Sana,Warusi wangekuwa na roho mbaya kama Wayahudi wa Gaza,pengine hii vita ingeshavunja records za Hiroshima&Nagasaki na ile ya Rwanda 1994 kwa kuua watu wengi kwa muda mfupi.
Raia wanazuia misafara ya vifaru kwa kuning'iniza gololi tu barabarani na hakuna anayelipuliwa.
Ingekuwa Gaza hali ingekuwa mbaya.
BTW:Hao waChechnya watakuwa wanatafuta uzoefu zaidi kwa matumizi ya baadae.[emoji16]
Hawa jamaa wangekua Ni washari Sana afu wakawa na vifaa pamoja na nyuklia Kama Russia.Hawa wamba nilikuwa nawachukulia poaa kweliii
Jamaa wanagawa chakula kwa raia wa Afghanistan mwaka jana. Endelea kusubiria wakose njaaMuda tu Urusi itachoka..wataanza kubeba mabomu warudishe kambini. Bomu halina nguvu kama chakula...Adui muombee njaa
Hao jamaa wote nchini nimajihad misimamo mikali niwataliban wakizunguHalafu huyo jamaa pamoja na kupenda vita hivyo lakini asili yake katoka familia ya kishua. Baba yake aliwahi kuwa rais wa Chechen, President Akhmad Kadyrov, akauawa mwaka 2004 akiwa madarakani.
Kazi ya masaa kuifanya siku nzima ni kpoteza mdaPutin ana penda ma empty head kama haya
Una ushabiki tu..nimekuuliza kuhusu picha imetolewa na nani USA au Urusi?. Footage taken from the Russian....Pole sana mkuu,
Je, hao maseneta wanao lalamika kuwa Marekani ipo nyuma ya Russia na China ktk silaha hiyo ya kisasa (a weapon of future) ni maseneta wa Russia?
Chombo cha habari kinachoripoti ni VOA, kwa kukusaidia kirefu chake ni Voice of America, nacho ni cha Urusi?
Uliona wapi wewe jaribio la silaha ya kimkakati lifanyike halafu chombo cha nchi kinzani ndio kitumike kupiga picha?
Utakuwa mgeni wa mambo haya wewe.
View attachment 2139203
🤣🤣🤣🤣Jamaa wanagawa chakula kwa raia wa Afghanistan mwaka jana. Endelea kusubiria wakose njaa
![]()
Russia planning to send humanitarian aid to Afghanistan -RIA cites foreign ministry
Russia is planning to send food and medicine to Afghanistan soon as humanitarian aid, the RIA news agency cited Russia's foreign ministry as saying on Monday.www.reuters.com
Huwa unatazama TV gani mkuu. Kwa habari za nje?Jamaa wanagawa chakula kwa raia wa Afghanistan mwaka jana. Endelea kusubiria wakose njaa
![]()
Russia planning to send humanitarian aid to Afghanistan -RIA cites foreign ministry
Russia is planning to send food and medicine to Afghanistan soon as humanitarian aid, the RIA news agency cited Russia's foreign ministry as saying on Monday.www.reuters.com
Nimeshangaa sana aisee, yaani huyu jamaa ni Head wa Jamhuri ya Chechnya, lakini anaenda vitani! Tena hasubiri kuombwa! Nakubaliana nawe mkuu huo ni mzuka wa ajabu aisee
View attachment 2139188