Kipi cha ajabu kwa mtoto wa Rais Samia kuwa na biashara binafsi?

hakuna cha ajabu hata kdg na hakuna kikwazo.
Bali tatizo ni pale wanapoliingiza Taifa ktk mikataba ya kifisadi, kitapeli na ya kuangamiza Taifa!
 
Mawaziri wanalalamika kuingiliwa na huyu mtoto Abdul.

Anazidi kumuharibia huyu Mama.
 
Nchi hii ukipata upenyo we tandika tu

Kila mtu ale hapo alipokuwa

Ova
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Duuh ๐Ÿ™„
Sijui ccm inapataga wapi hawa wajinga!
 
Fupa Lingine hili

Warudishe Bandari waliyoigawa.
Hayo ya watoto zao waachie wenyewe.
Sisi Watanganyika tunahitaji Mtoto wetu Bandari.
Looh, jibu makini kweli hili.

Sasa huyu sijui Anna Nkya analeta mambo ya kina Ndesamburo au Mbowe ili iweje?

She's really very stupid..!!!

Hoja kwa sasa ni mkataba wa bandari. Bandari ndiye mtoto wetu na tunahitaji arudi haraka bila mjadala..

Wao na watoto wakae huko..
 
Kosa halizawadiwi kwasababu wengi wanafanya, a wrong is a wrong regardless ya watu wangapi wanaliabudu kama ukweli.
 
Kuna habari zinajaribu kuzimwa kuwa huyu Abdul ameshirikiana na waziri wa mambo ya ndani kafanya ufisadi wa zaidi ya sh bilioni 11 kupitia tenda ya sare za jeshi la polisi
Like son like.......
Anyways urefu wa kamba ya mbuzi unadetermine anakula wapi na anakula nini. Sasa kuna mbuzi kamba zao hazijafungwa zipo loose
 
Nakuona umebeba debe la.petroli mbio mbio kuzima moto
 
Refer code of ethics ๐Ÿค
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ