Kuendesha kipindi bora cha talk shows kama Oprah, Larry King, Tim Sebastian, or hata Jeff Koinage, ni vitu viwili 1. Talent 2. Resources. Tanzania tunazo hizi talents za kutosha tuu, tatizo ni resources, hivyo naungana na wewe, usitegemee kipindi bora!.
Japo hili ni kweli ila sio wote, baadhi ya wakweli tupo and its time that will prove this!.
Mimi japo kwa sasa pia ni kada, ila ukada wangu ni wa kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Mfano mzuri ni zisikilize hoja zangu hapa
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=shared kama mpaka hapa bado huioni neutrality yangu, then naomba tuu niheshimu mawazo yako.
This TV program sio program ya anything serious, ni program ya uhabarishaji na uelimishaji umma kuhusu katiba, sheria, na haki, walengwa sio watu wa calibre yako ambao mnaijua katiba, sheria na haki zenu, walengwa ni watu wa chini kabisa ambao hawaijui katiba, hawazijui sheria na hawajui haki zao, hawa ndio kipindi kitawasaidia
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=Ir97ZpO8_yWjW7Ia So my broda just relax don't expect anything serious from me and my programs at all, kwasababu the program is not for all!, wako watu ambao kipindi hiki kitawafikia na kitawasaidia!.
P