Kumbuka kuna watu mbagala wana maeneo ekari moja kama Kiwanja cha kuishi tofauti na wewe uliye ba 15*15 sqmHivi mkuu CBE unayoongelea hapa ni kile kile chuo kilichopo akiba au??
F Y I kuwepo na vitu hivyo havifanyi temeke iwe bora maana hizo sehemu ni chache sana ukilinganisha na matatizo yaliyopo eneo husika
Sema maoni yako yanaashiria kama vile nawe ni mmoja wao yani u mkazi wa mbagala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Temeke si kila Sehemu ni pabaya,Kuna maeneo ya Ushuani kama Chang'ombe, kijichi, Tuangoma n.k.
Anasahau kuwa kuna mtu yuko mbagala na Kiwanja eka moja. Yeye yuko Ununio na 15*15 sqm.... Sijawahi on a mafuriko mbagala wala maji machafu! Tatizo ni kutopangwa vizuri lkn hayo aliyoyasema mbagala hakunaHivi kwa Hali ya Dar kuna mahali kuna miundo mbinu the best kusema huku ndo hakuna tatizo la mafuriko,mitaro,barabara.nk?
Ni kweli kuna mahali hapo.?
Mbagala sijawahi shuhudia mafuriko,na ni marachache sana maji kutuama.
Zadi zaidi darajani, mto mzinga mara kadhaa hapo ndo palikuwa panasumbua sana, tofauti na sasa.
Mtoa mada unaongea kinyesi gani kufika Tandika sokoni basi ndo kote uliposema ww pako hivyo?
Mbagala huwezi kuta sijui chemba zimezibuka na maji ya vinyesi..
Zaidi ni miundombinu ya mitaro,unaeza kuta imeziba sehem kwa sehem ambayo ni tatizo Dar es salaam nzima.
Acha ufala Dar yote miundombinu ni poor.
We pumbavu acha kuniquote ujinga.Anasahau kuwa kuna mtu yuko mbagala na Kiwanja eka moja. Yeye yuko Ununio na 15*15 sqm.... Sijawahi on a mafuriko mbagala wala maji machafu! Tatizo ni kutopangwa vizuri lkn hayo aliyoyasema mbagala hakuna
Sijawahi kutumia hizo simu za tecno.Mbona unatumia tecno simu ya masikini kama wewe ni wa maana
Nitaitaja MbagalaRugemalila 'mwenyewe'… mwenyewe kwny nini?
Nyie mnaotoka porini mkifika mjini ili muingizwe mkenge huwa mnatajiwa majina ya watu maarufu ili muone hilo eneo ni la hadhi!
Ukiambiwa utaje maeneo bora na ya hadhi hapa Dar kwa kiwango chako cha ufahamu utataja makongo juu!
Ni kweli mimi kula kulalaWewe utakuwa kula kulala!
Kwani huko tandika huwa mnachagua wapinzani mpaka ifike hatua mnanyanyaswa namna hiyo?
😂😂😂🤪🤪Mkuu tatizo sio ubora wa makaazi ni ubovu wa miundombinuWa Sea view nae anashangaa inakuaje unaenda kujenga Goba, wa Goba nae anamshamgaa wa mbagala, wa mbagala nae anamshangaa wa Tandale Popobawa, wa Tandale nae anamshangaa wa Tandika, na wa Tandika nae anamshangaa wa bonyokwa nae anamshamgaa wa Mwanamyama mchanga mweusi… ni mwendo wa kushangaa tu
Chang'ombe ni mji wa zamani kwa wilaya hii pamoja na Keko ile ya kwenda gerezani, angalau ila sehemu ka Tandika na Mbagala jinsi zilivyo hazipaswi kuwa sehem ya Dar es Salaam. Zinachafua mji kabisaTemeke si kila Sehemu ni pabaya,Kuna maeneo ya Ushuani kama Chang'ombe, kijichi, Tuangoma n.k.
Wa Tandale Popobawa, ai Manzese midizini nae anasema hawezi kuishi Tandika au mbagala!Chang'ombe ni mji wa zamani kwa wilaya hii pamoja na Keko ile ya kwenda gerezani, angalau ila sehemu ka Tandika na Mbagala jinsi zilivyo hazipaswi kuwa sehem ya Dar es Salaam. Zinachafua mji kabisa
Pambania kombe utoke huko machakani mzee.Wa Tandale Popobawa, ai Manzese midizini nae anasema hawezi kuishi Tandika au mbagala!
Haahahh, wabongo kwa kujimwambafai hatujambo
Pambania kombe utoke huko machakani mzee.
Hamia hata Mji mwema Kigamboni, huwezi kuweka familia yako tandika ndani ndani huko kumejaa uswahili unless na wewe uwe na tabia za kiswahili Swahili.
Huyo Diamond mwenyewe alikuwa anaishi Tandale ila Baada ya kupata pesa anaishi zake kwa wastaarabu Madale na Mbezi Beach.
Mtaishia kunisha hapa ila ukweli mnaujua.
Hata kama lakini ni haki ya kila mtu kuishi sehemu nzuri yenye mpangilio na sio bora sehemu tu...na ni kazi ya serikali kurekebisha na kuweka huduma zote sawa
Ulimbukeni unawatesa hawa wala chips mayai.Anasahau kuwa kuna mtu yuko mbagala na Kiwanja eka moja. Yeye yuko Ununio na 15*15 sqm.... Sijawahi on a mafuriko mbagala wala maji machafu! Tatizo ni kutopangwa vizuri lkn hayo aliyoyasema mbagala hakuna
Ila wewee lolDar ni wilaya ya Kinondoni na Ilala tu huko kwingine hauna tofauti na mtu alieko Namtumbo tu sema wanajiita wako Dar.
Njoo uishi zako Tegeta, Bunju, Goba, Mbezi , Madale , Makongo juu , Chuo kikuu ( changanyikeni) n.k
Huwa nashangaa mtu anaenda kununua kiwanja Mbagala hahaha.
Endelea kukaa na MKE wako hapo kibarazani miikaanga mihogo na kula chachandu wakati wenzenu wanakula mema ya nchi.Yaani nitoke Tandika ndani ndani ninapouza mihogo ya kukaanga na Mke wangu anauza Mkaa wa kupima tunapata rizki tunakula mara tatu kwa siku niende nikakae 'kwa wastaarabu' Mji mwema ili nionekane mstaarabu?
Modern slavery imekuathiri sana Mkuu, ukitaka kuishi uonekane mstaarabu sijui'uonekane' hivi na vile kwa watu kuna siku utalipia gharama kubwa zaid
Umetoa mfano mzuri sana wa Diamond, kuishi kwake ushenzini haukumfanya asitoboe kimaisha, kiasi kwamba leo moja ya wapambe wake ni wale walioshi huko ustaarabuni tangu wanazaliwa kina Lemutuz
Self enjoyment ndio jambo la msingi na furaha na welfare yako dont attach with perception ya wengine, utaishi kiutumwa mpaka mwisho wa maisha yako!