Mkuu huyo jamaa anakupotezea muda tu, afadhali abishane na mimi hapa kuliko kujadiliana na nyie.Sasa mimi nauliza nataka kujua kama nawewe ni miongoni mwa hao watu wanao amini mungu bila dini au la ili niweze kujua na dili na mtu wa namna gani
Kwa hiyo wewe una kiri kwamba hauna dini?
Mada ya huu uzi ni "Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?"
Wewe umekuja na mada mpya ya kuuliza mungu ni nini lakini hatujakataa tusiijadili kwa kusema hiyo ni mada mpya
Jibu swali, wewe ni muumini wa dini gani? Au unakiri kwamba wewe hauna dini?
Mimi sijaanza kubishana leo wala juzi na huyo Kiranga wako, namuelewa vizuri kuliko unavyofikiri.Mimi sina uwezo mkubwa wa kuelewa mambo, ila haya majibu unayotoa, afadhali uje ujadiliane na mimi, Kiranga na wenzake ni kama unawasumbua, huna uwezo wa kujibu hoja zao.
afadhali ubishane na mimi.
Mi sijakuuliza kama unazijua dini zote duniani, mimi nimeuliza kama wewe ni muumini wa dini uniambie na kama sio muumini wa dini yeyote uniambie tuAliyeanza kuuliza hilo swali la Mungu ni nini ni yeye mwenyewe Kiranga.
wewe unazijua dini zote duniani?
Dogo unasumbua sana, haya mimi ni muumini wa dini.Mi sijakuuliza kama unazijua dini zote duniani, mimi nimeuliza kama wewe ni muumini wa dini uniambie na kama sio muumini wa dini yeyote uniambie tu
Dogo baba yakoDogo unasumbua sana, haya mimi ni muumini wa dini.
Haya uliza chengine nikujibu.
Wewe dogo tu kwa sababu unawaza kitoto sana.Dogo baba yako
Muumini wa dini gani?
The same shit applies to your pappyWewe dogo tu kwa sababu unawaza kitoto sana.
Ni muislamu.
Haya uliza lengine dogo.
Dah! we dogo hasara kweli kwa mdingi wako, mimi nimewaulizeni hilo swali ninyi wewe na yule mwenzio Kiranga sijauliza uislamu. Kumbuka hapa tunajadiliana na kila mmoja anaelewa kivyake sawa dogo?The same shit applies to your pappy
Kwa hiyo uislam umeshindwa kuelezea maana ya mungu?
The same shit applies to your pappyDah! we dogo hasara kweli kwa mdingi wako, mimi nimewaulizeni hilo swali ninyi wewe na yule mwenzio Kiranga sijauliza uislamu. Kumbuka hapa tunajadiliana na kila mmoja anaelewa kivyake sawa dogo?
Wewe unaamini Beyonce ni Mungu.Sasa hapo ndio tunarudi kwenye lile swali langu la msingi la Mungu ni nini?
Mimi nishakwambia Beyonce ni mungu kwa sababu ni mwiimbaji maarufu, wewe kama unapinga eleza sifa za Mungu ni zipi au Mungu anatakiwa aweje ili tuweze kujua Mungu ni ni ni hasa?
Sasa suala la mimi binafsi kuamini au kutoamini sidhani kama ni kitu cha msingi, kwa sababu imani ilivyo ni kwamba mtu anachagua anachotaka kuamini. Point hapa ni kwamba hadi sasa hujaeleza Mungu ni kitu gani ila unapinga Beyonce kuwa mungu hebu sasa wewe eleza ni kwanini unapinga Beyonce kuwa ni mungu?Wewe unaamini Beyonce ni Mungu.
I rest my case.
Right now you are just being a troll.Sasa suala la mimi binafsi kuamini au kutoamini sidhani kama ni kitu cha msingi, kwa sababu imani ilivyo ni kwamba mtu anachagua anachotaka kuamini. Point hapa ni kwamba hadi sasa hujaeleza Mungu ni kitu gani ila unapinga Beyonce kuwa mungu hebu sasa wewe eleza ni kwanini unapinga Beyonce kuwa ni mungu?
Mimi sijauliza hilo swali uislamu bali nimekuuliza wewe,sasa nashindwa kuelewa unapoingiza uislamu.Ndio maana nilikuwa sitaki kukujibu kwa sababu nilijua tu utaleta huu utoto. Kwahiyo nishakujibu kwamba mimi sijauliza uislamu bali nimekuuliza wewe dogo.The same shit applies to your pappy
Kwa hiyo uislam umeshindwa kuelezea maana ya mungu?
Uislamu unautenganisha vipi na habari za mungu?Mimi sijauliza hilo swali uislamu bali nimekuuliza wewe,sasa nashindwa kuelewa unapoingiza uislamu.Ndio maana nilikuwa sitaki kukujibu kwa sababu nilijua tu utaleta huu utoto. Kwahiyo nishakujibu kwamba mimi sijauliza uislamu bali nimekuuliza wewe dogo.
Nilijua tu kwa sababu wewe ulichozoe ni vile vihoja vyako vile vya "Kama Mungu angekuwepo sijui mabaya yasingekuwepo..Mungu mwenye upendo wote sangekuwepo sijui asingeumba huu ulimwengu mara sijui sitaki kuamini nataka uthibitishe kama Mungu yupo" Hayo ndio uliyazoea mwenyewe et ndio yamefanya uonekane kinara wa ma atheists humu JF, lakini kinyume na hivyo yani mtu akigeuza meza na kuchallenge misimamo yako hapo lazima utafute pa kukimbia. Ndio maana miaka yote hoja zako ndio zilezile tu.Right now you are just being a troll.
I find that uninteresting, in fact boring.
I have better things to occupy my time with.
Please do not disturb my peace by your juvenile demands on my precious time.
Nautenganisha uislamu NA mimi kukuuliza wewe Mungu ni nini kisha ukashindwa kujibu, kushindwa kwako kujibu hilo swali haihusiani na uislamu.Uislamu unautenganisha vipi na habari za mungu?
Kwa hiyo hutaki kuhusisha uislamu kwakua unafahamu Uislamu haujawahi fafanua maana ya mungu?
Dogo baba yako
Kwanini ujitenganishe na uislamu wakati umedai we ni muislamu?Nautenganisha uislamu NA mimi kukuuliza wewe Mungu ni nini kisha ukashindwa kujibu, kushindwa kwako kujibu hilo swali haihusiani na uislamu.
Halafu nikikwita dogo unaona kama nakutukana,kwani una umri gani maana kwenye upande uelewa ni shida sana.Kwanini ujitenganishe na uislamu wakati umedai we ni muislamu?
Au unataka ukane hapa kua wewe sio muislamu?
Uislamu haujaelezea habari za mungu?