Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Pamoja mkuu mtafute huyo kwenye hivyo vitabu vyake viwili anza na misgoded then malizia goded ameweka maarifa mengi Sana..anakufanya uwe huru na confident kwenye kuchambua vitu....namsoma bart kwenye misquoting juses then ninalizie the lost christianity... Wanazi wengi wengi wa wa dini especially christianity nawauliza maswali kutoka kwenye bible hawana majibu ...lakini hata yale wanayojibu kila mmoja na mtazamo tofauti, and this is what makes me think why even nabii tito anakuwa na kanisa na bado akapata waumini ..what I mean is the reason why we have so many christian sects is due to different in perception about what is wrriten in the bible, mfano kunawanao kubali kwamba ndoa inaweza kutenganishwa kama alivyosema yesu kwa sababu ya zinaa lakini kunawaokwambia waliooana hawazini so kuachana ni kifo..yani dah
 
Kiranga hawachelewi kukuambia wewe ndio msaada uliyeletwa na Mungu baada ya maombi yao.. 😆😆

Religious people huwa wajinga sana
 
Unachotumia kiache kimekukataa mapema mno
 
Inakuwa sehemu ya maisha tu, mtu anakuwa muhunduliaji tu ili kito vunja sheria
Maarifa yanaweza kukufanya mwenye hekima au mpumbavu
Seminarini mnasali hadi sala inakuwa ni kawaida na sio Imani tena
 
Unachotumia kiache kimekukataa mapema mno
Hoja imeletwa kwamba dini ni hadithi za watu tu.

Kanusha hoja kama unaweza, vinginevyo hujajibu hoja, unaleta viroja.

Inawezekana ukawa na mafunzo muhimu ambayo watu wanaweza kufaidika nayo.

Kama ni hivyo, kwa jibu lako hilo umejidhulumu nafasi ya kutoa mafunzo hayo wewe mwenyewe, na pia umeidhulumu kadamnasi ya JF.
 
THE PROBLEM OF EVil
Kinachopelekea uwezekano wa kutendeka mambo ovu ya asili na yasio ya asili hapa duniani ni jambo la kutafakari sana juu ya Mungu anayefundishwa makanisani na misikitini kivipi? Kwa nini ameruhusu yatokee haya?,
Kwa namna moja au nyingine hizi dini ambazo kiundani zimekuwa ni taasisi ili kuhakikisha zinaendelea kuwapo zinaitaji msaada mkubwa sana kutoka kwa shetani ( shetani alipigwa mbinguni akatupwa shimoni, lakini ilibidi atolewe shimoni aje amshawishi eva, mbali na hivyo kapewa nguvu sawa na muumba! Yupo mahali popote) kiundani kabisa kahuna jambo jema wala baya jambo linakuwa jema au baya kutokana na tafsiri ya mwanadamu kutokana na tamaduni alizokulia hizi dini zinatoa tafsiri ambayo haipo sahii ili tu kujihakikishia ulaji ( sadaka, zaka , n.k).

Hata hivyo wanadamu hatupo sawa katika kung'amua mambo hivyo elimu ya dini ni kama basic ya juu ya ulimwengu wengi wanapenda au uwezo wao umeishia hapa katika kutafakari. Na mbaya wengi wanafikiri wamemaliza na wapo confident juu ya mambo ya dunia ( ignorance is a bliss)

Mbali na dini kuna misingi ambayo ni moral hii ni misingi ambayo mtu anajifunza kutoka kwa wazazi jinsi ya kushiriki na binadamu wenzake kama huna hiii ata ukisoma vitabu vingapi vya dini hutakuwa na heshima kwa binadamu mwenzako hata hutathmini dini au mawazo ya mwanadamu mwenzanko!
Hata hivyo tunapita ulimwengu una miaka bilioni 3.4 sisi uwepo wetu is very very small.
 
Asante sana poti Nimekipata sasa Nakisoma
 
hiki ndo kinaitwa kiburi cha uzima
kama vitu vyote tunavyoviona, hata nguo zina mtengenezaji wake, wewe ndo ukose mtengenezaji wako. na ufike hatua ya kusema hayupo
acha ujeuri ndugu
 
Nakubaliana nawewe maana ukienda nchi kama Saudi arabia wanawake wanajistili sana ila unakuta kesi za ubakaji ni nyingi ila kuna nchi bado watu wana achia matiti wazi mpaka leo lakini akuna baya linalo tendeka dhambi na dhani ipo akilini mwetu tu.
 
Ivi unaelewa ulichokiandika kweli ?

Ebu nipe proof wa hayo maneno unayosema,, nipe citations za ayah katika Qur'an zinazosema hvo !!
 
Unajuaje kwamba dini ni hadithi za watu tu ?
 
Kwanini Mungu asiruhusu yatokee hayo ?

Ivi unajua kusudi la kuumbwa mwanadamu ? Vp kuhusu kusudi la kuumbwa malaika unalijua ? Unaweza kutofautisha hayo makusudi mawili ?
 
Thanks. Ngoja nikifuate
 
Kwanini Mungu asiruhusu yatokee hayo ?

Ivi unajua kusudi la kuumbwa mwanadamu ? Vp kuhusu kusudi la kuumbwa malaika unalijua ? Unaweza kutofautisha hayo makusudi mawili ?
Heheeeee taratibu mbona maswali mengi

Haya tulia nikupe majibu

-kuhusu malaika tafadhali acha kuniuliza vitu ambavyo ni vya kufikirika, sijawahi ona huyo kiumbe, na siamini kama kweli anaexist kwa ulimwengu huu AMBAO UPO REAL. jomba yaani ni sawa na kuniuliza kusud la kuumbwa babu chrismass au tooth fairy

-sitatofaitisha kati ya malaika na mwanadamu, nitatofsutishaje na kitu cha kufikirika, ivi ulikiwa wawaza nini kuuliza swali kama hilo. Yaani ni sawa na mtu anayeuliza tofauti ya john cena na thano.... Upo

-huwezi kuja kichwa kichwa unakuja na kuniuliza swali ambalo toka enzi na enzi halina jibu juu ya dhumuni la uwepo wetu hapa duniani ukitegemea ntakupatia jibu, ivi unafikiri jibu la hilo swali linaweza kuenea kwenye server za jamii forum, xiiu
- asiruhusu ..... Hayo tafuta sentensi zako acha kuparamia na kugeuza sentensi UNAFIKIRI NAFANYA MZAHAAA HAPAA
 
Mi najua kama kuna pepo kweli basi kiranga ataingia unajua kwanini?
Wengi wanafata dini lakin hawafati yaliyomo ktk dini that's why watu wengi no waislam na wakrtso na wayahud na wabudha lkn wizi dhuluma kuua kuiba kubaka kutapeli duniani haya mambo hayaishi
Lakin mtu kama kiranga na wengine wasioamni wanakuwa na utu na kuthamini wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…